Tetesi: Usajili wa Mabasi ishirini mapya ya Abood

Tetesi: Usajili wa Mabasi ishirini mapya ya Abood

Abood ana mabasi zaidi ya 300 unashangaaje hayo20
.
IMG_20210924_074847.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kama huwez vumilia saa 3 bila kula ,siku moja kabla ya safari jinunulie hizo bites kaa nazo ule njian
Jiongeze kidogo basi, au wewe ni product wa hii elimu yetu iliyologwa nini? Maana kizazi cha shule hizi ni majanga.

1. Umeona hapo sikutaja ugali wala makande, nimesema bites. Hilo umeshindwa kuona inamaanisha nini?

2. Haya, umetoka Moro na gari ya kwanza. Yani ukae mdomo unanuka na njaa mpaka Dar kisa kuna mtu kama wewe anasema safari ya saa tatu huhitaji kula? Siku hizi chai unauziwa kwenye kibobo chako safi, unaingia nacho garini.

3. Kwahiyo, ushawaza na kuona kuwa ulionao wote ndani ya gari mpo sawa. Wamekula kama wewe, wanajisikia haja kama wewe n.k. na hivyo,vile unajisikia wewe,abiria wote wanajisikia hivyo.

Ninadhani hapa umeathiriwa na mawazo yetu yale ya kudhani unachowaza wewe ndiyo ulimwengu. Walimwengu hatupo sawa kama ulivyokariri. Aidha, maisha yamebadilika, mengine tuliyafanya sababu ya kukosa uwezo, fursa na sehemu za kufanya haya. Mwaka 80 si sawa na 2021.

Tafakari, chukua hatua
 
Kwenye Top 5 ya wasafirishaji wa Mizigo na Abiria huyu hata Top 10 hayupo!!!
Wewe acha ubishi aisee Super feo anakuja kua namba Moja Kwenye sekta ya usafirishaji wa abiria nchini huyo jamaa anatisha watu wa nyanda za juu kusini nadhani watakua wananielewa Nini nazungumzia hapa,
Kumbuka
Super feo na Selous ni kampuni ya mtu mmoja Kwa speed anayokuja nayo atakua Hana mpinzani!
 
Na bila shaka lile basi ambalo lilippigwa gap na Aboud kadhaa kabla lenyewe halijaondoka, basi lile ndo litakuwa lenu manake hakuna dalili ya Islam kuwa Fares Maro.
Wewe wa Leo ningesema wa Jana ningekua nimekupa umri mrefu kama Usafirishaji unadhani Mpinzani wa Abood ni Islam wewe wa Leo!!
 
Wewe acha ubishi aisee Super feo anakuja kua namba Moja Kwenye sekta ya usafirishaji wa abiria nchini huyo jamaa anatisha watu wa nyanda za juu kusini nadhani watakua wananielewa Nini nazungumzia hapa,
Kumbuka
Super feo na Selous ni kampuni ya mtu mmoja Kwa speed anayokuja nayo atakua Hana mpinzani!
Kwa sababu ya kununua scania 10? Au argument yako imebase kwwnye fact zipi had kumweka hapo unaposema
 
Kwa sababu ya kununua scania 10? Au argument yako imebase kwwnye fact zipi had kumweka hapo unaposema
huyo super feo kashika ruti za nyanda za juu.
ni kama abood kumuona njia ya dar moro
na shabby kumuona dar dom.

na kama zakaria alivyoshika njia ya tarime huko.

ki, uhalisia kwenye top 5 ya makampuni super feo anaingia ana mgari mengi sanaa.
ila kwa kuwa upo dar huwezi yaona.
balaa lake. linaanzia
iringa, mbeya, njombe, ruvuma huko kote basi zake ni kama abood kwa huku dar.

Punguza ubishi kama huna research.
pengine nyanda za. juu hujawahi kufika.

nikikuambia musukuma. ni tajiri wa magari na amehodhi njia nyingi kwao. kahama huwezi elewa.
 
Wewe wa Leo ningesema wa Jana ningekua nimekupa umri mrefu kama Usafirishaji unadhani Mpinzani wa Abood ni Islam wewe wa Leo!!
Hivi huwa unaelewa ninachoandika ndugu mwananchi?!

Kama ungekuwa umenisoma vizuri na kwa vituo, ungefahamu nilichosema Abood kwa Morogoro mshindani wake alikuwa Islam, na huyo mwingine ambae nimemsahau!!!

Halafu kuna kila dalili wewe mwenyewe ndo mtoto mdogo... kwavile wakati unapata akili uliona kuna mabasi ya kampuni hizi na zile, ndo unadhani hata wakati upo chekechea, kampuni zote hizo zilikuwepo!!

Hebu nikuulize... hivi hata bus terminal kwa Morogoro ilikuwa wapi kwa huo muda ninaosema mimi?!
 
Akisoma post 118 ataelewa nilipokua nipo Songea niliona kawaida ila nilipokaa Njombe ndo nikasema huyu jamaa noma..

Songea si unajua zinakua yadi ila ukikaa njiani si unaona zinavyopita tena kila ruti kuna gari zaidi ya moja apige mahesabu mwenyewe sasa.
huyo super feo kashika ruti za nyanda za juu.
ni kama abood kumuona njia ya dar moro
na shabby kumuona dar dom.

na kama zakaria alivyoshika njia ya tarime huko.

ki, uhalisia kwenye top 5 ya makampuni super feo anaingia ana mgari mengi sanaa.
ila kwa kuwa upo dar huwezi yaona.
balaa lake. linaanzia
iringa, mbeya, njombe, ruvuma huko kote basi zake ni kama abood kwa huku dar.

Punguza ubishi kama huna research.
pengine nyanda za. juu hujawahi kufika.

nikikuambia musukuma. ni tajiri wa magari na amehodhi njia nyingi kwao. kahama huwezi elewa.
 
huyo super feo kashika ruti za nyanda za juu.
ni kama abood kumuona njia ya dar moro
na shabby kumuona dar dom.

na kama zakaria alivyoshika njia ya tarime huko.

ki, uhalisia kwenye top 5 ya makampuni super feo anaingia ana mgari mengi sanaa.
ila kwa kuwa upo dar huwezi yaona.
balaa lake. linaanzia
iringa, mbeya, njombe, ruvuma huko kote basi zake ni kama abood kwa huku dar.

Punguza ubishi kama huna research.
pengine nyanda za. juu hujawahi kufika.

nikikuambia musukuma. ni tajiri wa magari na amehodhi njia nyingi kwao. kahama huwezi elewa.
😄😄😄 Musukuma huyu huyu mabus yake yanafungwaga na kamba za katani akidakwa anaanza kulia Lia eti Ni fitna za RTO?😄😄
 
Back
Top Bottom