nandengele
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 689
- 805
Ndio uwezo anao mfano ana mbinga to dar kupitia masasi na mbinga dar kupitia iringa so labda anasubir ile rami ikamilike aweke gariUwezo anao kampuni kubwa na ina bus nyingi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio uwezo anao mfano ana mbinga to dar kupitia masasi na mbinga dar kupitia iringa so labda anasubir ile rami ikamilike aweke gariUwezo anao kampuni kubwa na ina bus nyingi...
Mkuu kwa upande wa mabasi labda kuna watabe wengine lakini yupo njema sana ila mizigo sijui sanaKwenye Top 5 ya wasafirishaji wa Mizigo na Abiria huyu hata Top 10 hayupo!!!
.Abood ana mabasi zaidi ya 300 unashangaaje hayo20
Na bila shaka lile basi ambalo lilippigwa gap na Aboud kadhaa kabla lenyewe halijaondoka, basi lile ndo litakuwa lenu manake hakuna dalili ya Islam kuwa Fares Maro.Nimeanza kukurupuka!!..
Asee wakuu kumbe kuna watu wana jax sana hii nchi. Nimeona huko Twitter kuwa huu ni usajili wa mabus 20 mapya ya Abood.
View attachment 1972491
Tutafute hela wakuu.
Jiongeze kidogo basi, au wewe ni product wa hii elimu yetu iliyologwa nini? Maana kizazi cha shule hizi ni majanga.
1. Umeona hapo sikutaja ugali wala makande, nimesema bites. Hilo umeshindwa kuona inamaanisha nini?
2. Haya, umetoka Moro na gari ya kwanza. Yani ukae mdomo unanuka na njaa mpaka Dar kisa kuna mtu kama wewe anasema safari ya saa tatu huhitaji kula? Siku hizi chai unauziwa kwenye kibobo chako safi, unaingia nacho garini.
3. Kwahiyo, ushawaza na kuona kuwa ulionao wote ndani ya gari mpo sawa. Wamekula kama wewe, wanajisikia haja kama wewe n.k. na hivyo,vile unajisikia wewe,abiria wote wanajisikia hivyo.
Ninadhani hapa umeathiriwa na mawazo yetu yale ya kudhani unachowaza wewe ndiyo ulimwengu. Walimwengu hatupo sawa kama ulivyokariri. Aidha, maisha yamebadilika, mengine tuliyafanya sababu ya kukosa uwezo, fursa na sehemu za kufanya haya. Mwaka 80 si sawa na 2021.
Tafakari, chukua hatua
Wewe acha ubishi aisee Super feo anakuja kua namba Moja Kwenye sekta ya usafirishaji wa abiria nchini huyo jamaa anatisha watu wa nyanda za juu kusini nadhani watakua wananielewa Nini nazungumzia hapa,Kwenye Top 5 ya wasafirishaji wa Mizigo na Abiria huyu hata Top 10 hayupo!!!
Wewe wa Leo ningesema wa Jana ningekua nimekupa umri mrefu kama Usafirishaji unadhani Mpinzani wa Abood ni Islam wewe wa Leo!!Na bila shaka lile basi ambalo lilippigwa gap na Aboud kadhaa kabla lenyewe halijaondoka, basi lile ndo litakuwa lenu manake hakuna dalili ya Islam kuwa Fares Maro.
Anakuja kuwa Sawa kumbe future ambayo hata wewe hujui kesho utakua wapi?!!..Tunataka Leo!!
Kwa sababu ya kununua scania 10? Au argument yako imebase kwwnye fact zipi had kumweka hapo unaposemaWewe acha ubishi aisee Super feo anakuja kua namba Moja Kwenye sekta ya usafirishaji wa abiria nchini huyo jamaa anatisha watu wa nyanda za juu kusini nadhani watakua wananielewa Nini nazungumzia hapa,
Kumbuka
Super feo na Selous ni kampuni ya mtu mmoja Kwa speed anayokuja nayo atakua Hana mpinzani!
Mkuu hebu tutajie kampuni moja yenye mabus mengi na ruti nyingi kuliko super feo &Selous
Leo kivipi wakati mpaka hapa Hana mpinzani kampuni yake Ina gari nyingi kuliko kampuni yoyote Ile hapa nchini?Anakuja kuwa Sawa kumbe future ambayo hata wewe hujui kesho utakua wapi?!!..Tunataka Leo!!
Kwani superfeo na selous zaid ya kwenda huko kusini , kuna kwingine anaenda?au unaposema ana route nyingi unamaanisha zipi?
huyo super feo kashika ruti za nyanda za juu.Kwa sababu ya kununua scania 10? Au argument yako imebase kwwnye fact zipi had kumweka hapo unaposema
hahaahaa achana na hizo kumi za juzi mkuu huyu jamaa kampuni yake Ina bus nyingi Sana ambazo zimeteka ruti za huku nyanda za juu kusini aisee!Kwa sababu ya kununua scania 10? Au argument yako imebase kwwnye fact zipi had kumweka hapo unaposema
Tatizo lako unaleta ubishi na mazoea!Huko Songea uliwahi kuona basi ya Mtei?
Hivi huwa unaelewa ninachoandika ndugu mwananchi?!Wewe wa Leo ningesema wa Jana ningekua nimekupa umri mrefu kama Usafirishaji unadhani Mpinzani wa Abood ni Islam wewe wa Leo!!
huyo super feo kashika ruti za nyanda za juu.
ni kama abood kumuona njia ya dar moro
na shabby kumuona dar dom.
na kama zakaria alivyoshika njia ya tarime huko.
ki, uhalisia kwenye top 5 ya makampuni super feo anaingia ana mgari mengi sanaa.
ila kwa kuwa upo dar huwezi yaona.
balaa lake. linaanzia
iringa, mbeya, njombe, ruvuma huko kote basi zake ni kama abood kwa huku dar.
Punguza ubishi kama huna research.
pengine nyanda za. juu hujawahi kufika.
nikikuambia musukuma. ni tajiri wa magari na amehodhi njia nyingi kwao. kahama huwezi elewa.
😄😄😄 Musukuma huyu huyu mabus yake yanafungwaga na kamba za katani akidakwa anaanza kulia Lia eti Ni fitna za RTO?😄😄huyo super feo kashika ruti za nyanda za juu.
ni kama abood kumuona njia ya dar moro
na shabby kumuona dar dom.
na kama zakaria alivyoshika njia ya tarime huko.
ki, uhalisia kwenye top 5 ya makampuni super feo anaingia ana mgari mengi sanaa.
ila kwa kuwa upo dar huwezi yaona.
balaa lake. linaanzia
iringa, mbeya, njombe, ruvuma huko kote basi zake ni kama abood kwa huku dar.
Punguza ubishi kama huna research.
pengine nyanda za. juu hujawahi kufika.
nikikuambia musukuma. ni tajiri wa magari na amehodhi njia nyingi kwao. kahama huwezi elewa.