Huyo nazani mb zake Zilikuwa zinazingua tu nahisi πππ status ya database hii sahv maombi kwa sana tupate NAFASI ya mrija wa asali tuππππππNisikia wengine wanasema zimebadilika leo au tuwaimbie baba jeni bye bye
ππππHahhh mzee uhakikaHuyo nazani mb zake Zilikuwa zinazingua tu nahisi πππ status ya database hii sahv maombi kwa sana tupate NAFASI ya mrija wa asali tuππ
Inaweza kuwa kweliMeans jamaa yupo busy na kazi.
Roho wa Bwana,,ndio kakuambia nn mazee @Mwifa [emoji4][emoji4]Inaweza kuwa kweli
Hata sijui mkuuRoho wa Bwana,,ndio kakuambia nn mazee @Mwifa [emoji4][emoji4]
Ulishawahi kupata 95 wakakuacha ?Uko sawa
1.Bahati au ngekewa
2.Koneksheni
Unaweza jibu written na oral ukapiga hata 95%.
Na usitoboe kama huna koneksheni
Hapo nafikiri anaongelea kwenye written maana oral marks hazijulikaniUlishawahi kupata 95 wakakuacha ?
Ndio ila mtu ukipata 95 sio ya mchongo uwezi kuachwa mzeeHapo nafikiri anaongelea kwenye written maana oral marks hazijulikani
Watu wanalalamika mno,Hapo nafikiri anaongelea kwenye written maana oral marks hazijulikani
Sasa akifeli kwenye oral sianaachwa tu?Ndio ila mtu ukipata 95 sio ya mchongo uwezi kuachwa mzee
Ilikua mwez WA9 mwishoni Dar, DUCE asubuhi niliwahi mapemaa kufanya usahili TAASISI YA MOYO YA KIKWETE "JKCI"Habari
Nini kilikusaidia kufaulu usaili wa ana kwa ana (oral) au ulikosea wapi?
Naomba tushare expirience wakuu.
Ilikua mwez WA9 mwishoni Dar, DUCE asubuhi niliwahi mapemaa kufanya usahili TAASISI YA MOYO YA KIKWETE "JKCI"Habari
Nini kilikusaidia kufaulu usaili wa ana kwa ana (oral) au ulikosea wapi?
Naomba tushare expirience wakuu.
Hawa ndio majobless ambao kweny oral baada ya kupambana kutoboa ,au angalau ikishindikana aingie kweny kanzidata...ss kweny oral ,ka ulikandwa badala ya kuwakanda anategemea atoboe kizembe ....siku ukikutana na maswali ya wakandaji yamekulenga na unajibu kwa confidence ka yote points zako tano tano ,,,si umetoboa lkn unachengana na maswali mawili au matatu kweny kujibu kutoboa ni asilimia chache sana aisee...Sasa akifeli kwenye oral sianaachwa tu?
Kabisa atakuwa anaongelea written results...kumbe oral ipo kivingne kabisa wale waliofaulu kikawaida written Halaf alijiandaa na oral ,, kweny oral akafanikiwa kuchomoa karibia maswali yote lazima atoboe kiulainiHapo nafikiri anaongelea kwenye written maana oral marks hazijulikani
Upate 95 alafu uje uzingue oral ?? ππSasa akifeli kwenye oral sianaachwa tu?
Ilikua mwez WA9 mwishoni Dar, DUCE asubuhi niliwahi mapemaa kufanya usahili TAASISI YA MOYO YA KIKWETE "JKCI"
Basi tukapewa maelekezo Fulani hivi, me ni mtaalam wa MAABARA so tukaambiwa lab tufanya written mwishoni,
Mda ulipowadia tupanga mstari Kwa ajil ya kukaguliwa vyeti ikiwemo leseni, pamoja na kitambulisho.
Nlipogikiwa akakagua cheti vipo safi kitambulisho Cha mpiga kura nkawa nimesahau hom na nlitoka kwetu KAHAMA,
Baas nkambiwa nikae pembeni kidg wenye sifa kama yangu tulikua weng kama 17 hiv, wengne hawana cheti Cha kizaliwa.
Tukaamdika majina yetu na sababu zilizofanya tusifanye mtihani,
Msimamizi mkuu hakutupa nafasi hata ya kujieleza mm nlibaki Hadi mwisho kusubir kama ntapew nafasi Ile ya kufanya pepa, awaaapi .
Aliniambia kua SI pekeako tu ulotika mbali na mtihani huanzia hatua hzo, nilijieleza sana hakunielewa,
Mhhhh iliniuma saan kuchoma nauli yangu toka KAHAMA had dar alafu nirud niendelee na ishu zangu na ilikua ndo Interview ya kwanza ya Ajira portal.
Kwa sasa Sina mood na hizo Saili mana naona kama ni michongo tu na wanakuja na visababu vdogovdgo Ili kupunguza idadi na hufanya KAZI kwa hisia,
Real example nikwamba msimamizi wakati anatupiga Burn turudi hom, mdada mmoja akamuuliza mbona pindi Pharmacy wanafanya usaili mbona aliwaruhusu watu waliokosa vitambulisho na Card za kupigia kura. Msimamizi akajibu "' Tusimfundishe kazii'"
PORTAL WAWE NA UBINADUMU NA WASIFANYE KAZI KWA
Ilikua mwez WA9 mwishoni Dar, DUCE asubuhi niliwahi mapemaa kufanya usahili TAASISI YA MOYO YA KIKWETE "JKCI"
Basi tukapewa maelekezo Fulani hivi, me ni mtaalam wa MAABARA so tukaambiwa lab tufanya written mwishoni,
Mda ulipowadia tupanga mstari Kwa ajil ya kukaguliwa vyeti ikiwemo leseni, pamoja na kitambulisho.
Nlipogikiwa akakagua cheti vipo safi kitambulisho Cha mpiga kura nkawa nimesahau hom na nlitoka kwetu KAHAMA,
Baas nkambiwa nikae pembeni kidg wenye sifa kama yangu tulikua weng kama 17 hiv, wengne hawana cheti Cha kizaliwa.
Tukaamdika majina yetu na sababu zilizofanya tusifanye mtihani,
Msimamizi mkuu hakutupa nafasi hata ya kujieleza mm nlibaki Hadi mwisho kusubir kama ntapew nafasi Ile ya kufanya pepa, awaaapi .
Aliniambia kua SI pekeako tu ulotika mbali na mtihani huanzia hatua hzo, nilijieleza sana hakunielewa,
Mhhhh iliniuma saan kuchoma nauli yangu toka KAHAMA had dar alafu nirud niendelee na ishu zangu na ilikua ndo Interview ya kwanza ya Ajira portal.
Kwa sasa Sina mood na hizo Saili mana naona kama ni michongo tu na wanakuja na visababu vdogovdgo Ili kupunguza idadi na hufanya KAZI kwa hisia,
Real example nikwamba msimamizi wakati anatupiga Burn turudi hom, mdada mmoja akamuuliza mbona pindi Pharmacy wanafanya usaili mbona aliwaruhusu watu waliokosa vitambulisho na Card za kupigia kura. Msimamizi akajibu "' Tusimfundishe kazii'"
PORTAL WAWE NA UBINADUMU NA WASIFANYE KAZI KWA HISIA
Mkuu pole sana.Ilikua mwez WA9 mwishoni Dar, DUCE asubuhi niliwahi mapemaa kufanya usahili TAASISI YA MOYO YA KIKWETE "JKCI"
Basi tukapewa maelekezo Fulani hivi, me ni mtaalam wa MAABARA so tukaambiwa lab tufanya written mwishoni,
Mda ulipowadia tupanga mstari Kwa ajil ya kukaguliwa vyeti ikiwemo leseni, pamoja na kitambulisho.
Nlipogikiwa akakagua cheti vipo safi kitambulisho Cha mpiga kura nkawa nimesahau hom na nlitoka kwetu KAHAMA,
Baas nkambiwa nikae pembeni kidg wenye sifa kama yangu tulikua weng kama 17 hiv, wengne hawana cheti Cha kizaliwa.
Tukaamdika majina yetu na sababu zilizofanya tusifanye mtihani,
Msimamizi mkuu hakutupa nafasi hata ya kujieleza mm nlibaki Hadi mwisho kusubir kama ntapew nafasi Ile ya kufanya pepa, awaaapi .
Aliniambia kua SI pekeako tu ulotika mbali na mtihani huanzia hatua hzo, nilijieleza sana hakunielewa,
Mhhhh iliniuma saan kuchoma nauli yangu toka KAHAMA had dar alafu nirud niendelee na ishu zangu na ilikua ndo Interview ya kwanza ya Ajira portal.
Kwa sasa Sina mood na hizo Saili mana naona kama ni michongo tu na wanakuja na visababu vdogovdgo Ili kupunguza idadi na hufanya KAZI kwa hisia,
Real example nikwamba msimamizi wakati anatupiga Burn turudi hom, mdada mmoja akamuuliza mbona pindi Pharmacy wanafanya usaili mbona aliwaruhusu watu waliokosa vitambulisho na Card za kupigia kura. Msimamizi akajibu "' Tusimfundishe kazii'"
PORTAL WAWE NA UBINADUMU NA WASIFANYE KAZI KWA HISIA
Sikulaumu sana ila nacho shauri waache hisia, mana Kuna walio pata nafasi izoo na haliyakua hawakua na vitambulisho Wala cheti Cha kizaliwa, nibora tungenyimwa wote nafasi hio.Mkuu pole sana.
Binafsi hapo siwezi kukutetea maana hilo ni kosa mojawapo miongoni mwa makosa ambayo yalikukwamisha.
Tangazo la kuitwa usahili liliweka bayana vitu vinavyohitajika na endapo ungekosa kimojawapo ungedisqualify(kama ilivyokutokea).
Kitambulisho, cheti cha kuzaliwa, vyeti vingine ni lazima majina yako yote yafanane. sasa kama ulisahau kitambulisho wangekuamini vipi kuwa jina lako liko sawa pande zote?
Umesoma lkn maelezo vzr, sijawahi laumu hatua yyte nayopitia.Sas
Acha aww lawama , uache kitambulisho alafu unasema za mchongo
Bro haumini kuzingua oral?? Sasa oral ukikandwa na maswali ambayo ukutegemea kukutananayo hukashindwa kujibu si imekula kwako ,,,kutoboa ni maandalizi na maswali uliyotegemea kukutanayo yakawa karibia hayo hayo ,na ulijiandaa nayo si unatilika mpka wanaisi unajua kweliUpate 95 alafu uje uzingue oral ?? [emoji849][emoji849]