Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
[emoji38][emoji38][emoji38] hizo ni kauli za wanyonge[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hela za masheriti.
Alisikika mwananchi mmoja akiwa anapiga miayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38] hizo ni kauli za wanyonge[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hela za masheriti.
Alisikika mwananchi mmoja akiwa anapiga miayo.
Wewe uko kwenye utajiri upi? Masikini tuna matatizo sana, tujifanya kujua.kuliko wenye mabilioni benki!Utajiri wa hv umepitwa na wakati......
siku hizi watu wapo kwenye ma cypypto
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787] msamehe hakusoma kilichomo ndani ya uziJiongeze kidogo basi, au wewe ni product wa hii elimu yetu iliyologwa nini? Maana kizazi cha shule hizi ni majanga.
1. Umeona hapo sikutaja ugali wala makande, nimesema bites. Hilo umeshindwa kuona inamaanisha nini?
2. Haya, umetoka Moro na gari ya kwanza. Yani ukae mdomo unanuka na njaa mpaka Dar kisa kuna mtu kama wewe anasema safari ya saa tatu huhitaji kula? Siku hizi chai unauziwa kwenye kibobo chako safi, unaingia nacho garini.
3. Kwahiyo, ushawaza na kuona kuwa ulionao wote ndani ya gari mpo sawa. Wamekula kama wewe, wanajisikia haja kama wewe n.k. na hivyo,vile unajisikia wewe,abiria wote wanajisikia hivyo.
Ninadhani hapa umeathiriwa na mawazo yetu yale ya kudhani unachowaza wewe ndiyo ulimwengu. Walimwengu hatupo sawa kama ulivyokariri. Aidha, maisha yamebadilika, mengine tuliyafanya sababu ya kukosa uwezo, fursa na sehemu za kufanya haya. Mwaka 80 si sawa na 2021.
Tafakari, chukua hatua
Ww mluguru wa wap aisee wakati waluguru huwaambii kitu kuhusu Abood utadhani ni mluguru mwenzao,mluguru hapandi basi lingine zaidi ya AboodUna haki ya kushangilia ila umo ukipanda kwenda dar utalipa nauli ila ukifa wewe na familia yako kwa kunywa maji machafu ya mtoni kwa sababu umekosa maji safi na salama yale mabasi mengine ya zamani yatakubeba bure kukupeleka kola ukazikwe.
Taasisi ya kiintelijensia ya uingereza ilifanya utafiti kuhusu watu wanaofaa kuwa viongozi na wenye IQ,Tanganyika, wa morogoro walionekana ni hovyo kabisa, wakapewa kazi ya kukata mkongeUna haki ya kushangilia ila umo ukipanda kwenda dar utalipa nauli ila ukifa wewe na familia yako kwa kunywa maji machafu ya mtoni kwa sababu umekosa maji safi na salama yale mabasi mengine ya zamani yatakubeba bure kukupeleka kola ukazikwe.
hahahahaSafari ya saa tatu (3:00) unakula chakula njiani! Ni muda sawa na Mbagala kwenda Mbezi stendi unataka ule njiani!
pimbi kweli weweUtajiri wa hv umepitwa na wakati......
siku hizi watu wapo kwenye ma cypypto
Ungesema nitaje bila kuweka biti ningetaja..Hebu taja hayo mabasi ya Magufuli, ukishindwa kutaja ww ni mnafiki
Huyo Bw. Mdogo Francis fares Maro keshanikumbusha...Nadhani ni Moro Best ndio walikuwa washindani wa Abood, pia kuna kampuni ya Hood sijui imefia wap
Hizi Moro Best ingawaje ni maarufu sana, binafsi sizikumbuki kabisa sijui nilikuwa napishana nazo wapi kama zilikuwepo by the time!Moro best route yake kubwa ilikua Kilombero/Dar Mimi nimepanda Moro best tokea akiwa na DCM wakati huo inatoka Kilombero saa 10 alfajiri inafika Dar saa 4 na inageuka saa 7 mchana!!..
Acheni ujinga watu wanatumia viwanda vyetu kukopea mikopo kwenye mabankiLeo mji was Morogoro umemeremeta, Mabasi 20 yameingia kwa wakati mmoja, Samia kafungua uchumi, matajiri hawaogopi tena kufungua fursa kwa vijana kuajiriwa, hii ni baada ya Aboud Bus kushindwa kuingiza basi mpya tangu Magufuli awe Rais, kipindi cha Magufuli kampuni nyingi za mabasi zilifilisika.
Hongera Samia kwa kuanza kutujaza utajiri, wale wengine walitaka tuwe masikini na wanyonge
Ninaemjua mimi ni Abdulaziz Abood huyo Nasoro abood ni wakoKiboko yake kafariki. Magu alikuwa anamchamba Nassoro Abood anavyotaka. Ikiwemo lile la kutoa mabasi kupeleka watu misibani huku viwanda kaua.
Na ambao tupo kwenye baiskel/msteringi kiuno tusemeje!? 🤣🤣🤣🤣Duh mimi hata plate namba moja tu ya Passo imenishinda nimeishia kwenye zile za MC ......🐒
Kwa mujibu wa Sumry basi moja ni milioni mia tatu na hamsini.Aaha hongera yake bus 20 ni 2b plus
SUMRYYule mwingine akisema ni biashara kichaa, akaenda zake kulima mahindi.
Mhh una uhakika?Ni kweli mkuu zamani ilikuwa hivo kabla ya 2012.
Alishindwa kusoma alama za nyakati akawa bado anatumia zile scania siti 2*3,BM akaingia hiyo route na Youtong za 2*2 wajanja wakaanza kuchepuka.
Lakini bado Abood akaendelea kusumbua,BM akaingiza Zhongtong climber 2*2 full AC na fitna ya kuondoa gari kila nusu saa iwe imejaa au haijajaa. Hapo sasa Abood akawa kapatikana ikabidi na yeye aingize Youtong lakini alikuwa kachelewa maana BM tayari ameshajijengea ile legacy ya kuwa na abiria wake permanent.
Kimsingi bado Abood anatoa gari nyingi kwa Siku hiyo route ya Dar -Moro lakini lakini amepokonywa ile monopoly yake na BM