Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 2,582
- 4,554
Na ukute ukipangiwa kituo na mkuu wa kituo nae akawa na mtihani wakwake yaani hela unaitafuta kwa kugaragazwa kwelikweliYani una mitihani NECTA STD 7, FORM 2. FORM 4. FORM 6, HALAFU ILE YA VYUONI..BADO TENA MITIHANI YA KUOMBA AJIRA..duh