USA vs China Aircraft carrier

hahahaaa endelea kujifariji , nguv na hana hata carrier , raia wake wanakimbilia US kutafuta maisha , ebu acha unafiki Allah hapend hivyo
Russia awe na carrier za nini wakati ana uwezo wa kupiga mahali popote pale duniani kwa usahihi na kwa muda mfupi sana??

Hizo aircraft Carriers ni zilipendwa, kwa technolojia ya sasa carriers ni useless
 
Heheeeeee acha kumshambulia mtoa hoja shambulia hoja mzeee

Kama hujaielewa mwambie aieke sawa maisha yaendelee
Unajua,kuna ushabiki wa kijinga sana. Yeye ameizimia USA, kwa hiyo lolote utakaloongea,hatokuelewa. Ila,ukiogea anachokitaka yeye,hapo mtaenda sawa. Kwani,hoja inaletwa tukubali mawazo ya badhi ya wachangiaji? Au inaletwa watu watoe maoni yao! Kizuri ilichofanya dunia hii USA ni nini? Umaarufu wake,upo tu kwenye chokochoko inazoleta kila kona ya dunia.
Muache ajifurahishe, huyu ni ile taipu ya wanaojiita TISS. Kuwa na mapenzi na jeshi,haimpi kujua mambo ya kijeshi. Sasa anafyatuka weeeee!
T14 Armata , punguza jaziba za kijinga,hapa hatupewi chochote, ni maoni tuu.
 
Tatizo lako unakariri sana, swala na USA kushambuliwa kwanye ardhi yake ni la muda tu. Sasahivi tunachofanya kwanza ni kuiangusha dola kwanza na kuimarisha bricks
 
Heheeee naunga mkono hoja

Americant anasifika zaidi kwa mabalaa mauaji na ushoga anaousambaza hapa duniani

Hana ya maana saana kama maovu anayosambaza

Americant sio taifa lakupigiwa mfano wala lakuigwa kwahakika
 
View attachment 2865909
China vs USA aircraft Carriers
Tuwe wa kweli China bado safari ndefu

Angalia DUDE la Chini hilo. Kweli China atamuweza USA🇺🇸

Jamani tuache masihara.
Ukijua china alikotoka ukaelewa amezipita nchi ngapi hadi sasa kuwa ndiye mshindani wa marekani basi huwezi kuwa na shaka kuwa huenda baada ya miaka kadhaa atamshinda.
Sidhani hata UK kama wana hiyo carrier kama ya mchina
 
Tatizo lako unakariri sana, swala na USA kushambuliwa kwanye ardhi yake ni la muda tu. Sasahivi tunachofanya kwanza ni kuiangusha dola kwanza na kuimarisha bricks
Kwani Bin Laden aliwafanya nini! Lile si shambulizi? Je, huko wanakoenda,wanafanyiwa nini? Labda tu tumkubalie: kwenye uongo USA dunia nzima hana mpinzani. Uliwahi sikia akikubali majeshi yake kuuliwa? Ni kwamba wawapo vitani wao hawalengwi? Kama hawapigiki,ni kama vita ipi waliyowahi hushinda?

Siku wakitambua kuwa hata hali ngumu walizo nazo leo hii,chanzo ni huyo USA, watajua hawajui. Ila waache wajifariji. Si wanataka kusikia wanachokijua? Hayitakaa itokee
 
Heheeee naunga mkono hoja

Americant anasifika zaidi kwa mabalaa mauaji na ushoga anaousambaza hapa duniani

Hana ya maana saana kama maovu anayosambaza

Americant sio taifa lakupigiwa mfano wala lakuigwa kwahakika
Kaenda kukinukisha Ukraine, leo hii yuko wapi?
Kafail huko,kakimbilia Israel. Na misifa yooote,wameambulia nini? Si kujidhalilisha tuuuu. Wameua eeeeeh,eti wanaokoa mateka. Hata waliopatikana, si magaidi wadogo walitaka tu wawaonyeshe kuwa hawana lolote!? Sasa iko hivi,mbwa mkali siku hizi anabweka tuuuu. Maana hata wafanyakazi ndani wameanza kumla kiboga.

Daadeki. Siku moja mizoga ikazagaa,wengine wakaugua kichaa, ohhh wanajeshi walipata tu mshituko hakuna majeruhi hata mmoja. Kweli?

Ni super power siku za nyuma,leo hii ni super power kwenye uongo tu.

Huko Ukraine,tulikalilishwa kwamba warusi wanakufa kama sisimizi,mara ikaenda ikarudi,mara wameishiwa siraha,
Badae,ohhh mnajua Russia inaagiza siraha kutoka North Korea,tutaiwekea vikwazo.
Msuper power anatishia vikwazo!! Kweli!!!
 
Media gani hebu nipe hiyo source nipitie nione wajerumani wakishangaa drone ya kirusi
Habari zote 2 ingia Google utaziona kupitia vyanzo hivi Poland says Russian missile briefly entered its airspace na Bild: Unidentified drones repeatedly spotted over German military bases where Ukrainians train. Halafu ulete mrejesho Mkuu.
 
Habari zote 2 ingia Google utaziona kupitia vyanzo hivi Poland says Russian missile briefly entered its airspace na Bild: Unidentified drones repeatedly spotted over German military bases where Ukrainians train. Halafu ulete mrejesho Mkuu.
Hivi,kama inaelekea vita vimeshapata mwenyewe, hao wa Ukrainians wanakuwa trained ili iwasaidie nini?

Kwa sababu malaya wa siyasa na vita atakapoondoka,hakika hali itakuwa tete.
Ndo wanajiandaa kuingia NATO eh!!!
 
Mwisho wa siku december 1991 nani aliibuka mshindi wa vita baridi?
 
Heheeee Americant amekua wakawaida sana kwakweli
 
Mwisho wa siku december 1991 nani aliibuka mshindi wa vita baridi?
Ussr ilikufa hili halina ubishi ila matakwa ya ussr pale ulaya yalizingatiwa na hii ndio ilikua hoja

Sasa nashangaa yaliopingwa pale Cuba leo yanataka kutekelezwa ukraine halaf watu wanaona sawa

Nasema ukraine iendelee kuumizwa mpaka itakapokua na akili
 
Inaonekana hujui unachoongea
 
Mkuu,tukiwa wa kweli, pale wanaumia raia wa Ukraine, lakini anaeumia zaidi ni mwendawazimu aliejiona anamng'oa Russia kirahisi. Sasa,amekuja na kika kitu,mrusi akaona isiwe tabu,ardhi kwanza akamega. Wakakaa kimya. Siku Ukraine ikijua ilimkalibisha gaidi msaliti,itakaa na akili. Berarusi wana rahaaaa,jirani asiejiweza aliona kampata mshirika wa kweli,leo hii analialia tu. Na bado. Si amechokoza! Ishanyesha,panapovuja palishaonekana,ngoja tusubiri mafundi wazibe matundu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…