OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
NEC msijekusema hatukuwaambia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nani anataka kwenda huko kwao.wajipange na kichaa wao Trump na corona yake
Tujiandae kuingia mtaani la sivyo hatutakuwa huru.Inatakiwa nchi za Ulaya na Marekani zituondelee haya madikteta yote
SureTujiandae kuingia mtaani la sivyo hatutakuwa huru.
Trump kasema midahalo ni kupoteza muda na upuuzi mtupu!
Ttzo sio kuzuia visa,ni kwamba afrika tunawapa gharama kubwa Sana za kuhudumia wakimbizi sababu ya matumbo ya watawala na wanufaika wachache Kama wewe wa tawala dhalimu zinazovunja haki za binadamu.
USA awaambii watawala wa kiafrica waue watu, wawe wezi, waminye Uhuru wa watu, wakatalie madarakani, waendekeze ukabila udini ukanda yote haya ndio uleta Vita vya wenyewe kwa wenyewe Kati ya wanufaika na wasionufaika.
Kwangu Mimi ni sahihi kwa USA na jumuia za kimataifa zinatakiwa kuziingilia nchi zote zenye Utawala dhalimu ikibidi hata kijeshi ili kuwafurusha watawala waliokosa malezi Bora utotoni wasiojielewa, wanaoumiza watu wao hii itaeupusha vita, then ile pesa ya dunia ya kugharamia wakimbizi itumike kuboresha elimu, tafiti, nk. Ttzo kubwa la afrika ni ukosefu wa mifumo sahihi ya kuaandaa viongozi, afrika viongozi awaandaliwi wanaokotwa.
Visa restrictions kwa ajili ya nani??-- mtu mwenyewe hapendi kusafiri sasa hiyo restriction itamuathiri nini??, ni sawa na kumnyima nyama mtu mwenye Allergy ya nyama.🤣
Tatizo mnajifanya mnajua kumbe zero brain, sasa Trump kaandaliwa huyo au wameamua kumchagua chizi awe Rais?Ttzo sio kuzuia visa,ni kwamba afrika tunawapa gharama kubwa Sana za kuhudumia wakimbizi sababu ya matumbo ya watawala na wanufaika wachache Kama wewe wa tawala dhalimu zinazovunja haki za binadamu.
USA awaambii watawala wa kiafrica waue watu, wawe wezi, waminye Uhuru wa watu, wakatalie madarakani, waendekeze ukabila udini ukanda yote haya ndio uleta Vita vya wenyewe kwa wenyewe Kati ya wanufaika na wasionufaika.
Kwangu Mimi ni sahihi kwa USA na jumuia za kimataifa zinatakiwa kuziingilia nchi zote zenye Utawala dhalimu ikibidi hata kijeshi ili kuwafurusha watawala waliokosa malezi Bora utotoni wasiojielewa, wanaoumiza watu wao hii itaeupusha vita, then ile pesa ya dunia ya kugharamia wakimbizi itumike kuboresha elimu, tafiti, nk. Ttzo kubwa la afrika ni ukosefu wa mifumo sahihi ya kuaandaa viongozi, afrika viongozi awaandaliwi wanaokotwa.
Na familia nazo hazisafiri.
unachagia mada gani wewe pimbi. au uko maverusTrump kasema midahalo ni kupoteza muda na upuuzi mtupu!
Trump akushinda uraisi sema alibebwa sababu ya jenda,ni rais wa hovyo kuliko wote tangu USA iumbwe,ni mzuri kwenye kuongoza biashara na sio kuongoza watu.Arudi tena kipindi cha pili anapigwa chini, democratic wanachukua this time.Tatizo mnajifanya mnajua kumbe zero brain, sasa Trump kaandaliwa huyo au wameamua kumchagua chizi awe Rais?
Muulize bashite, coz familia ni wanufaika wa uovu wa baba kwann wasipinge uovu wa baba.That would be injustice, an innoccent to be punished for somebody fault !!!.
Nadhani haitakuwa hivyo bali wakosefu watawajibishwa individually in accordance to their involvement.
Muulize bashite
[/QUOTE
Bashite ndiye nani???
Wanachotaka wao ni uchaguzi huru.mkishindwa nyie mafisadi ccm kihalali mukabidhi madaraka kwa alieshinda.nyie mmekomalia hamuachii,acha wakubwa watusaidie.Kwani nani anataka kwenda huko kwao.wajipange na kichaa wao Trump na corona yake
Kwahiyo hawaendi USA na wamekufa? Au wanakosa msosi?Muulize bashite, coz familia ni wanufaika wa uovu wa baba kwann wasipinge uovu wa baba.
Mfano osama wapo USA watoto wake baadhi, mtoto wa Gadaffi yupo uswis hata kabla ya kifo Cha baba yake sababu wako against uovu wa baba zao
Kwa yakhe kama wewe hiyi haikuhusuKwani nani anataka kwenda huko kwao.wajipange na kichaa wao Trump na corona yake