bado bodaboda itakua ndio usafiri hatari zaidi duniani, lakini usafiri wa anga utaendelea kua usafiri salama zaidi kuliko chombo kingine chochote cha usafirishaji licha ya kwamba athari zake ni mbaya zaidi kuliko chombo kingine chochote cha usafirishaji inapotokea ajali....
bodaboda anaweza baki na mguu moja akipata ajali, ila kwenye usafiri wa anga unaweza vunjika maeneo mbalimbali ,lakini hapo hapo bado ukaungua na moto tena dah, kupona ni nadra sana..
katika yote haya,
tahadhari za kiusalama na umakini ni jambo la maana na muhimu sana kuzingatiwa.
sio unaona kabisaa hali ya chombo au hali ya hewa na mazingira kiusalama si rafiki, kwa vipimo na hata kwa macho tu, eti kwakua wewe ni mwanajeshi unajipiga kifua aah hii mbona kawaida tu, pandeni Twendeni 🐒