Tetesi: Usajili wa Mabasi ishirini mapya ya Abood

Tetesi: Usajili wa Mabasi ishirini mapya ya Abood

Taasisi ya kiintelijensia ya uingereza ilifanya utafiti kuhusu watu wanaofaa kuwa viongozi na wenye IQ,Tanganyika, wa morogoro walionekana ni hovyo kabisa, wakapewa kazi ya kukata mkonge
Najua umeongea tu katika ule muktadha wa matani ya ukabila.

Ila jaribu kwenda kule Tanga wilaya ya muheza na korogwe kaulize wakataji wa mikonge ni watu wa wapi ndio utajua kazi za wabara zilikuwa nini enzi hizo.
 
Kiboko yake kafariki. Magu alikuwa anamchamba Nassoro Abood anavyotaka. Ikiwemo lile la kutoa mabasi kupeleka watu misibani huku viwanda kaua.
Alikua ana mchambaaa ila kwenye ubunge anapitisha jina lake ili agombee.na anahakikisha ametangazwa mshindi hata kwa mtutu wa bundukii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Akili ya mwendazake banaaa
 
Hivi hujioni hapa unampangia mtu cha kufanya au namna ya kuishi? Unajua ninahitaji nini katika hizo bites? Ni safari zote huwa zina maandalizi? Halafu, hii si mimi ninaanzisha, ni utaratibu upo, sema hapa nilikuwa ninapendekeza kuboreshwa kwa huduma tu. Yani bado upo kibongolala hivi kudhani unayofikiria ndiyo ulimwengu ulivyo? Eti huwezi kuvumilia, kwanini uvumilie? Kwa faida ya nani, wewe au Abood?
Watu mnaopenda kulakula bana dah....3 hrs journey unalilia bites...usikute naongea na under18 hapa
 
Alikua ana mchambaaa ila kwenye ubunge anapitisha jina lake ili agombee.na anahakikisha ametangazwa mshindi hata kwa mtutu wa bundukii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Akili ya mwendazake banaaa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yule Mungu katuepusha na balaa kubwa sana kumtoa hapa duniani.
 
Watu mnaopenda kulakula bana dah....3 hrs journey unalilia bites...usikute naongea na under18 hapa
Hamna, ni suala la uwezo wa kutafakari tu. Kuna watu pengine kwa mchango wa vinasaba au mazingira, uwezo wao ni mdogo sana wa kutafakari. Shida yao kubwa ni kule kudhani vile anavyoishi ndiyo ulimwengu ulivyo.Asijue maisha ni complex.

Bahati mbaya umri hauwaruhusu kujifunza tena.
 
huyo super feo kashika ruti za nyanda za juu.
ni kama abood kumuona njia ya dar moro
na shabby kumuona dar dom.

na kama zakaria alivyoshika njia ya tarime huko.

ki, uhalisia kwenye top 5 ya makampuni super feo anaingia ana mgari mengi sanaa.
ila kwa kuwa upo dar huwezi yaona.
balaa lake. linaanzia
iringa, mbeya, njombe, ruvuma huko kote basi zake ni kama abood kwa huku dar.

Punguza ubishi kama huna research.
pengine nyanda za. juu hujawahi kufika.

nikikuambia musukuma. ni tajiri wa magari na amehodhi njia nyingi kwao. kahama huwezi elewa.
Zakaria kwisha habari yake
Usije kumuweka tena[emoji38].
Msukuma naye hakuna alipoteka[emoji38]

Maelezo mengine uko sawa[emoji16]
 
Back
Top Bottom