Oppomall
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 3,683
- 3,966
Dar _ Moro mabasi ya Abood yanapisha dakika 30 yanayoenda na yanayorudi.Na yote yanatembea rodi mkuu?
Achilia mbali aliyopeleka mikoani.
Huyu siyo wa kumshangaa mabasi 20
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar _ Moro mabasi ya Abood yanapisha dakika 30 yanayoenda na yanayorudi.Na yote yanatembea rodi mkuu?
Marcopolo zile anabadili bodi tu na kupiga rangi,hizo mwendo mdundo tunduma S,wanga,kahama twende ni mbio tu.Machache yapo service ndefu
Huu msemo wa tutafute mbona mnaukuza sana.. mf; mimi sihitaji hzo pesa na naishi vyema and comfortableAsee wakuu kumbe kuna watu wana jax sana hii nchi. Nimeona huko Twitter kuwa huu ni usajili wa mabus 20 mapya ya Abood.
View attachment 1972491
Tutafute hela wakuu.
Unajijua kuwa umeandika 'Upuuzi' sana?Kiboko yake kafariki. Magu alikuwa anamchamba Nassoro Abood anavyotaka. Ikiwemo lile la kutoa mabasi kupeleka watu misibani huku viwanda kaua.
Safari ya saa tatu (3:00) unakula chakula njiani! Ni muda sawa na Mbagala kwenda Mbezi stendi unataka ule njiani!Mimi ninadhani hicho ni kiwango cha kawaida tu kwa kampuni kama Abood. Hata alipoingiza hizi zilizopo sasa ni hivyohivyo tu. Ninakumbuka ilikuwa sherehe pale Msamvu, misele ya kufa mtu roundabout wakipokewa na bodaboda.
Ninafikiri kwetu wateja, muhimu sasa ni kuletewa basi zilizo comfortable na rafiki kimatumizi. Yutong tunazoletewa ni za kikuda sana. Pot za kuchajia zinadumu miezi,hazifiki mwaka. AC halikadhalika—ikishabuma mtakoma humo kwenye basi. Siti pia ni ndogoo,ukiwa mrefu ama kibonge imekula kwako.
Ninajua haya ndo huchangia kushusha bei ya basi huko sokoni uchina. Lakini,kwakuwa kampuni ina uwezo, ingia dau kubwa, lete chache za ukweli wenye uwezo wapande kwa bei elekezi. Wateja wapo. Tunaona BM ana zile zenye daraja la kwanza na la pili. Kila siku daraja la kwanza zinajaa fasta.
Halafu Abood kama mnanisoma acheni ubahili. Katikati ya Dar na Moro jengeni kahoteli uchwara ka kupata bites na kujisaidia. Mnahama vihoteli, mnapeleka abiria vihoteli vinanuka choo utasema vyoo vya stend. Bites za kiwango cha chiiini.
Safari ni starehe jamani.
Utajiri wa hv umepitwa na wakati......
siku hizi watu wapo kwenye ma cypypto
Magu alimsikiaga afande sele alivyokuwa act, kiwanda kafugia mbuzi, watu tunakufa na njaa kazi hatuna, tunakufa na njaa anatoa mabasi, ya kutuzikia, kipindi kile alivyokuwa anagombea ubunge, na alivyosema afande ni kweli, Kuna mbuzi kibao wakula yeye na familia yake.Kiboko yake kafariki. Magu alikuwa anamchamba Nassoro Abood anavyotaka. Ikiwemo lile la kutoa mabasi kupeleka watu misibani huku viwanda kaua.
hahahahahahahaHela za masheriti.
Alisikika mwananchi mmoja akiwa anapiga miayo.
Asee wakuu kumbe kuna watu wana jax sana hii nchi. Nimeona huko Twitter kuwa huu ni usajili wa mabus 20 mapya ya Abood.
View attachment 1972491
Tutafute hela wakuu.
Haya miatatu yanakaa kwenu?Abood ana mabasi zaidi ya 300 unashangaaje hayo20
Unataka uyaone yanaatamia kama zile ndege zetu,yako road yanakula vichwaHaya miatatu yanakaa kwenu?
Jiongeze kidogo basi, au wewe ni product wa hii elimu yetu iliyologwa nini? Maana kizazi cha shule hizi ni majanga.Safari ya saa tatu (3:00) unakula chakula njiani! Ni muda sawa na Mbagala kwenda Mbezi stendi unataka ule njiani!
Utajiri wa hv umepitwa na wakati......
siku hizi watu wapo kwenye ma cypypto
Kama wewe..Utajiri wa hv umepitwa na wakati......
siku hizi watu wapo kwenye ma cypypto
Hizo Cypyto zako zinapita thamani ya hayo mabasi? No Offense.Utajiri wa hv umepitwa na wakati......
siku hizi watu wapo kwenye ma cypypto
SGR itamalizika ujenzi wake kwa Abood kupitisha bajeti yake huko bungeniAsee wakuu kumbe kuna watu wana jax sana hii nchi. Nimeona huko Twitter kuwa huu ni usajili wa mabus 20 mapya ya Abood.
View attachment 1972491
Tutafute hela wakuu.
hahahahahaAlisikika Tajiri mmoja wa kisasa akimshauri bwana abudi
Faida ya kuingiza mafuta toka nje ni kubwa kuliko kua na kiwanda kwa wafanyabiashara.Kile kiwanda ndio basi tena