mwanateknolojia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 1,026
- 1,749
We are insisting the USA to exercise their words practically! We are tired of selfish African Leaders!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa..... hasira mpelekee aliyekunywesha mbege jana bila kukuachia pesa ya kisusio!unachagia mada gani wewe pimbi. au uko maverus
Wewe mbona hujaenda?You don't need a visa because you can't reach there.
Mkuu mie nikienda tu kijijini kwetu ni burdani tosha! Usa kuna nini? Majengo au?Mimi nilishanyimwa viza marekani Mara 3.
Je nilifanya kosa gani nikawekewa vikwazo?
Wapo watu wananyimwa visa kila siku za marekani,,nao wana makosa gani?
Marekani sio peponi,,
Wasitupangie cha kufanya kwa maslahi yao..
Duniani ina sehemu chungu mzima za kula maisha.
Sio lazima marekani,,
Hata kwa kiduku pia ni chaka .
Wasituletee upimbi..
Africa is a free continent..
"i can't reach there".Wewe mbona hujaenda?
Wao je?
UjingaNi baraka kwa Mungu kunyimwa visa ya kwenda USA lakini umezuia nchi kutumbukia kwa vibaka kina Amsterdam na genge lake la magasho au wazee wa faragha.
Unawaza visa tu sio ngoja watuonyeshe makali ndio utawajuwaVisa restrictions kwa ajili ya nani??-- mtu mwenyewe hapendi kusafiri sasa hiyo restriction itamuathiri nini??, ni sawa na kumnyima nyama mtu mwenye Allergy ya nyama.🤣
Ttzo sio kuzuia visa,ni kwamba afrika tunawapa gharama kubwa Sana za kuhudumia wakimbizi sababu ya matumbo ya watawala na wanufaika wachache Kama wewe wa tawala dhalimu zinazovunja haki za binadamu.
USA awaambii watawala wa kiafrica waue watu, wawe wezi, waminye Uhuru wa watu, wakatalie madarakani, waendekeze ukabila udini ukanda yote haya ndio uleta Vita vya wenyewe kwa wenyewe Kati ya wanufaika na wasionufaika.
Kwangu Mimi ni sahihi kwa USA na jumuia za kimataifa zinatakiwa kuziingilia nchi zote zenye Utawala dhalimu ikibidi hata kijeshi ili kuwafurusha watawala waliokosa malezi Bora utotoni wasiojielewa, wanaoumiza watu wao hii itaeupusha vita, then ile pesa ya dunia ya kugharamia wakimbizi itumike kuboresha elimu, tafiti, nk. Ttzo kubwa la afrika ni ukosefu wa mifumo sahihi ya kuaandaa viongozi, afrika viongozi awaandaliwi wanaokotwa.
Wanaoshabikia jinsia moja ndio wanalilia kuingia USA
HAWA WANASHABIKIA JINSIA MOJA NA NUSU ????
To hell with imperialism
Imebidi nicheke tuu😂😂😂😂Tujiandae kuingia mtaani la sivyo hatutakuwa huru.
Huo ni uwongo wa Chadema, mjiandae kufutika October
UONGO WA CHADEMA NA TUNAWAONA HAPA MARUHUBI WANAVYOJIANDAA NA KUJENGA UKUTA NA MAJESHI TUNAWAONA ,
UMESAHAU UCHAGUZI WA 2015 JESHI LILIVYOMTEKA JECHA ?? NA KUFUTA UCHAGUZI ???