USAID hatimae imekufa rasmi kwa taarifa hii

Nchi ambazo hawapati hiyo misaada ya USAID wanaishije?
ARV na condom kwani haziuzwi?
 
Pesa za tax cuts kwa mabilionea lazima zipatikane, lakini Trump hana uwezo wa kuiua USAID , only Congress ndio wanaweza, anaweza freeze funds zao kwa muda na kufukuza wafanyakazi au kufunga operations zao kwa muda tuu
Why not? Ile executive order inampa hiyo nguvu ukizingatia hata mabunge kayashika yeye
 
Naomba wasitishe na mikopo
Maana wakisema tunaweka riba ya πŸ’― mtachukua kwa sababu hamjali
Trump anajua kuna wazungu wanafaidika na miradi hii na wanaiba haswa
Sio kuwabana nyie tu bali anakata mirija ya wakubwa
Ila sidhani kama watamuacha salama
Ila kwa sasa anapiga mule mule na shirika la wakimbizi chali
Mkaroge sasa
 
Shirika la wakimbizi nalo limefanyaje kiongozi.?
 
Hawezi! Kwa muda sawa anaweza kuzuia lakini siyo kuiua! Maseneta tayari wameshaanza kujipanga kumblock!
Maseneta ambao ni wanufaika wa USAID kupitia mlango wa nyuma....Elon keshaanika madudu Yao na wameufyata tayari.

Kwa mara ya Kwanza maishanj nimejifunza Jambo hili: MWANASIASA bila kujali rangi yake na wapi anaishi wote ni majambazi!
 
Sio kila NGO inapata pesa USAID.
 
Nayo amefunga misaada kwa muda wa siku 90
Yaani anapiga ndani na nje
Mzee hili rungu aliloshika sijui kama watamuacha
Kuna mwehu atamshughulikia aisee
Una wasiwasi watamuondoka kama John F Kennedy

Kwa hiyo IRC huko Kigoma nazo closed. Kweli Trump kapiga
nyundo Kweli kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…