Great thinkers,
Nimeshangaa sana tena sana. Inakuwaje rais wetu na amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anakumbatiwa na raia kiasi kile?? Jamani nimestuka mno.
Great thinkers,
Nimeshangaa sana tena sana. Inakuwaje rais wetu na amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anakumbatiwa na raia kiasi kile?? Jamani nimestuka mno.
Great thinkers,
Nimeshangaa sana tena sana. Inakuwaje rais wetu na amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anakumbatiwa na raia kiasi kile?? Jamani nimestuka mno.
Yule Raia tangu juzi alikuwa anafanya mazoez ya kukumbatia na kuambiwa sehemu za kuweka mikono yake
Hakuna Jambo jipya pale, Yale yote uliyoyaona walishafanyia mazoez
So worry not
Kahawa tu hizi na movieKumbe hujui lolote kuhusu protocal za usalama.
HAKUNA TUKIO LA KUSTUKIZA.
Kila anayekutana naye na atakayeshikana naye mikono anafahamika kabla ya kukutana na raisi.
Wanafanyiwa screening ya kutosha.Rejea usalama wa magufuli, pale aliposajili laini kwa alama ya vidole, unaambiwa siku 1 kabla ya magufuli kufika usalama walifika pale kufanya screening nenda yutube kacheki hyo video
Halafu kwa taarifa yako yule mama anamfahamu. yule mama alikuwa mtangazaji a kwanza mwanamke bi hadija.
Kabla ya hapo alishawahi kukutana na samia sehemu kadha wa kadha,
Endelea kumwaga somoUnajua nini kuhusu inner cycle na outer cycle ya walinzi wa raisi. unajua kazi ya wale 14 wa inner cycle???
Pumbavu wewe.
Kama unaona ni rahisi kumdhuru raisi nenda kajaribu. Peleka mattacol yako ukaone.
Huna unachokijuaa Jinga
Kahawa tu hizi na movie
Ma shaa AllahGreat thinkers,
Nimeshangaa sana tena sana. Inakuwaje rais wetu na amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anakumbatiwa na raia kiasi kile?? Jamani nimestuka mno.
Nakwambia ni Kahawa tu mzee we endelea kufuatilia madocumentarykahawa kivipi?
Mbona video iko yutube. Kama bando ni shida kwako sema tukutumie GB 3 uicheki na siyo kubwabwaja hapa.
Nimefuatilia taasisi na mashirika ya usalama na ulinz wa maraisi na viongozi mbalimbali.
Hakuna kitu kipya .Everything is planned.
Unajiitaje Chawa! Yaani mimi mtu akishajiita ujinga kama huo, hata kama kaandika points huwa namdharau yeye mwenyewe na alichokiandikaGreat thinkers,
Nimeshangaa sana tena sana. Inakuwaje rais wetu na amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anakumbatiwa na raia kiasi kile?? Jamani nimestuka mno.
Lile jukwaa lilisambaratishwa na sheria mpya ya mtandaoniWaturudishie tu lile jukwaa letu mkuu, huku hakuna madini....😜
Bongo ni uoga tu…lakini mtu akiamua kumuua raisi ni rahisi sana., shida ipo tu kwamba kama wewe sio part ya kundi lenye madaraka la kukutetea au kukuficha (eg. msoga gang)ni lazima utajulikana na ngumu kutorokaUnajua nini kuhusu inner cycle na outer cycle ya walinzi wa raisi. unajua kazi ya wale 14 wa inner cycle???
Pumbavu wewe.
Kama unaona ni rahisi kumdhuru raisi nenda kajaribu. Peleka mattacol yako ukaone.
Huna unachokijuaa Jinga
Kwamba Rais sio binadamu wa kawaida??Great thinkers,
Nimeshangaa sana tena sana. Inakuwaje rais wetu na amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anakumbatiwa na raia kiasi kile?? Jamani nimestuka mno.