Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Inasemwa alikuwa ana haiba ya kuwa Ayatollah mkuu!Hata safari ukute wahuni walimtengenezea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemwa alikuwa ana haiba ya kuwa Ayatollah mkuu!Hata safari ukute wahuni walimtengenezea
Hakika, Bora uangukie vichakani ukutane na jiti likuchome au jiwe likupasue kichwa.wazito kwenye kuruka
ukiona chombo inaenda mrama we unasepa tuu
Wasasa akaona isiwetabu ,kibra huhusu watu wakaidiInasemwa alikuwa ana haiba ya kuwa Ayatollah mkuu!
ndio kwasabanu yale machuma ndio yanakuua ila ukiruka unakuwa unyama zaidHakika, Bora uangukie vichakani ukutane na jiti likuchome au jiwe likupasue kichwa.
George Saitoti alikuwa Waziri wa mambo ya ndani wa Kenya, kama sikosei.Tuwataje wote maarufu walifariki Kwa ajali ya chopa
Kobe
Boss wa Wagner
Mbunge wa mbarali
Rais wa iran
Mkuu wa jeshi Kenya
Nimfuatiliaji mzur Sana wa habari nili mnukuu JOSEPHAT GWAJIMA Akisema usafir wa helkopta Ni wa hatar Sana sekunde kadhaa ukisikia alarm ziki toa mlio Mara 3 mfululizo jua Ni kifo...Tumeshuhudia usafiri wa helkopta ukiondoa nafsi za viongozi mbalimbali hasa katika kampeni za kisiasa au operesheni mbalimbali zikiwemo za kijeshi.
Ni usafiri ambao unafaha sana kuzunguka eneo kubwa kwa muda mfupi lakini ukumbana na changamoto kubwa ya hali ya hewa au hitilafu.
Akili yangu inanishawishi niwakumbushe viongozi kufanya uchunguzi maalum kuhusu usafiri huu kabla ya kuutumia. Tanzania ajali za helikopta ni nyingi kuliko ajali za ndege au wakati mwingine ajali za magari zinazohusisha viongozi.
Ndugu zangu wanasiasa kuweni makini sana na usafiri huu hasa tunapoelekea uchaguzi. Tuone namna yakukabiliana na ajali za usafiri huu ambao umeondoa viongozi wa Mataifa tajiri yenye ulinzi mkubwa Duniani.
Yawezekana chopa inalogeka kirahisi kuliko usafiri mwingine? Sizungumzii kulogeka kwa uchawi wa Ndumba bali kulogeka kiteknolojia au kulogeka kimedani za kivita.
Poleni wote mliowapoteza wapendwa wenu kwa chopa.