Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,920
Km daladala za mbagala-kawe zinavyotoka kwenye folen ya stend3 zinapanda 3 zinashuka!!..Kwa hesabu za kila nusu saa anatoa gari stand
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Km daladala za mbagala-kawe zinavyotoka kwenye folen ya stend3 zinapanda 3 zinashuka!!..Kwa hesabu za kila nusu saa anatoa gari stand
Sasa mbona route ya Arusha analeta mabasi ya hovyo hovyo tatizo nini?Abood ana mabasi zaidi ya 300 unashangaaje hayo20
Naipinga hiyoNdio hesabu za Mpambe wa Abood hizi kwamba jamaa Kwa saa anatoa gari 6 Yani zinazoenda 3 na zinazorudi 3 kila saa!!!...Ndio akasema Abood anazo Basi 300 Kwa haraka haraka
jamaa alikurupuka katika hili, hilo swala la kutembeza gari 72 kwa siku moja moro dar kwa wasafir gani hao? Yupo pekee yake kwenye hiyo biashara?Ndio hesabu za Mpambe wa Abood hizi kwamba jamaa Kwa saa anatoa gari 6 Yani zinazoenda 3 na zinazorudi 3 kila saa!!!...Ndio akasema Abood anazo Basi 300 Kwa haraka haraka
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]jamaa alikurupuka katika hili, hilo swala la kutembeza gari 72 kwa siku moja moro dar kwa wasafir gani hao? Yupo pekee yake kwenye hiyo biashara?
Anadhani kupata abiria 69 kujaza Gari au hata Nusu yake ni Jambo la kawaida sana kama Daladala zenyewe zina tega mingo itakuaje kwenda Morogoro?jamaa alikurupuka katika hili, hilo swala la kutembeza gari 72 kwa siku moja moro dar kwa wasafir gani hao? Yupo pekee yake kwenye hiyo biashara?
Kuna kuku sio? Ndo maana hajali analeta vyuma chakavu? Basi ayaondoe yasiwepo kabisaHakuna Abiria huko [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
wakati ukiwa msamvu unaambiwa subiri gari inafika muda si mrefu unakaa zaidi ya saa zima kusubiria, na ikifika hadi ijaze ndiyo safar inaanza.Anadhani kupata abiria 69 kujaza Gari au hata Nusu yake ni Jambo la kawaida sana kama Daladala zenyewe zina tega mingo itakuaje kwenda Morogoro?
Nyie ndo mascummersUtajiri wa hv umepitwa na wakati......
siku hizi watu wapo kwenye ma cypypto
Dogo hupo kwa shemeji yako nini?Huu msemo wa tutafute mbona mnaukuza sana.. mf; mimi sihitaji hzo pesa na naishi vyema and comfortable
Analipa mkopo wa dollars za Marekani million 500😁😁😁 Ogopa sana watu wenye mawazo ya kimaskini! Kila kitu kwao ni uchawi. Ukimiliki hela halafu ukawa na tabia za kutojipenda, au huna hobby ya kupenda kuvaa vizuri, kula vizuri, au una tabia za ubahili! Tayari wanakutangaza ni mchawi! Mara sijui masharti ya mganga nk.
Kumbe utajiri kwa sehemu kubwa uko benki, usimamizi mzuri wa biashara, nidhamu na matumizi mazuri ya fedha, umakini, nk. Bahati mbaya hawa matajiri huwa hawapendi kujianika kwa kila mtu. Ila kiukweli wengi wana mikopo mikubwa benki kwa kutumia dhamana za vitu visivyo hamishika kama nyumba, mashamba makubwa yenye hati, nk! na mikopo hiyo kwa kiasi kikubwa, ndiyo iliyo wafikisha hapo walipo.
Yaani hapo kwa wastani kila baada ya dakika 10 kuna gari inaondoka msamvu au mbezi.Ndio hesabu za Mpambe wa Abood hizi kwamba jamaa Kwa saa anatoa gari 6 Yani zinazoenda 3 na zinazorudi 3 kila saa!!!...Ndio akasema Abood anazo Basi 300 Kwa haraka haraka
Mabasi yake mengi ya ovyo except route za mbali kama sumbawanga na tundumaSasa mbona route ya Arusha analeta mabasi ya hovyo hovyo tatizo nini?
Hatutaki sifa za uongo kama za watu walee wa enzi ilee, Bora tuambiane TU ukweli.5 tena
Una haki ya kushangilia ila umo ukipanda kwenda dar utalipa nauli ila ukifa wewe na familia yako kwa kunywa maji machafu ya mtoni kwa sababu umekosa maji safi na salama yale mabasi mengine ya zamani yatakubeba bure kukupeleka kola ukazikwe.Leo mji was Morogoro umemeremeta, Mabasi 20 yameingia kwa wakati mmoja, Samia kafungua uchumi, matajiri hawaogopi tena kufungua fursa kwa vijana kuajiriwa, hii ni baada ya Aboud Bus kushindwa kuingiza basi mpya tangu Magufuli awe Rais, kipindi cha Magufuli kampuni nyingi za mabasi zilifilisika.
Hongera Samia kwa kuanza kutujaza utajiri, wale wengine walitaka tuwe masikini na wanyonge
Nadhani ni Moro Best ndio walikuwa washindani wa Abood, pia kuna kampuni ya Hood sijui imefia wapHivi huwa unaelewa ninachoandika ndugu mwananchi?!
Kama ungekuwa umenisoma vizuri na kwa vituo, ungefahamu nilichosema Abood kwa Morogoro mshindani wake alikuwa Islam, na huyo mwingine ambae nimemsahau!!!
Halafu kuna kila dalili wewe mwenyewe ndo mtoto mdogo... kwavile wakati unapata akili uliona kuna mabasi ya kampuni hizi na zile, ndo unadhani hata wakati upo chekechea, kampuni zote hizo zilikuwepo!!
Hebu nikuulize... hivi hata bus terminal kwa Morogoro ilikuwa wapi kwa huo muda ninaosema mimi?!
Hahaha Yes huyo huyo.
mwamba ana magari mengi. na mengine yupo indirectly kuficha identity yake..
kuna watu wana magari..
ukija kwenye malori si ajabu kumkuta mtu ana sem mia 3 au mia 2 hadi mia 4..
[emoji16]Mtu unamiliki. ki subaru cha mkopo unajiona wewe ni wewe.
%kubwa ya magari yanayotembea barabarani wamiliki wake wanajirudia rudia.
unamkuta mtu kampuni hii ana magari 10, huku ana 40 kule ana 60.
anafanya kuchange identify na jina tu.
Magufuli mwenyewe kafa akiwa kaacha sem 100
na mabasi si chini ya 60.
Hebu taja hayo mabasi ya Magufuli, ukishindwa kutaja ww ni mnafikiHahaha Yes huyo huyo.
mwamba ana magari mengi. na mengine yupo indirectly kuficha identity yake..
kuna watu wana magari..
ukija kwenye malori si ajabu kumkuta mtu ana sem mia 3 au mia 2 hadi mia 4..
[emoji16]Mtu unamiliki. ki subaru cha mkopo unajiona wewe ni wewe.
%kubwa ya magari yanayotembea barabarani wamiliki wake wanajirudia rudia.
unamkuta mtu kampuni hii ana magari 10, huku ana 40 kule ana 60.
anafanya kuchange identify na jina tu.
Magufuli mwenyewe kafa akiwa kaacha sem 100
na mabasi si chini ya 60.