USA vs China Aircraft carrier

USA vs China Aircraft carrier

Hapana sijawakuza wala nini nimeongea ukweli pinga kwa hoja
Us alianzisha muungano wakukabiliana na houthi vipi muungano una maendeleo gani nipe mregesho wake unaendeleaje ama uliishia wapi
Mimi Nimekupa hoja us alivyoona houthi hawajaogopa maneno yake aliondoa meli zake huko ama hakuondoa
Nibishie kwa hoja kama mie nlivyokubishia kwahoja
Us alikua super power kwanza super power anatakiwa awe anajitosheleza sasa usuper power wa us una mashaka sana kwanza bila ya alliance hua hatoboi kama kuna sehem akiwahi pigana us kama super power mwenyewe akafikia lengo nitajie nitaleft jf kwa muda
Us kawakimbia houthi bisha kwa hoja ama houthi hawapo ama hawateki tena meli sasa bisha kama us hajawakimbia ama hawaogopi
Marekani hajawahi kupigana vita na taifa kubwa tofauti na japan kwahiyo hakuna kipimo Cha usupa power, Nchi pekee iliyopimwa Kwa nguvu za kijeshi na teknolijia ni Urusi ambaye amesimama mbele ya NATO. hayo ma meli ni mazuri kumtishia mwarabu. Kule bahari ya china hapawezi , wachina wanakuja juu Kwa kasi ya ajabu.
Kikubwa hayo mameli yanatumika zaidi Kwa vita vya mbali kwaajili ya usafiri wa ndege vita
 
Kwenye military Urusi ni kiboko amerusha kombora/drone limeenda hadi poland kwenye Kambi za Jeshi za NATO, Air Defense za NATO zikashindwa kutambua na kuidungua vilevile, halafu likageuza safari kurudi kushambulia Ukraine. Hiyo cha Mtoto; nyingine kapeleka drones Ujerumani zinazunguka kwenye anga la Kambi za Jeshi za Mafunzo ya Wanajeshi wa Ukraine huko Ujerumani. Wakitaka kuzitungua wanashindwa. Mpaka sasa Wajerumani wamechanganyiwa namna ya kudeal na hizo drones.
Urusi huyu huyu alikana kuhusika na bomu liliotua Poland ?
 
Imepunguzwa au haina

Maana huko beto alipoenda United Shits Of Americant na hizo ngarawa zake alipigana nanani

Maana tumeona pale houthi tu kaunda muungano halafu kakimbia zake

Hizo ngarawa zingezamishwa kama vidagaa ila kastuka
Dadeki. Apeleke Afghanistan, Syria na Iraq alikoshinda vita🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Marekani hajawahi kupigana vita na taifa kubwa tofauti na japan kwahiyo hakuna kipimo Cha usupa power, Nchi pekee iliyopimwa Kwa nguvu za kijeshi na teknolijia ni Urusi ambaye amesimama mbele ya NATO. hayo ma meli ni mazuri kumtishia mwarabu. Kule bahari ya china hapawezi , wachina wanakuja juu Kwa kasi ya ajabu.
Kikubwa hayo mameli yanatumika zaidi Kwa vita vya mbali kwaajili ya usafiri wa ndege vita
Kabisaaa Russia kaprove ila us kwa mpaka sasa hana maajabu
Yaani upigane na Russia upeleke hako kamtumbwi hakapigwi wakati kanaelekea Russia kanafatwa huko huko marekani kana nyooshwa
Hivyo vimtumbwi labda vikapigane na somalia hapa sawa
 
Hata kiev ina defensive measures zakumwaga ila Russia anapiga kila anapopataka ama anapojisikia

Sasa hako kangarawa kimeekwa defensive measure ipi

Hio ikija kupigana na Tanzania aaah utaona bonges la kitu ila ikiingia kwenye 18 za Russia iran Korea North au Uchina aaah nakuhakikishia tutazika wanajeshi kuanzia 5k kwa kaburi moja

Maana hayo mangarawa si haba yanajua kubeba watu
mwaka wa Pili huu , Urusi kaishiwa wap huko Ukraine ? sasa hv hadi viongoz wa Ulaya wanaingia na kutoka Ukraine , je haeza watungua ?
 
Subs zipo secured sana sio kama hio mitumbwi

Na hata hizo sub zenyewe kwa vita yakisasa navyo hatari pia

Maana ije ipigwe chuma huko chini izamishwe sub yenye watu zaidi ya mia tano kwakwel ni msiba mkubwa

Hayo mameli yana maana sana ukipigana ama ukiwa unawapiga watoto ila watu wazima bora utulie kwako kume mwapigana tu kwa ma ICBM
Siku ya mwaka mpya US Navy iliua wanamgambo wa Houthi 10 wakiwa kwenye viboti vyao
1000193955.jpg


Meli za US zimekuwa zikifanya interceptions kadhaa za missiles na suicide drones, najua unajua ila inakuuma kukubali. Houthi hawana level za kupelekewa carrier, hao ni watoto unless US iwe inataka kuwafuata kuwashambulia
 
Marekani hajawahi kupigana vita na taifa kubwa tofauti na japan kwahiyo hakuna kipimo Cha usupa power, Nchi pekee iliyopimwa Kwa nguvu za kijeshi na teknolijia ni Urusi ambaye amesimama mbele ya NATO. hayo ma meli ni mazuri kumtishia mwarabu. Kule bahari ya china hapawezi , wachina wanakuja juu Kwa kasi ya ajabu.
Kikubwa hayo mameli yanatumika zaidi Kwa vita vya mbali kwaajili ya usafiri wa ndege vita
Kwa enzi hizo Japan alikuwa anatwala Asia ya mashariki yote je unahisi alikuwa mshindan wa kawaida ? Urusi hajapigana na NATO anapigana na Ukraine , Irana anawasaidia Hamas , hii haimaanish Israel wanaipiga Iran bali wanawapiga Hamas
 
kipind cha sakata la Taiwan , si lilisogezwa mchina akakaa kimya , kwann akuendelea kelele zake
China hajawahi kuacha kelele kule hizo porojo zako tu

Uchina kabeba maeneo ya bahari ya kila jirani yake kule baharini na hakuna meli ya Americant ilomfanya lolote lile

Sasa Americant c aondoe hizo ngarawa zake maana zimeshindwa kumlinda hata mshirika wake Philippines [emoji1198]
 
Back
Top Bottom