GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wakati CDF anamwambia Rais kuna wageni wapo kwenye idara nyeti Rais mpaka leo amechukuwa hatua gani?Ni Kirusi HATARI kwa Usalama wa Taifa letu.
Nimemaliza.
Anavyoona rais sivyo unavyoona wewe.Ni Kirusi HATARI kwa Usalama wa Taifa letu.
Nimemaliza.
Mathematical setHuu uzi hauna tofauti na logarithms
Mwana msolopaganzeKaboka mchizi
MARIJUANA INSIDE HEADNi Kirusi HATARI kwa Usalama wa Taifa letu.
Nimemaliza.
Abdullatifu nani Amir?..wamchunguze na Abduli.
Unavuta ukiwa wapi lakini?MARIJUANA INSIDE HEAD
Umusilogopaazi😆Mwana msolopaganze
ChivunduInasikitisha sana ,waanze naye fasta.
Oya angalieni vizuri Mzee wetu wa Burundi kaachia umakamu kuweni makini mtafanya na yeye aachie uwaziriKuna waziri lugha yake mama ni kinyarwanda na lugha ya umaarufu ni kisukuma nadhani nimemaliza