Tetesi: Usajili wa Mabasi ishirini mapya ya Abood

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yule Mungu katuepusha na balaa kubwa sana kumtoa hapa duniani.
Alikua mnafiki sanaa jamaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Super Feo anatisha Nyanda ya juu kusini ipi hiyo tena? kule basi linalopendwa na kugombaniwa kwa sasa si SAULI pekeee

Sent from my SM-C7010 using JamiiForums mobile app
 
Super Feo anatisha Nyanda ya juu kusini ipi hiyo tena? kule basi linalopendwa na kugombaniwa kwa sasa si SAULI pekeee

Sent from my SM-C7010 using JamiiForums mobile app
hatuzungumzii kugombaniwa hapa,Bali ni wingi wa mabus hata hivyo Super feo hana ruti ya dar mbeya jamaa anayaelekeza songea na ndio Hana mpinzani miaka nenda Rudi Kama unabisha waulize watani zako kina nyumbi hii bombi hii wakitaka Rudi kwao ruvuma wakitoka daslamu wanarudi Kwa usafiri upi watakwambia!
 
Hana uwezo huo!!...Scania,Benz na Volvo mpya Moja tena za 2020 ni Sawa na Yutong 6 mpya!!
Sasa ulichokua unabisha kua Super feo ni moto Wa kuotea mbali ulikua unabisha Nini
Wakati juzi hapo kashusha Scania Marcopolo Kama 5 hivi Kwa mpigo halafu ukasema wa kawaida na kumligi na Hao unaosema hawana uwezo
Tukuelewaje?
 
Kuna Kilimanjaro Truck/Express huyu kila siku anatoa Gari 20 Dar es salaam!!...Nenda Moshi, Arusha,Tunduma,Mbeya,Iringa,Manyara,Rombo!!..Anazo Gari za Mizigo na hii ndio ilikua Sawaya (1988-2000)
ila Kilimanjaro wa moto yule mwamba duuu halafu jamaa bus nyingi muundo wake ni Marcopolo hua nakubali Sana ule uwekezaji mchina atakuja Kwa mbwembwe atapiga Kazi mwaka Mmoja N'goma Inaanza kuchakaa mnyama Scania aliyemkuta ana miaka 10 Bado linadunda na litaendelea tu kukimbiza road mpaka faida ya yutong 100 ije
Hahahahaaah!
 
Kuna Mtei huyu nadhani ni wa kitambo zaidi huyu!!..Alikua na Leyland,Fiat,Benz na Scania wakati huo na Hadi Leo yupo kwenye game!!..
na ndio maana nikiona muwwkezaji wa mabus anatumia Scania hua namheshimu huyo Kwenye upande wa ukwasi kibongo bongo sio mwenzio maana Kumiliki mnyama Mmoja unaweza rudisha faida ya yutong 10 ndani ya mda mfupi maana zile cost za service na uchakavu hua nadra Sana hivyo hua Kazi Kazi!
 
Umeona sasa hivi ameanza kufungua Vituo vyake vya Mafuta na Hotel kwenye Route zake zote!!..
 
Tofautisha kupendwa na kuwa na gari nyingi na ruti nyingi...sauli kampuni ndogo sana mbele ya superfeo kampuni yenye gari zisizofika hata 10 unataka kufananisha na yenye magari zaidi 50 DPC(Benz),DPN,DRH,DTF,DWL (Scania gemilang) na DXE(G7) wakati feo ana michina kibao na G7 mpya kaingiza kwa mara moja 6.
Super Feo anatisha Nyanda ya juu kusini ipi hiyo tena? kule basi linalopendwa na kugombaniwa kwa sasa si SAULI pekeee

Sent from my SM-C7010 using JamiiForums mobile app
 
Kilimanjaro anajua kutunza gari cheki zile za Tunduma namba B lakini ziko vizuri kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…