rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Yeye anasema ataenda timu yoyote ili mradi wafikie makubaliano huo uyanga unaujua ww wenzako Wana malengo na maisha yaoLusajo kijana wa Yanga ..tulimsajili toka yuko Chuo kikuu hawezi kwenda Simba...anaona jinsi Gadiel,Ajibu na Kakolanya wanavyopata tabu mikiani...kwanza ana elimu kubwa kuliko Haji Manara lazima aje kwenye PHD'S
Alan okelo nafikiri keshauzwa Azam walitia mguu wakaambiwa $400,000 Ila ni binge la mchezaji na umri unaruhusuKila mmoja ana mtazamo wake lakini kwangu mimi sioni Simba kama inahitaji idadi kubwa hivyo ya wachezaji
Kwenye defence tatizo lililopo ni Umri tu na hilo litamalizwa kwa kuongeza mchezaji mzawa mmoja tu.
Katika ligi yetu Bakari Nondo Mwamnyeto atafaa lakini hana uzoefu wa kutosha sana na ni last defender sijui kama ataweza kucheza kama namba nne aliyekuwa akicheza Juuko.
Katika Ligi za Afrika Mashariki yupo Timothy Awany wa KCCA ya Uganda huyu nae ni bonge la beki na anaweza kucheza hiyo nafasi hata national team ya Uganda alicheza hivyo baada ya kuumia Juuko.
Midfield.
Kimsingi Simba hawana tatizo kubwa sana la Midfielders has DM wanaye Mkude, Fraga, Mzamiru na Shiboub hawa ni midfielders wazuri sana tatizo moja wote hawana kasi kubwa sana.
Mkude na Fraga wanacheza kama Register lakini hawana speed na siyo wanabaji wazuri kutatua tatizo lazima wacheze na mtu anayekaba sana na hapo simba yupo mmoja tu MZAMIRU YASSIN.
CM Midfield simba ndiyo kuna tatizo wachezaji wengi viwango vyao vimeshuka sana na wengi siyo clinical CM ukiondoa Chama, na Dilunga wengine viwango vyao vinaleta changamoto sana hasa kina Ndemla, Shiboub, Dilunga kunahitajika mtu anayeweza kucheza double role lakini mtu huyo tayari simba wanaye. JONAS MKUDE na SHIBOUB, MZAMIRU YASSIN hawa watu unatakiwa kubadili mfumo tu ili waweze kupata nafasi . Uchebe aliweza kuwachezesha Kotei na Mkude pamoja au Mkude na Mkude na Mzamiru pamoja mmoja anacheza kama CM akicheza double role defence and attacking.
CENTRAL ATTACKING MIDFIELD hapa ndiyo kuna utata wachezaji wote ukiondoa Chama hawafanyi vizuri wengi wa wachezaji kwenye eneo hili wanacheza vizuri wakiwa wide. Kina Kahata na Kanda ,na Miraj kama Ajib angekuwa kwenye kiwango bora basi eneo hili lingemfaa sana lakin Ajib siyo wa kutegemea sana he is so slow and predictable.
Nani Aongezwe hapa namuona Konde Boy huenda akaleta impact zaidi, japo anaweza kununuliwa ALLAN OKELLO wa KCCA ya Uganda huyu bwana mdogo ni replica ya OKWI.
ATTACKING. Hapa ndipo naona tunahitaji kasi na ubunifu mkubwa. Wachezaji tulionao wote umri umekwenda sana na siyo wabunifu sana na kibaya zaidi hawana madhara nje ya 18 Kagere hana madhara nje ya 18 Bocco nae ni hivyo hivyo hapa ndiyo mtu wa kuja kuingia kwenye kikosi moja kwa moja na awe na kasi na mwenye uwezo wa kupiga long range shot. Mtu wa aina hii sioni EA labda wamsajili Heritier Makambo ni clinical finisher na anaweza kufanya runs nzuri zitazowapa space Kagere na Bocco.
Kama atakosekana Simba kwenye kikosi chake cha vijana wa mtoto anaitwa EDWARD GERALD mrefu hivi kama Emanuel Gabriel anaweza kupewa nafasi the dude is good ila hajapewa nafasi tu.
Wingers sina shida sana we have loads of quality wingers
Sent using Jamii Forums mobile app
Trust me
Wanaondoka ni
Tairone
Shamte
Mlipili
Ndemla/fraga
Dilunga kuna biashara
Wanaokuja suggestion
Shonga
Mwamnyeto
Kelvin kijiri
Yondani
Papy Shishimbi 2years contronct /tayar huyu
Hahahaha, wabrazili mliwasifu na clip za YouTube , mpeni GSM u main sponsor toeni sports pesa kifuani pale ,zengwe liisheNgoja tuone,,
Maana kule Yanga pashawaka motto,, ule msemo mwenzako akinyolewa we tia maji ,,
Hawa wadhamini wakitoa pesa pungufu ndo yale kutuletea wabrazil
Da silva,[emoji36]
Sent using Jamii Forums mobile app
Alan okelo nafikiri keshauzwa Azam walitia mguu wakaambiwa $400,000 Ila ni binge la mchezaji na umri unaruhusu
Hamuwezi kumpata Allan okello Nyie mikiaKila mmoja ana mtazamo wake lakini kwangu mimi sioni Simba kama inahitaji idadi kubwa hivyo ya wachezaji
Kwenye defence tatizo lililopo ni Umri tu na hilo litamalizwa kwa kuongeza mchezaji mzawa mmoja tu.
Katika ligi yetu Bakari Nondo Mwamnyeto atafaa lakini hana uzoefu wa kutosha sana na ni last defender sijui kama ataweza kucheza kama namba nne aliyekuwa akicheza Juuko.
Katika Ligi za Afrika Mashariki yupo Timothy Awany wa KCCA ya Uganda huyu nae ni bonge la beki na anaweza kucheza hiyo nafasi hata national team ya Uganda alicheza hivyo baada ya kuumia Juuko.
Midfield.
Kimsingi Simba hawana tatizo kubwa sana la Midfielders has DM wanaye Mkude, Fraga, Mzamiru na Shiboub hawa ni midfielders wazuri sana tatizo moja wote hawana kasi kubwa sana.
Mkude na Fraga wanacheza kama Register lakini hawana speed na siyo wanabaji wazuri kutatua tatizo lazima wacheze na mtu anayekaba sana na hapo simba yupo mmoja tu MZAMIRU YASSIN.
CM Midfield simba ndiyo kuna tatizo wachezaji wengi viwango vyao vimeshuka sana na wengi siyo clinical CM ukiondoa Chama, na Dilunga wengine viwango vyao vinaleta changamoto sana hasa kina Ndemla, Shiboub, Dilunga kunahitajika mtu anayeweza kucheza double role lakini mtu huyo tayari simba wanaye. JONAS MKUDE na SHIBOUB, MZAMIRU YASSIN hawa watu unatakiwa kubadili mfumo tu ili waweze kupata nafasi . Uchebe aliweza kuwachezesha Kotei na Mkude pamoja au Mkude na Mkude na Mzamiru pamoja mmoja anacheza kama CM akicheza double role defence and attacking.
CENTRAL ATTACKING MIDFIELD hapa ndiyo kuna utata wachezaji wote ukiondoa Chama hawafanyi vizuri wengi wa wachezaji kwenye eneo hili wanacheza vizuri wakiwa wide. Kina Kahata na Kanda ,na Miraj kama Ajib angekuwa kwenye kiwango bora basi eneo hili lingemfaa sana lakin Ajib siyo wa kutegemea sana he is so slow and predictable.
Nani Aongezwe hapa namuona Konde Boy huenda akaleta impact zaidi, japo anaweza kununuliwa ALLAN OKELLO wa KCCA ya Uganda huyu bwana mdogo ni replica ya OKWI.
ATTACKING. Hapa ndipo naona tunahitaji kasi na ubunifu mkubwa. Wachezaji tulionao wote umri umekwenda sana na siyo wabunifu sana na kibaya zaidi hawana madhara nje ya 18 Kagere hana madhara nje ya 18 Bocco nae ni hivyo hivyo hapa ndiyo mtu wa kuja kuingia kwenye kikosi moja kwa moja na awe na kasi na mwenye uwezo wa kupiga long range shot. Mtu wa aina hii sioni EA labda wamsajili Heritier Makambo ni clinical finisher na anaweza kufanya runs nzuri zitazowapa space Kagere na Bocco.
Kama atakosekana Simba kwenye kikosi chake cha vijana wa mtoto anaitwa EDWARD GERALD mrefu hivi kama Emanuel Gabriel anaweza kupewa nafasi the dude is good ila hajapewa nafasi tu.
Wingers sina shida sana we have loads of quality wingers
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mchezaji asiyetaka kucheza michuano mikubwa Ila Kama walitaka kumdajili ni Kama wanawakomoa kwa sababu wachezaji Aina ya Morris wako wengibreaking newz za ki sport zinazo lindima ni kuwa viongozi na wafadhili wa lile li timu la ovyo la simba sport a.k.a mikia /mbumbumbu fc bado wamemganda na kumng'ang'ania yule striker mahili kabisa wa timu ya 'wananchi' yule aliye wanyorooosha vilivyo adi wakalala na viatu wiki nzima Bernard Morrison a.k.a 'chinja china mnyama' wakitaka asaini kwenye li timu lao lililo poteza mwelekeo hata kama ameisha saini kwenye timu ya pendwa ya wananchi…..
Ha ha ha mshalevywa nyie, hata Walter Bwalya viongozi wenu walimnyatia weeee, walipomkosa wakasema Bwalya ndio nani bwana! Kwanza tuna wachezaji wengi Wa type yake pale simba. Sasa tujuzane hapa ni wachezaji gani hao?Hakuna mchezaji asiyetaka kucheza michuano mikubwa Ila Kama walitaka kumdajili ni Kama wanawakomoa kwa sababu wachezaji Aina ya Morris wako wengi
Nyie ndio mnaweza kupata mkishachangishana
Kila mmoja ana mtazamo wake lakini kwangu mimi sioni Simba kama inahitaji idadi kubwa hivyo ya wachezaji
Kwenye defence tatizo lililopo ni Umri tu na hilo litamalizwa kwa kuongeza mchezaji mzawa mmoja tu.
Katika ligi yetu Bakari Nondo Mwamnyeto atafaa lakini hana uzoefu wa kutosha sana na ni last defender sijui kama ataweza kucheza kama namba nne aliyekuwa akicheza Juuko.
Katika Ligi za Afrika Mashariki yupo Timothy Awany wa KCCA ya Uganda huyu nae ni bonge la beki na anaweza kucheza hiyo nafasi hata national team ya Uganda alicheza hivyo baada ya kuumia Juuko.
Midfield.
Kimsingi Simba hawana tatizo kubwa sana la Midfielders has DM wanaye Mkude, Fraga, Mzamiru na Shiboub hawa ni midfielders wazuri sana tatizo moja wote hawana kasi kubwa sana.
Mkude na Fraga wanacheza kama Register lakini hawana speed na siyo wanabaji wazuri kutatua tatizo lazima wacheze na mtu anayekaba sana na hapo simba yupo mmoja tu MZAMIRU YASSIN.
CM Midfield simba ndiyo kuna tatizo wachezaji wengi viwango vyao vimeshuka sana na wengi siyo clinical CM ukiondoa Chama, na Dilunga wengine viwango vyao vinaleta changamoto sana hasa kina Ndemla, Shiboub, Dilunga kunahitajika mtu anayeweza kucheza double role lakini mtu huyo tayari simba wanaye. JONAS MKUDE na SHIBOUB, MZAMIRU YASSIN hawa watu unatakiwa kubadili mfumo tu ili waweze kupata nafasi . Uchebe aliweza kuwachezesha Kotei na Mkude pamoja au Mkude na Mkude na Mzamiru pamoja mmoja anacheza kama CM akicheza double role defence and attacking.
CENTRAL ATTACKING MIDFIELD hapa ndiyo kuna utata wachezaji wote ukiondoa Chama hawafanyi vizuri wengi wa wachezaji kwenye eneo hili wanacheza vizuri wakiwa wide. Kina Kahata na Kanda ,na Miraj kama Ajib angekuwa kwenye kiwango bora basi eneo hili lingemfaa sana lakin Ajib siyo wa kutegemea sana he is so slow and predictable.
Nani Aongezwe hapa namuona Konde Boy huenda akaleta impact zaidi, japo anaweza kununuliwa ALLAN OKELLO wa KCCA ya Uganda huyu bwana mdogo ni replica ya OKWI.
ATTACKING. Hapa ndipo naona tunahitaji kasi na ubunifu mkubwa. Wachezaji tulionao wote umri umekwenda sana na siyo wabunifu sana na kibaya zaidi hawana madhara nje ya 18 Kagere hana madhara nje ya 18 Bocco nae ni hivyo hivyo hapa ndiyo mtu wa kuja kuingia kwenye kikosi moja kwa moja na awe na kasi na mwenye uwezo wa kupiga long range shot. Mtu wa aina hii sioni EA labda wamsajili Heritier Makambo ni clinical finisher na anaweza kufanya runs nzuri zitazowapa space Kagere na Bocco.
Kama atakosekana Simba kwenye kikosi chake cha vijana wa mtoto anaitwa EDWARD GERALD mrefu hivi kama Emanuel Gabriel anaweza kupewa nafasi the dude is good ila hajapewa nafasi tu.
Wingers sina shida sana we have loads of quality wingers
Sent using Jamii Forums mobile app
Southafrica team ni moja tu mamelod zingine takataka ndio maana zinafungwa hata na team ya somalia ,ni ujinga kumnunua mchezaji asiye na msaada Cuf chalpions league kwa bei kubwaNinyi hamna hela ya kununua top 3 goal score Wa timu kama pirates. Tuendelee kuulizia ulizia rejects ambao kwenye ligi yetu wataonekana bora
Nikiona comment kama hii nashangaa huyo morrison ana magoli mangapi na assist ngapi? Mchezaji ambaye takwimu zake anazidiwa na miraji Athuman asajiliwe na simba kwa kazi gani ?Lawama tunazopata kumsajiri ajibu zinatosha ,leo hii Dilunga akienda Yanga atakuwa mfalme na kuimwa kila saa sekunde ,dakikabreaking newz za ki sport zinazo lindima ni kuwa viongozi na wafadhili wa lile li timu la ovyo la simba sport a.k.a mikia /mbumbumbu fc bado wamemganda na kumng'ang'ania yule striker mahili kabisa wa timu ya 'wananchi' yule aliye wanyorooosha vilivyo adi wakalala na viatu wiki nzima Bernard Morrison a.k.a 'chinja china mnyama' wakitaka asaini kwenye li timu lao lililo poteza mwelekeo hata kama ameisha saini kwenye timu ya pendwa ya wananchi…..
'si -zitaki mbichi hizi'………….Nikiona comment kama hii nashangaa huyo morrison ana magoli mangapi na assist ngapi? Mchezaji ambaye takwimu zake anazidiwa na miraji Athuman asajiliwe na simba kwa kazi gani ?
Footbal mchezo wa matokeo ni ujinga kwa simba kumpa mkataba morrison wakati wamejaza wachezaji wanaomzidi magoli na assist na experience ya kimataifa'si -zitaki mbichi hizi'………….
Uchebe aliacha list hiyo hiyo ya wachezaji watano aliporudi akakuta wachezaji wapya 12Mtendaji mkuu wa Klabu ya Simba (CEO), Senzo Mazingiza amethibitisha kupokea ripoti ya kocha Sven Vanderbroeck kuhusu Usajili wa msimu ujao Katika ripoti hiyo Kocha Sven anataka wachezaji 5 wa nguvu ikiwa wawili wachezaji wa ndani na watatu wachezaji wa nje na kazi ya kutafuta wachezaji hao imeanza mara moja.
Katika ripoti hiyo Kocha Sven amesema kigezo cha umri na uwezo kitumike haswa kuchagua wachezaji hao wachezaji wanaotakiwa ni mabeki watatu ikiwa wawili wa Kati na moja wa kulia, kiungo mkabaji mmoja na mshambuliaji mmoja. Senzo amesema wameanza kubainisha wachezaji hao kabla ya kuwachuja na kufanya Usajili.
Kimsingi nafasi anazohitaji kocha zina matatizo makubwa,ukweli usemwe. Simba SC haina beki wakushiba. Simba SC ina shida ya striker wa kumsaidia Kagere Meddie.
Repoti inasema kocha anataka wachezaji wa nje watatu. Hapa ndio umakini wa kiwango cha lami unahitajika,tusifanye makosa kama tuliyofanya kwa Wabrazili. Kwa maoni yangu hao wageni wawe ni Striker mmoja msaidizi wa Kagere. Beki mmoja wa kati anahitajika sana maana upepo wa Nyoni umekwisha. Pia mgeni mmoja wa kumsaidia Shomari Kapombe.
Katika hizo nafasi 2 za local prayers napendekeza uongozi wa Simba SC wamuulike Lusajo wa Namungo na Nondo Mwamnyeto.
Kuna strikers kadhaa wa kigeni wanatajwa kufanya mazungumzo na Simba SC, mmojawapo akiwa Justin Shonga wa Orlando Pirates. Kama tetesi hizi ni kweli basi itakuwa bonge moja la usajili. Kiukweli Simba sc inahitaji wachezaji wenye speed kama Shonga.
Wapo wachezaji ambao inabidi wapewe mkono wa kwa kheri hata kama ni kwa mkopo. Mmoja wapo ni Beki wa Kati Mbrazili, Haruna Shamte, John Bocco, Saidi Ndemla, Mlipili na Nyoni. Wako baadhi bado ni wazuri ila sioni namna watakavyoweza kupata nafasi ya kucheza.
Haya ni maoni yangu binafsi. Jambo la msingi ni kuwa usajili uliopita Simba Sc iliboronga. Ni matumani tetu msimu mtatumia akili kubwa kwa sababu ya uongozi imara chini ya CEO Senzo.
Kwa sasa ukanjanja utapungua CEO yupo yakifanyika magumashi hayatazidi mawiliUchebe aliacha list hiyo hiyo ya wachezaji watano aliporudi akakuta wachezaji wapya 12