Usahihi wa Takwimu za Mikopo Awamu ya 4, 5 na 6

Rekodi ya Baba wa taifa, Mwl. Julius Kambarage Nyerere haijavunjwa.
Hata elimu bure, ilikuwa kweli iliyowasomesha wanaotangaza bure isiyo bure.
 
Kwanza badirisha figures zako kuna tofauti ya $28.054M na $28,054M. Hiyo $28,054M ni Dola Bilioni 28.

Halafu zipeleke kwenye Tsh hapo.
 
Rekodi ya Baba wa taifa, Mwl. Julius Kambarage Nyerere haijavunjwa.
Hata elimu bure, ilikuwa kweli iliyowasomesha wanaotangaza bure isiyo bure.
👎👎👎👎
Ila pia zilikuwa enzi za kuwekwa kizuizini, namukumbuka yule alikuwa rais wa Zanzibar nilisikia mpaka anakufa alikuwa kizuizini Kigamboni.
 
Amefanya nn cha maana wewe
 
Jabali la Africa amehiacha nchi ktk matatizo makubwa ya kiuchumi, amekopakopa ovyo na amekwangua na pesa zote za ndani na hakuna hata mladi mmoja alioumaliza. Jiwe limetuachia majanga makubwa sana. Acha mungu aitwe mungu
Kwani waliokufa waliyamaliza matatizo ya familia zao?
Wengine waliacha hawajenga, wengine waliacha watoto wakiwa form one, wengine waliacha mke akiwa hajazaa.
 
Kwani waliokufa waliyamaliza matatizo ya familia zao?
Wengine waliacha hawajenga, wengine waliacha watoto wakiwa form one, wengine waliacha mke akiwa hajazaa.
Kweli kabisa, yeye ametuachia sukuma gang, wasiojulikana na madeni lukuki. Yahani ni bola tu alivyoondoka mapema
 
Sasa kwani miradi alimalizika? au mnataka mama asiimalizie aachie alipoiacha magu? Mama kopa tulianza kukopa tanguenzi za mwalimu, tumeguswa kidogo kwenye tozo tunalia bila mikopo simtapiga mayowe! Wabongo bado sana kujitegemea tuache unafiki.
Tumekubaliana na tozo Kama njia kujitekemea,hizo pesa za Corona zimemfanya mama awe mtumwa kweli.
Yaani yeye na mibarakoa tu wakati hata Corona ilishakuwa mafua ya kawaida Tanzania.
wananchi wako huru yeye na wateule wake watavaa barakoa mpaka midomo iwe miekundu Kama kandege kajiji.
 
sukuma gangs katka ubora wako
 
Ubungo interchange ni pesa ya world bank , salender bridge ndio pesa ya japan husichanganye
kwa hiyo si mikopo
Mwendazake ndiye katuingiza Chaka kuwa ni pesa za.ndani. leo Spika anawaambia Rsis anatembeza bakuli
 
Awamu ya sita inatoka wapi??

Rais aliyepo madarakani yupo kwa mujibu wa Katiba.

Hatujafanya uchaguzi mwingine zaidi ya ule wa 2020 uliouweka madarakani awamu ya tano kwa mhula wa pili.

Samia anamalizia tu mhula wa pili wa awamu ya tano.
 
Kweli Tanzania Tunafika 42% ya kukopa hadi 2025 si itakuwa 50% hivi hizi Rasilimali Tulizo nazo zinasaidia nini? Si bora Tukaishi Serengeti m, Ngorongoro tuwe tunakula Tuu nyama huku nchi zingine kama Japan zinatulea [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…