USA yaionya Afrika kuhusu Uchaguzi; We will not hesitate to consider consequences

USA yaionya Afrika kuhusu Uchaguzi; We will not hesitate to consider consequences

Vijana wa lumumba izo visa hazi wahusu nyinyi maana mtabaki maskini tu na akili zenu lakini ao mnao wasupport wana ziitaji kuliko ata wanavyo wahitaji nyie.pigeni porojo tu apa...october 28 tunaenda na TL
 
Chadema haijaanza leo kuzusha uwongo, Hussein anakubalika sana visiwani namtabiria ushindi wa 70%

UONGO WA CHADEMA NA TUNAWAONA HAPA MARUHUBI WANAVYOJIANDAA NA KUJENGA UKUTA NA MAJESHI TUNAWAONA ,

UMESAHAU UCHAGUZI WA 2015 JESHI LILIVYOMTEKA JECHA ?? NA KUFUTA UCHAGUZI ???
 
Imebidi nicheke tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Lisu juzi kapigishwa jua wakaishia kuandamana mitandaoni hadi Lisu mwenyewe akaishiwa nguvu! Akaone ngoja ajifanye house girl akanunue nyanya kariakoo labda atasikika,
 
Ni baraka kwa Mungu kunyimwa visa ya kwenda USA lakini umezuia nchi kutumbukia kwa vibaka kina Amsterdam na genge lake la magasho au wazee wa faragha.
Kumbuka marekani ina washirika wake na hata EU watafuata mkumbo huohuo! Kupanga ni kuchagua.
 
View attachment 1594578

NEC msijekusema hatukuwaambia
Hivi mnaona Visa ni kitu dili saaaaaaan kwamba huwezi ishi bila hiyo takataka. Mimi nasema Marekani haiwezi ishi bila Tanzania. Watanzania wangapi wanazeeka huko hawajawahi fika. Rais tangu aingie madarakani kaenda mara ngapi huko.

WASITUTISHE WAPAMBANE NA UCHAGUZI WAO. NA MWAKA HUU WANAUMIA SANA KWAKUA SERIKALI IMETUMIA FEDHA ZAKE ZA WALIPAKODI KUHHARAMIA UCHAGUZI.
 
Kumbuka marekani ina washirika wake na hata EU watafuata mkumbo huohuo! Kupanga ni kuchagua.
Mimi walioninyima viza Mara 3 mbona kwa hao washirika wake naingia ninavyotaka ktk inchi zao.
Tuache uoga..
Ni sawa na mwanaume mwingine akupangie jinsi ya kuishi na mkeo,
 
Ni baraka kwa Mungu kunyimwa visa ya kwenda USA lakini umezuia nchi kutumbukia kwa vibaka kina Amsterdam na genge lake la magasho au wazee wa faragha.
Mgeni wenu kakimbia baada ya kile kiingereza cha jana kumchanganya hakutegemea lugha kama ile kutoka kwa mtu mwenye Phd
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Lisu juzi kapigishwa jua wakaishia kuandamana mitandaoni hadi Lisu mwenyewe akaishiwa nguvu! Akaone ngoja ajifanye house girl akanunue nyanya kariakoo labda atasikika,
Huwa nasema kila siku asilimia kubwa ya watanzania wana akili sana, wasichoweza ni malumbano. Likiwa letu kama nchi tutafanya kwa nguvu zote Ila hatukubali kutumika kwa maslahi ya kina amstadam.

Tujikumbushe
Masaa 48, Maandamano ya Mange yaweza kufanikiwa?
Tuliona nguvu ya wachache kwenye mitandao ila wote waliishia kumsaliti mange
Mange Kimambi kuja na maandamano nje ya World Bank HQ; huu mkakati umenishtua sana
 
Mgeni wenu kakimbia baada ya kile kiingereza cha jana kumchanganya hakutegemea lugha kama ile kutoka kwa mtu mwenye Phd
Mbona maneno mengi?

Kakimbia sababu kaona anatumika kisiasa kukandamiza upinzani au sababu ya kingereza? Tushike lipi?

Kwani ziara ilikuwa iwe mpaka lini?
 
Ttzo sio kuzuia visa,ni kwamba afrika tunawapa gharama kubwa Sana za kuhudumia wakimbizi sababu ya matumbo ya watawala na wanufaika wachache Kama wewe wa tawala dhalimu zinazovunja haki za binadamu.

USA awaambii watawala wa kiafrica waue watu, wawe wezi, waminye Uhuru wa watu, wakatalie madarakani, waendekeze ukabila udini ukanda yote haya ndio uleta Vita vya wenyewe kwa wenyewe Kati ya wanufaika na wasionufaika.

Kwangu Mimi ni sahihi kwa USA na jumuia za kimataifa zinatakiwa kuziingilia nchi zote zenye Utawala dhalimu ikibidi hata kijeshi ili kuwafurusha watawala waliokosa malezi Bora utotoni wasiojielewa, wanaoumiza watu wao hii itaeupusha vita, then ile pesa ya dunia ya kugharamia wakimbizi itumike kuboresha elimu, tafiti, nk. Ttzo kubwa la afrika ni ukosefu wa mifumo sahihi ya kuaandaa viongozi, afrika viongozi awaandaliwi wanaokotwa.
Mambo ya ukimbizi huyajui wao ndiyo wanayatengeneza, wanatoa silaha mkishamaliza kuuana wanakuja na mikataba ya kulipia gharama za silaha angalia Iraki, libya na Syria wananchi wao wamenufaika na nini
 
Hao Marekani uchaguzi wao umewashinda.mpaka wanalalamika urusi aliuingilia halafu wanataka kusimamia chaguzi zingine
 
Hao Marekani uchaguzi wao umewashinda.mpaka wanalalamika urusi aliuingilia halafu wanataka kusimamia chaguzi zingine
Kwani marekani wakitoa misaada ya pesa kwa Tanzania huwa masikini wamekwisha kwao?
 
Back
Top Bottom