Tetesi: Usajili wa Mabasi ishirini mapya ya Abood

Tetesi: Usajili wa Mabasi ishirini mapya ya Abood

Mimi sijui idadi yake lakini sitasahau tukio la almost 20 years ago!!!

Nimefika zangu Ubungo nimekuta basi la kampuni fulani hivi (nimesahau jina lake lakini sio Islam) likiwa na watu zaidi ya robo tatu kama sio zaidi.

Wakati huo huo, basi moja ya Aboud ndo lilikuwa linajitayarisha kupakia abiria, na kwahiyo halikuwa na abiria hata mmoja!!

Sasa kwavile sikuwa na uzoefu na mabasi yaendayo Morogoro, nikapanda lile nililoona limejaa zaidi ya 3/4 huku nikiamini ndo nitawahi kuondoka!!

Kitu ambacho sitasahau, ziliondoka Aboud kama sio 4 basi 5 wakati basi letu lililokuwa limejanza zaidi ya 3/4 kabla yao tukiwa pale pale!!

Na ninachotaka kusema kwamba, labda siku hizi kwavile magari ni mengi lakini kwa wakati, hiyo nusu saa ingekuwa zinaondoka Aboud angalau 3 kwa route moja!!!
Ni kweli mkuu zamani ilikuwa hivo kabla ya 2012.
Alishindwa kusoma alama za nyakati akawa bado anatumia zile scania siti 2*3,BM akaingia hiyo route na Youtong za 2*2 wajanja wakaanza kuchepuka.

Lakini bado Abood akaendelea kusumbua,BM akaingiza Zhongtong climber 2*2 full AC na fitna ya kuondoa gari kila nusu saa iwe imejaa au haijajaa. Hapo sasa Abood akawa kapatikana ikabidi na yeye aingize Youtong lakini alikuwa kachelewa maana BM tayari ameshajijengea ile legacy ya kuwa na abiria wake permanent.

Kimsingi bado Abood anatoa gari nyingi kwa Siku hiyo route ya Dar -Moro lakini lakini amepokonywa ile monopoly yake na BM
 
Ukikaa pale Njombe kila baada ya Nusu saa au lisaa lazima bus zake zipishane kakamata ruti zote kutoka Songea kwenda-Dar,Dom,Iringa,Tunduma,Mbeya,Njombe na sasa anakuja na Mwanza na Arusha Scania G7 Marcopolo dereva walioteuliwa wako likizo wakirudi chuma hakuna kulala.
Kama ww uko dar huwezi jua ana gari ngapi, kaa songea road utajua huyu jamaa anatisha, anatumia sana youtong vipisi kwa ruti fupi fupi ambazo hakuna hata aliye ziwaza mf juzi nmekutana na namtumbo kwenda ilula
 
Ni kweli mkuu zamani ilikuwa hivo kabla ya 2012.
Alishindwa kusoma alama za nyakati akawa bado anatumia zile scania siti 2*3,BM akaingia hiyo route na Youtong za 2*2 wajanja wakaanza kuchepuka.

Lakini bado Abood akaendelea kusumbua,BM akaingiza Zhongtong climber 2*2 full AC na fitna ya kuondoa gari kila nusu saa iwe imejaa au haijajaa. Hapo sasa Abood akawa kapatikana ikabidi na yeye aingize Youtong lakini alikuwa kachelewa maana BM tayari ameshajijengea ile legacy ya kuwa na abiria wake permanent.

Kimsingi bado Abood anatoa gari nyingi kwa Siku hiyo route ya Dar -Moro lakini lakini amepokonywa ile monopoly yake na BM
BM hata Moshi Arusha amevunja utawala wa wakongwe, BM wako vizuri sana sasa hivi.
 
nimekuambia sehemu zake zote nazijua hayo mabus 300 siyo kweli. Ishu ibaki hivyo huu si muda wa kukuza mambo tunapaswa kuwa wakweli na kuachana na stori za vijiweni.

Basi 300 ni ngumu kwa kweli

Dar- moro kama mdau alivyosema after nusu saa basi inatoka. Masaa 14 ya kazi sawa na basi 28 ukizidisha mara 2 ni 56.

Turudi kwenye ruti zake zingine dar tunduma weka basi 5. Dar mbeya weka 5. Dar mwanza weka 5. Moro mwanza weka 5. Moro arusha weka 5.

Weka yaliyo service 30.

Total 120 hizo 300 zinatoka wapi. Story za vijiweni
 
Back
Top Bottom