ChawaWaMama
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,765
- 3,277
Hebu tulia kwanza kunywa maji halafu uandike kinachoekeweka. Hujui humu JF karibia 25% wako nje ya TZ sasa unapoleta taarifa hakikisha imekamilika na inaelewekaGreat thinkers,
Nimeshangaa sana tena sana. Inakuwaje rais wetu na amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anakumbatiwa na raia kiasi kile?? Jamani nimestuka mno.
hilo umeliona la maana ana?Great thinkers,
Nimeshangaa sana tena sana. Inakuwaje rais wetu na amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anakumbatiwa na raia kiasi kile?? Jamani nimestuka mno.
Chawa unaumia maana umefanya kazi ya uchawa miaka miwili ila hata kupewa mkono na raisi hujawahiGreat thinkers,
Nimeshangaa sana tena sana. Inakuwaje rais wetu na amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anakumbatiwa na raia kiasi kile?? Jamani nimestuka mno.
Umeharibu uzi wangu graaahhhhhhh! Hivi hiyo nguo aliyovaa je kama asubuhi imewekewa dawa za kumdhuru rais, nyamaza kabisa.Kumbe hujui lolote kuhusu protocal za usalama.
HAKUNA TUKIO LA KUSTUKIZA.
Kila anayekutana naye na atakayeshikana naye mikono anafahamika kabla ya kukutana na raisi.
Wanafanyiwa screening ya kutosha.Rejea usalama wa magufuli, pale aliposajili laini kwa alama ya vidole, unaambiwa siku 1 kabla ya magufuli kufika usalama walifika pale kufanya screening nenda yutube kacheki hyo video
Halafu kwa taarifa yako yule mama anamfahamu. yule mama alikuwa mtangazaji a kwanza mwanamke bi hadija.
Kabla ya hapo alishawahi kukutana na samia sehemu kadha wa kadha,
Ukienda Switzerland utangaa zaidi. Rias anakwenda ofsn, mkutanoni , sokoni kwa baiskeliGreat thinkers,
Nimeshangaa sana tena sana. Inakuwaje rais wetu na amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anakumbatiwa na raia kiasi kile?? Jamani nimestuka mno.
Waturudishie tu lile jukwaa letu mkuu, huku hakuna madini....😜Hebu tulia kwanza kunywa maji halafu uandike kinachoekeweka. Hujui humu JF karibia 25% wako nje ya TZ sasa unapoleta taarifa hakikisha imekamilika na inaeleweka
Na ikiwa na picha itapendeza zaidHebu tulia kwanza kunywa maji halafu uandike kinachoekeweka. Hujui humu JF karibia 25% wako nje ya TZ sasa unapoleta taarifa hakikisha imekamilika na inaeleweka
💯liko wapi hilo kumbato?
weka kielelezo (picha au video) acha BRAH-BRAH kijana
Kumbe hujui lolote kuhusu protocal za usalama.
HAKUNA TUKIO LA KUSTUKIZA.
Kila anayekutana naye na atakayeshikana naye mikono anafahamika kabla ya kukutana na raisi.
Wanafanyiwa screening ya kutosha.Rejea usalama wa magufuli, pale aliposajili laini kwa alama ya vidole, unaambiwa siku 1 kabla ya magufuli kufika usalama walifika pale kufanya screening nenda yutube kacheki hyo video
Halafu kwa taarifa yako yule mama anamfahamu. yule mama alikuwa mtangazaji a kwanza mwanamke bi hadija.
Kabla ya hapo alishawahi kukutana na samia sehemu kadha wa kadha,
Umeharibu uzi wangu graaahhhhhhh! Hivi hiyo nguo aliyovaa je kama asubuhi imewekewa dawa za kumdhuru rais, nyamaza kabisa.
Usishtuke rais anapokuwa mwislamu watu huwa na mahaba naye kuliko mnapokuwa nyinyi.Great thinkers,
Nimeshangaa sana tena sana. Inakuwaje rais wetu na amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anakumbatiwa na raia kiasi kile?? Jamani nimestuka mno.
Ungekuwa karibu ningekuzaba kibaoThis case is closed.....Boma Liwanza.
Acha uhohehaheUsishtuke rais anapokuwa mwislamu watu huwa na mahaba naye kuliko mnapokuwa nyinyi.
Hao wote huwa tayari washakaguliwa na idara ya usalama wa raisGreat thinkers,
Nimeshangaa sana tena sana. Inakuwaje rais wetu na amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anakumbatiwa na raia kiasi kile?? Jamani nimestuka mno.