Post in thread 'Camouflagers na informers ' Camouflagers na informersKumbe hujui lolote kuhusu protocal za usalama.
HAKUNA TUKIO LA KUSTUKIZA.
Kila anayekutana naye na atakayeshikana naye mikono anafahamika kabla ya kukutana na raisi.
Wanafanyiwa screening ya kutosha.Rejea usalama wa magufuli, pale aliposajili laini kwa alama ya vidole, unaambiwa siku 1 kabla ya magufuli kufika usalama walifika pale kufanya screening nenda yutube kacheki hyo video
Halafu kwa taarifa yako yule mama anamfahamu. yule mama alikuwa mtangazaji a kwanza mwanamke bi hadija.
Kabla ya hapo alishawahi kukutana na samia sehemu kadha wa kadha,
Watu mmejaa stress sana.Unajua nini kuhusu inner cycle na outer cycle ya walinzi wa raisi. unajua kazi ya wale 14 wa inner cycle???
Pumbavu wewe.
Kama unaona ni rahisi kumdhuru raisi nenda kajaribu. Peleka mattacol yako ukaone.
Huna unachokijuaa Jinga
Mkuu, mleta mada anaitwa ana?hilo umeliona la maana ana?
Kumbato ndo nini?liko wapi hilo kumbato?
weka kielelezo (picha au video) acha BRAH-BRAH kijana
HahahahahahahaaWaturudishie tu lile jukwaa letu mkuu, huku hakuna madini....[emoji12]
Typo err,i meant "au"Mkuu, mleta mada anaitwa ana?
HahahaUnajua nini kuhusu inner cycle na outer cycle ya walinzi wa raisi. unajua kazi ya wale 14 wa inner cycle???
Pumbavu wewe.
Kama unaona ni rahisi kumdhuru raisi nenda kajaribu. Peleka mattacol yako ukaone.
Huna unachokijuaa Jinga
Hana maadui, ni kama Mzee Ruksa
Kwamba wali fika na ma kaunda suti yao hadi waka oneshwa YouTube ..[emoji848]Kumbe hujui lolote kuhusu protocal za usalama.
HAKUNA TUKIO LA KUSTUKIZA.
Kila anayekutana naye na atakayeshikana naye mikono anafahamika kabla ya kukutana na raisi.
Wanafanyiwa screening ya kutosha.Rejea usalama wa magufuli, pale aliposajili laini kwa alama ya vidole, unaambiwa siku 1 kabla ya magufuli kufika usalama walifika pale kufanya screening nenda yutube kacheki hyo video
Halafu kwa taarifa yako yule mama anamfahamu. yule mama alikuwa mtangazaji a kwanza mwanamke bi hadija.
Kabla ya hapo alishawahi kukutana na samia sehemu kadha wa kadha,
Atakuwa na huo ubinaadam baada ya kumaliza kipindi cha urais ila kwa sasa yeye ni muhimu mno kwa taifa letu. Hatutaki awe kwenye risk aina yeyote.Ukiachana na urais mh rais pia ni binadamu ana emotion kama sisi ambao at umonitor wa darasa atujawai kuongoza kwhy nadhani hayo mambo yako ya usalama sijui protocol zinawekwa pembeni linapokuja swala la emotion
nakumbuka kuna picha na video za baba wa taifa akiwa kijijini kwake uko butihama anacheza na wazee bao na kupiga nao story mbili tatu za maisha ni kawaida mkuu
umuhimu wake aimaanishi asishikane na watu mikono ama asikubatie mtu hapanaAtakuwa na huo ubinaadam baada ya kumaliza kipindi cha urais ila kwa sasa yeye ni muhimu mno kwa taifa letu. Hatutaki awe kwenye risk aina yeyote.
Hapana sisi chawa wake tunakataa kabisa hali ya sasa ni ngumu maadui wengi. Tunamuhitaji sana tena sana 2025-2035. Maana awamu yake ya kwanza inaanza 2025, ya pili 2030. Ni muhimu alindwe Mama yetu kwa gharama yeyote.umuhimu wake aimaanishi asishikane na watu mikono ama asikubatie mtu hapana
Ahsante kwa ufafanuzi wa kina.Kumbe hujui lolote kuhusu protocal za usalama.
HAKUNA TUKIO LA KUSTUKIZA.
Kila anayekutana naye na atakayeshikana naye mikono anafahamika kabla ya kukutana na raisi.
Wanafanyiwa screening ya kutosha.Rejea usalama wa magufuli, pale aliposajili laini kwa alama ya vidole, unaambiwa siku 1 kabla ya magufuli kufika usalama walifika pale kufanya screening nenda yutube kacheki hyo video
Halafu kwa taarifa yako yule mama anamfahamu. yule mama alikuwa mtangazaji a kwanza mwanamke bi hadija.
Kabla ya hapo alishawahi kukutana na samia sehemu kadha wa kadha,
Aisee!sisi chawa wake
KutombaKumbato ndo nini?
That assaulter was a psychopathAliyetoa rukhsa azabwe makofi jukwaani ama…