ChawaWaMama
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,765
- 3,277
- Thread starter
- #21
Hata last minutes? Maana?Hao wote huwa tayari washakaguliwa na idara ya usalama wa rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata last minutes? Maana?Hao wote huwa tayari washakaguliwa na idara ya usalama wa rais
Huyo si raia wa kawaida kama unavyofikiri,ni kitengo na wamejirdhisha, kalaghabaho, umesahau hayati Magufuli na wachoma mahindi, wauza kahawa?Great thinkers,
Nimeshangaa sana tena sana. Inakuwaje rais wetu na amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anakumbatiwa na raia kiasi kile?? Jamani nimestuka mno.
Yeye ni binadamu huwezi kuzuia hisia zakeGreat thinkers,
Nimeshangaa sana tena sana. Inakuwaje rais wetu na amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anakumbatiwa na raia kiasi kile?? Jamani nimestuka mno.
Labda alitaka akumbatiwe yeyehilo umeliona la maana ana?
Sidhani, ila nachukia mtu kumuona Rais kama Immortal, kama vile Mungu.......Labda alitaka akumbatiwe yeye
Ni kweli, huyo ni binadamu kama yeye tuSidhani, ila nachukia mtu kumuona Rais kama Immortal, kama vile Mungu.......
Hahaha watu mna wivuLabda alitaka akumbatiwe yeye
Sisi chawa lazima tumsemee MamaSidhani, ila nachukia mtu kumuona Rais kama Immortal, kama vile Mungu.......
kwanza taarifa yako umeandika kiudaku, hata haieleweki ni hadi mtu aunge ungeGreat thinkers,
Nimeshangaa sana tena sana. Inakuwaje rais wetu na amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anakumbatiwa na raia kiasi kile?? Jamani nimestuka mno.
Great thinkers,
Nimeshangaa sana tena sana. Inakuwaje rais wetu na amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anakumbatiwa na raia kiasi kile?? Jamani nimestuka mno.
Hana maadui, ni kama Mzee RuksaGreat thinkers,
Nimeshangaa sana tena sana. Inakuwaje rais wetu na amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anakumbatiwa na raia kiasi kile?? Jamani nimestuka mno.
Kwamba una maana rais hakumbatiwi au hebu tulia tueleze vizuri maana tunajua ana mume na watoto, ndugu na jamaa.Great thinkers,
Nimeshangaa sana tena sana. Inakuwaje rais wetu na amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anakumbatiwa na raia kiasi kile?? Jamani nimestuka mno.
Great thinkers,
Nimeshangaa sana tena sana. Inakuwaje rais wetu na amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anakumbatiwa na raia kiasi kile?? Jamani nimestuka mno.
Mwenyezi Mungu pekee ndiye mlinzi. Kwani Nyerere alikumbatiwa na nani?Great thinkers,
Nimeshangaa sana tena sana. Inakuwaje rais wetu na amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anakumbatiwa na raia kiasi kile?? Jamani nimestuka mno.
Hiyo nguo kanunuliwa na kupewa avaeUmeharibu uzi wangu graaahhhhhhh! Hivi hiyo nguo aliyovaa je kama asubuhi imewekewa dawa za kumdhuru rais, nyamaza kabisa.