Usalama wa Rais Dkt Samia kukumbatiana na aliyepewa zawadi kwenye tukio la Azam

Usalama wa Rais Dkt Samia kukumbatiana na aliyepewa zawadi kwenye tukio la Azam

Kumbe hujui lolote kuhusu protocal za usalama.

HAKUNA TUKIO LA KUSTUKIZA.

Kila anayekutana naye na atakayeshikana naye mikono anafahamika kabla ya kukutana na raisi.

Wanafanyiwa screening ya kutosha.Rejea usalama wa magufuli, pale aliposajili laini kwa alama ya vidole, unaambiwa siku 1 kabla ya magufuli kufika usalama walifika pale kufanya screening nenda yutube kacheki hyo video

Halafu kwa taarifa yako yule mama anamfahamu. yule mama alikuwa mtangazaji a kwanza mwanamke bi hadija.

Kabla ya hapo alishawahi kukutana na samia sehemu kadha wa kadha,
Post in thread 'Camouflagers na informers ' Camouflagers na informers
 
Unajua nini kuhusu inner cycle na outer cycle ya walinzi wa raisi. unajua kazi ya wale 14 wa inner cycle???

Pumbavu wewe.

Kama unaona ni rahisi kumdhuru raisi nenda kajaribu. Peleka mattacol yako ukaone.


Huna unachokijuaa Jinga
Watu mmejaa stress sana.
 
Unajua nini kuhusu inner cycle na outer cycle ya walinzi wa raisi. unajua kazi ya wale 14 wa inner cycle???

Pumbavu wewe.

Kama unaona ni rahisi kumdhuru raisi nenda kajaribu. Peleka mattacol yako ukaone.


Huna unachokijuaa Jinga
Hahaha
 
Ukiachana na urais mh rais pia ni binadamu ana emotion kama sisi ambao at umonitor wa darasa atujawai kuongoza kwhy nadhani hayo mambo yako ya usalama sijui protocol zinawekwa pembeni linapokuja swala la emotion
nakumbuka kuna picha na video za baba wa taifa akiwa kijijini kwake uko butihama anacheza na wazee bao na kupiga nao story mbili tatu za maisha ni kawaida mkuu
 
Kumbe hujui lolote kuhusu protocal za usalama.

HAKUNA TUKIO LA KUSTUKIZA.

Kila anayekutana naye na atakayeshikana naye mikono anafahamika kabla ya kukutana na raisi.

Wanafanyiwa screening ya kutosha.Rejea usalama wa magufuli, pale aliposajili laini kwa alama ya vidole, unaambiwa siku 1 kabla ya magufuli kufika usalama walifika pale kufanya screening nenda yutube kacheki hyo video

Halafu kwa taarifa yako yule mama anamfahamu. yule mama alikuwa mtangazaji a kwanza mwanamke bi hadija.

Kabla ya hapo alishawahi kukutana na samia sehemu kadha wa kadha,
Kwamba wali fika na ma kaunda suti yao hadi waka oneshwa YouTube ..[emoji848]
 
Ukiachana na urais mh rais pia ni binadamu ana emotion kama sisi ambao at umonitor wa darasa atujawai kuongoza kwhy nadhani hayo mambo yako ya usalama sijui protocol zinawekwa pembeni linapokuja swala la emotion
nakumbuka kuna picha na video za baba wa taifa akiwa kijijini kwake uko butihama anacheza na wazee bao na kupiga nao story mbili tatu za maisha ni kawaida mkuu
Atakuwa na huo ubinaadam baada ya kumaliza kipindi cha urais ila kwa sasa yeye ni muhimu mno kwa taifa letu. Hatutaki awe kwenye risk aina yeyote.
 
umuhimu wake aimaanishi asishikane na watu mikono ama asikubatie mtu hapana
Hapana sisi chawa wake tunakataa kabisa hali ya sasa ni ngumu maadui wengi. Tunamuhitaji sana tena sana 2025-2035. Maana awamu yake ya kwanza inaanza 2025, ya pili 2030. Ni muhimu alindwe Mama yetu kwa gharama yeyote.
 
Kumbe hujui lolote kuhusu protocal za usalama.

HAKUNA TUKIO LA KUSTUKIZA.

Kila anayekutana naye na atakayeshikana naye mikono anafahamika kabla ya kukutana na raisi.

Wanafanyiwa screening ya kutosha.Rejea usalama wa magufuli, pale aliposajili laini kwa alama ya vidole, unaambiwa siku 1 kabla ya magufuli kufika usalama walifika pale kufanya screening nenda yutube kacheki hyo video

Halafu kwa taarifa yako yule mama anamfahamu. yule mama alikuwa mtangazaji a kwanza mwanamke bi hadija.

Kabla ya hapo alishawahi kukutana na samia sehemu kadha wa kadha,
Ahsante kwa ufafanuzi wa kina.
 
Back
Top Bottom