minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Siyo kigezo cha kuharalisha ushetani wa CCMTrump akushinda uraisi sema alibebwa sababu ya jenda,ni rais wa hovyo kuliko wote tangu USA iumbwe,ni mzuri kwenye kuongoza biashara na sio kuongoza watu.Arudi tena kipindi cha pili anapigwa chini, democratic wanachukua this time.