Kwani anaewaambia watawala wa kiafrica waue watu,wazulumu,wawafanye waafrika wawe masikini ili wawatawale,wafiche fedha mabenk ya ulaya, wawekeze kwenye white elephant project, kujilimbikizia mali, kununua magari ya kifahari mfano ma v8 yasiyotija badala ya kuboresha maisha ya waafrika, ni mabeberu? chanzo cha Vita congo ni mobutu, Sudani Ni Bashir, afrika ya Kati, rwanda, burundi ni udini, ukabila, somalia ni siadi barrey, Ethiopia na eritrea ni mengustu mariam, libya ni Gadaffi kote huko ni watawala kutoheshimu katiba zao