Tetesi: Usajili wa Mabasi ishirini mapya ya Abood

Tetesi: Usajili wa Mabasi ishirini mapya ya Abood

Ndio hesabu za Mpambe wa Abood hizi kwamba jamaa Kwa saa anatoa gari 6 Yani zinazoenda 3 na zinazorudi 3 kila saa!!!...Ndio akasema Abood anazo Basi 300 Kwa haraka haraka
jamaa alikurupuka katika hili, hilo swala la kutembeza gari 72 kwa siku moja moro dar kwa wasafir gani hao? Yupo pekee yake kwenye hiyo biashara?
 
jamaa alikurupuka katika hili, hilo swala la kutembeza gari 72 kwa siku moja moro dar kwa wasafir gani hao? Yupo pekee yake kwenye hiyo biashara?
Anadhani kupata abiria 69 kujaza Gari au hata Nusu yake ni Jambo la kawaida sana kama Daladala zenyewe zina tega mingo itakuaje kwenda Morogoro?
 
Anadhani kupata abiria 69 kujaza Gari au hata Nusu yake ni Jambo la kawaida sana kama Daladala zenyewe zina tega mingo itakuaje kwenda Morogoro?
wakati ukiwa msamvu unaambiwa subiri gari inafika muda si mrefu unakaa zaidi ya saa zima kusubiria, na ikifika hadi ijaze ndiyo safar inaanza.
 
Elon Musk bado
😁😁😁 Ogopa sana watu wenye mawazo ya kimaskini! Kila kitu kwao ni uchawi. Ukimiliki hela halafu ukawa na tabia za kutojipenda, au huna hobby ya kupenda kuvaa vizuri, kula vizuri, au una tabia za ubahili! Tayari wanakutangaza ni mchawi! Mara sijui masharti ya mganga nk.

Kumbe utajiri kwa sehemu kubwa uko benki, usimamizi mzuri wa biashara, nidhamu na matumizi mazuri ya fedha, umakini, nk. Bahati mbaya hawa matajiri huwa hawapendi kujianika kwa kila mtu. Ila kiukweli wengi wana mikopo mikubwa benki kwa kutumia dhamana za vitu visivyo hamishika kama nyumba, mashamba makubwa yenye hati, nk! na mikopo hiyo kwa kiasi kikubwa, ndiyo iliyo wafikisha hapo walipo.
Analipa mkopo wa dollars za Marekani million 500
 
Ndio hesabu za Mpambe wa Abood hizi kwamba jamaa Kwa saa anatoa gari 6 Yani zinazoenda 3 na zinazorudi 3 kila saa!!!...Ndio akasema Abood anazo Basi 300 Kwa haraka haraka
Yaani hapo kwa wastani kila baada ya dakika 10 kuna gari inaondoka msamvu au mbezi.
Hapa kichwa kinakataa kabisa
 
Leo mji was Morogoro umemeremeta, Mabasi 20 yameingia kwa wakati mmoja, Samia kafungua uchumi, matajiri hawaogopi tena kufungua fursa kwa vijana kuajiriwa, hii ni baada ya Aboud Bus kushindwa kuingiza basi mpya tangu Magufuli awe Rais, kipindi cha Magufuli kampuni nyingi za mabasi zilifilisika.

Hongera Samia kwa kuanza kutujaza utajiri, wale wengine walitaka tuwe masikini na wanyonge
Una haki ya kushangilia ila umo ukipanda kwenda dar utalipa nauli ila ukifa wewe na familia yako kwa kunywa maji machafu ya mtoni kwa sababu umekosa maji safi na salama yale mabasi mengine ya zamani yatakubeba bure kukupeleka kola ukazikwe.
 
Hivi huwa unaelewa ninachoandika ndugu mwananchi?!

Kama ungekuwa umenisoma vizuri na kwa vituo, ungefahamu nilichosema Abood kwa Morogoro mshindani wake alikuwa Islam, na huyo mwingine ambae nimemsahau!!!

Halafu kuna kila dalili wewe mwenyewe ndo mtoto mdogo... kwavile wakati unapata akili uliona kuna mabasi ya kampuni hizi na zile, ndo unadhani hata wakati upo chekechea, kampuni zote hizo zilikuwepo!!

Hebu nikuulize... hivi hata bus terminal kwa Morogoro ilikuwa wapi kwa huo muda ninaosema mimi?!
Nadhani ni Moro Best ndio walikuwa washindani wa Abood, pia kuna kampuni ya Hood sijui imefia wap
 
Hahaha Yes huyo huyo.
mwamba ana magari mengi. na mengine yupo indirectly kuficha identity yake..

kuna watu wana magari..
ukija kwenye malori si ajabu kumkuta mtu ana sem mia 3 au mia 2 hadi mia 4..

[emoji16]Mtu unamiliki. ki subaru cha mkopo unajiona wewe ni wewe.
%kubwa ya magari yanayotembea barabarani wamiliki wake wanajirudia rudia.

unamkuta mtu kampuni hii ana magari 10, huku ana 40 kule ana 60.
anafanya kuchange identify na jina tu.

Magufuli mwenyewe kafa akiwa kaacha sem 100
na mabasi si chini ya 60.

Nitajir hizo basi kama sio story za vijiweni au sio.
 
Hahaha Yes huyo huyo.
mwamba ana magari mengi. na mengine yupo indirectly kuficha identity yake..

kuna watu wana magari..
ukija kwenye malori si ajabu kumkuta mtu ana sem mia 3 au mia 2 hadi mia 4..

[emoji16]Mtu unamiliki. ki subaru cha mkopo unajiona wewe ni wewe.
%kubwa ya magari yanayotembea barabarani wamiliki wake wanajirudia rudia.

unamkuta mtu kampuni hii ana magari 10, huku ana 40 kule ana 60.
anafanya kuchange identify na jina tu.

Magufuli mwenyewe kafa akiwa kaacha sem 100
na mabasi si chini ya 60.
Hebu taja hayo mabasi ya Magufuli, ukishindwa kutaja ww ni mnafiki
 
Back
Top Bottom