Tetesi: Usajili wa Mabasi ishirini mapya ya Abood

Tetesi: Usajili wa Mabasi ishirini mapya ya Abood

[emoji1][emoji1][emoji1] Musukuma huyu huyu mabus yake yanafungwaga na kamba za katani akidakwa anaanza kulia Lia eti Ni fitna za RTO?[emoji1][emoji1]
Hahaha Yes huyo huyo.
mwamba ana magari mengi. na mengine yupo indirectly kuficha identity yake..

kuna watu wana magari..
ukija kwenye malori si ajabu kumkuta mtu ana sem mia 3 au mia 2 hadi mia 4..

[emoji16]Mtu unamiliki. ki subaru cha mkopo unajiona wewe ni wewe.
%kubwa ya magari yanayotembea barabarani wamiliki wake wanajirudia rudia.

unamkuta mtu kampuni hii ana magari 10, huku ana 40 kule ana 60.
anafanya kuchange identify na jina tu.

Magufuli mwenyewe kafa akiwa kaacha sem 100
na mabasi si chini ya 60.
 
I
Hivi huwa unaelewa ninachoandika ndugu mwananchi?!

Kama ungekuwa umenisoma vizuri na kwa vituo, ungefahamu nilichosema Abood kwa Morogoro mshindani wake alikuwa Islam, na huyo mwingine ambae nimemsahau!!!

Halafu kuna kila dalili wewe mwenyewe ndo mtoto mdogo... kwavile wakati unapata akili uliona kuna mabasi ya kampuni hizi na zile, ndo unadhani hata wakati upo chekechea, kampuni zote hizo zilikuwepo!!

Hebu nikuulize... hivi hata bus terminal kwa Morogoro ilikuwa wapi kwa huo muda ninaosema mimi?!
Islam hajawah kuwa mpinzani wa kweli wa abood....yan abood usimlinganishe kabisa na islam...wakat islam angalau ana basi kidogo za kueleweka, abood ndio alikuw na zile andare zikiwa mpya kabisa...na wakati huo abood alikuw anachuana sana na Hood wakati bado hajafa....islam alikuw pembeni kabisa huko....Hood akafa,Islam sijui akapotelea wapi, BM ndio akaibuka baadae ukaanza mchuano wa Abood na BM...labda kama umezaliwa juzi mkuu
 
Alsaed,Sadiq line,Sia,Hood na Islam wewe hatari sana unajua kupinga na kutukana watu Tu!!
Wapi nimekutukana?!

Kama kusema ulikuwa chekechea, ni mara ngapi umedai mimi ni mtoto wakati hata hunijui na wala sikulia lia kwamba unanitukana?

Btw, nilichopinga?! Nimekuambia kulikuwa na Abood, Islam, Hood, na nyingine nimeisahau...
 
Wapi nimekutana?!s

Kama kusema ulikuwa chekechea, ni mara ngapi umedai mimi ni mtoto wakati hata hunijui na wala sikulia lia kwamba unanitukana?

Btw, nilichopinga?! Nimekuambia kulikuwa na Abood, Islam, Hood, na nyingine nimeisahau...
Sawa mkuu Kazi iendelee
 
I
Islam hajawah kuwa mpinzani wa kweli wa abood....yan abood usimlinganishe kabisa na islam...wakat islam angalau ana basi kidogo za kueleweka, abood ndio alikuw na zile andare zikiwa mpya kabisa...na wakati huo abood alikuw anachuana sana na Hood wakati bado hajafa....islam alikuw pembeni kabisa huko....Hood akafa,Islam sijui akapotelea wapi, BM ndio akaibuka baadae ukaanza mchuano wa Abood na BM...labda kama umezaliwa juzi mkuu
Guys... ushindani sio lazima nguvu wawe sawa!!

Hata ACT ni mpinzani wa CCM...

Na ungesoma maelezo yangu ya awali nimeonesha wazi ni namna gani Abood alikuwa giant... mbona mnapenda ku-complicate mambo!!
 
Ukikaa pale Njombe kila baada ya Nusu saa au lisaa lazima bus zake zipishane kakamata ruti zote kutoka Songea kwenda-Dar,Dom,Iringa,Tunduma,Mbeya,Njombe na sasa anakuja na Mwanza na Arusha Scania G7 Marcopolo dereva walioteuliwa wako likizo wakirudi chuma hakuna kulala.
Abood Anayo polo moja inaenda mwanza imechoka balaa ukipanda huwez kurudia tena
 
Huyu ni wajuzi lakini kasahau Alsaed na Sadiq pia!!!.
Duh! We jamaa bhana...

And FYI, basi ambalo nilipanda ni Sadiq na ndo maana nilisema nimelisahau lakini halikuwa Islam wala Hood!!

Inaelekea mnafanya mashindano ya nani anayafahamu sana mabasi ya Morogogo...

Nishasema, siyafahamu....

Kwanza by the time, likizo zangu nilikuwa naenda Msanga, na Bibi yangu aliporudi Kilwa kwenye asili yake, nikawa naenda Kilwa kwahiyo I know nothing about mabasi yaendayo mikoani!!
 
Mengine yanapiga ruti za kwenye Misiba kwa wakazi waliofiwa wa Moro mjini.

Halafu Treni za mwendokasi zikianza Dar - Moro mbona usafiri wa mabasi nao utakuwa hauna inshu. Labda dili litabaki kwa ruti za mikoani.
Ni sawa na wakati Treni za mwakyembe zinaanza, wakasema daladala hazitakua na issue

Hakuna kitu kama hicho boss, zitakua na issue sana tu
 
Kwani superfeo na selous zaid ya kwenda huko kusini , kuna kwingine anaenda?au unaposema ana route nyingi unamaanisha zipi?
Ficha ujinga mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]

Hv ukisikia kusini unadhan n padogo kama wilaya ya kinondon, huyu mtu ana route nyingi mno mno mno , kuna mdau huko juu kataja baadhi

Kimsingi huenda yeye ndie namba moja
 
Hahaha Yes huyo huyo.
mwamba ana magari mengi. na mengine yupo indirectly kuficha identity yake..

kuna watu wana magari..
ukija kwenye malori si ajabu kumkuta mtu ana sem mia 3 au mia 2 hadi mia 4..

[emoji16]Mtu unamiliki. ki subaru cha mkopo unajiona wewe ni wewe.
%kubwa ya magari yanayotembea barabarani wamiliki wake wanajirudia rudia.

unamkuta mtu kampuni hii ana magari 10, huku ana 40 kule ana 60.
anafanya kuchange identify na jina tu.

Magufuli mwenyewe kafa akiwa kaacha sem 100
na mabasi si chini ya 60.
😄😄😄 Musukuma anawatishaga Sana wasiomjua tu,Tena wakuja ndio mnamuogopa.Uzuri anawajua vzr mnamuogopa utasikia tu yule Ni tajiri ana liV8 lake limeandikwa KING M 😄😄, jamaa anaikodisha kwny sherehe za harusi imewafanya mkamuogopa Sana Mnadhani Ni fogo,hakuna kitu pale.Wengine utasikia anamiliki Hadi helicopter aliyoshuka nayo kwny uzinduzi wa kampeni za Lowassa Arusha 😄😄😄 hua nacheka Sana,maana wakodishaji wa helicopter hio tunawajua vzr.

Bank ya nbc yenyewe ilikua inapiga mnada nyumba zake ameshindwa kulipa mil 100 tu 😄😄.
 
[emoji1][emoji1][emoji1] Musukuma anawatishaga Sana wasiomjua tu,Tena wakuja ndio mnamuogopa.Uzuri anawajua vzr mnamuogopa utasikia tu yule Ni tajiri ana liV8 lake limeandikwa KING M [emoji1][emoji1], jamaa anaikodisha kwny sherehe za harusi imewafanya mkamuogopa Sana Mnadhani Ni fogo,hakuna kitu pale.Wengine utasikia anamiliki Hadi helicopter aliyoshuka nayo kwny uzinduzi wa kampeni za Lowassa Arusha [emoji1][emoji1][emoji1] hua nacheka Sana,maana wakodishaji wa helicopter hio tunawajua vzr.

Bank ya nbc yenyewe ilikua inapiga mnada nyumba zake ameshindwa kulipa mil 100 tu [emoji1][emoji1].
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom