Uchaguzi 2020 Usaliti ni laana : CUF yakosa wagombea, Lipumba aanza kuokoteza mitaani, aomba wote wanataka kugombea wajitokeze

Uchaguzi 2020 Usaliti ni laana : CUF yakosa wagombea, Lipumba aanza kuokoteza mitaani, aomba wote wanataka kugombea wajitokeze

Kuna mambo mengi huyajui na bado unasema una hoja! Hivi nilipokuuliza Lipumba alifanya harakati gani dhidi ya UKAWA kwa kutumia pesa aliyopewa na CCM ulijibu nini?

Unasema hujui katiba ya CUF inaelekeza nini kuhusu kujiuzuru kwa kionfozi na bado unaona Lipumba alikosea au alipendelewa na uamuzi wa mahakama!

Yaani kwa kudhihirisha hujui chochote unssema Lipumba alijitoa kwenye chama! Kwa taarifa yako alichofanya ni kujiuzuru uwenyekiti ili asijihusishe kama mwenyekiti mwenza wa UKAWA kumnadi Lowassa kada la ccm, bali alitaka abaki kama mwanachama wa kawaida. Kwa mujibu wa maneno ya Lipumba mwenyewe kadi yake ya uwanachama wakati anajiuzulu ilikuwa hai hadi 2022.

Lakini unaposema kulikuwa na ulazima gani arejee uwenyekiti nilishakujibu wanachama tulikuwa tunamuhitaji arudi kwenye nafasi yake.

Lakini jifunze kuanzia sasa kwamba endapo kungefanyika uchaguzi ili kuziba nafasi ya mwenyekiti, Lipumba bado angeweza kugombea kwavile ana haki kutokana na kuwa mwanachama hai. Sasa jiulize kwa ufahamu wako kwanini akina Maalim Seif hawakufuata utaratibu huu ili Lipumba akataliwe kwa njia ya kidemokrasia?

Bado unahoja?

Lipumba angefanya harakati gani dhidi ya Ukawa, kwani ana mvuto gani? Maana hata harakati zinatakiwa uwe na mvuto kwa watu, mwenye mvuto wa watu huko Cuf alikuwa Seif.

Siijui katiba ya CuF inasema nini kwenye nafasi ya uwenyekiti hilo ni kweli, lakini kwanini alazimishe kurudi kwenye uenyekiti kwa msomi kama yeye, tena akiwa ameshaandika barua ya kujiuzulu nafasi yake? Kulikuwa na ulazima gani wa yeye kuleta tafrani kwa nafasi ya uwenyekiti. Au nafasi pekee anayoitaka ni lazima awe mwenyekiti?

Ni kweli kwa mujibu wa katiba yenu angeweza kugombea, kwanini hakungoja tena hadi hali iwe nzuri bali akawa analazimisha tena kwa backup ya ccm? Hao akina Maalim seif wanahaja gani ya kusubiri utaratibu kwa mtu aliyekimbia? Haya sasa hao akina Maalim Seif wameondoka baada ya mizengwe, mbona chama hakina mvuto? Au nyie wanachama mliokuwa mnamtaka Lipumba hamna mvuto kama yeye?
 
Lipumba angefanya harakati gani dhidi ya Ukawa, kwani ana mvuto gani? Maana hata harakati zinatakiwa uwe na mvuto kwa watu, mwenye mvuto wa watu huko Cuf alikuwa Seif.

Siijui katiba ya CuF inasema nini kwenye nafasi ya uwenyekiti hilo ni kweli, lakini kwanini alazimishe kurudi kwenye uenyekiti kwa msomi kama yeye, tena akiwa ameshaandika barua ya kujiuzulu nafasi yake? Kulikuwa na ulazima gani wa yeye kuleta tafrani kwa nafasi ya uwenyekiti. Au nafasi pekee anayoitaka ni lazima awe mwenyekiti?

Ni kweli kwa mujibu wa katiba yenu angeweza kugombea, kwanini hakungoja tena hadi hali iwe nzuri bali akawa analazimisha tena kwa backup ya ccm? Hao akina Maalim seif wanahaja gani ya kusubiri utaratibu kwa mtu aliyekimbia? Haya sasa hao akina Maalim Seif wameondoka baada ya mizengwe, mbona chama hakina mvuto? Au nyie wanachama mliokuwa mnamtaka Lipumba hamna mvuto kama yeye?
We kijana vipi? Mbona mgumu kuelewa na hutaki kujifunza?

Hii ni mara ya tatu sasa nakujibu kwamba Lipumba hakulazimisha kurejea uwenyekiti bali ni sisi wenye chama ndiye tulimtaka arejee na hii ni kutokana na jinsi tunavyofahamu utumishi wake na misimamo yake juu ya CUF. Tuliona ni bora tukosane na mamluki wa ccm kwenye chama chetu akina Maalim Seif na Mtatiro waliompenda kada mwenzao Lowassa kuliko kumpoteza Jembe letu ambalo limetutoa mbali.

Maalim Seif alijipima ubavu na Lipumba lakini siyo saiz yake na akaamua akimbie chama. Eti Katibu Mkuu wa CUF wakati haijui Tanzania bar zaidi ya Dar. Hata CDM walitaka kujaribu kuvamia Buguruni kusaidia Maalim, daaadeki tukasema ngoja waje ndipo watajua Buguruni wanaishi wahuni na hawakuthubutu. Wakaishia kulalamika eti ooh Lipumba analindwa na vyombo vya dola!

Lakini unaposema hana mvuta kwani amekosa kitu gani ambacho wanasiasa wengine wanakipata? Na kama unakili alishindwa kufanya harakati dhidi ya upinzani kwavile hana mvuto, basi tuambie hiyo pesa ambayo nyie CDM mnasema alipewa na ccm ilitumikaje? Na kama alishindwa kuitumia kama alivyotakiwa kufanya je ana deni na ccm?

Na kama unadhani CUF haina watu, subiri uone wagombea kila kona ya nchi wakipeperusha "bendera kubwa" kwenye kampeni mwaka huu.
 
We kijana vipi? Mbona mgumu kuelewa na hutaki kujifunza?

Hii ni mara ya tatu sasa nakujibu kwamba Lipumba hakulazimisha kurejea uwenyekiti bali ni sisi wenye chama ndiye tulimtaka arejee na hii ni kutokana na jinsi tunavyofahamu utumishi wake na misimamo yake juu ya CUF. Tuliona ni bora tukosane na mamluki wa ccm kwenye chama chetu akina Maalim Seif na Mtatiro waliompenda kada mwenzao Lowassa kuliko kumpoteza Jembe letu ambalo limetutoa mbali.

Maalim Seif alijipima ubavu na Lipumba lakini siyo saiz yake na akaamua akimbie chama. Eti Katibu Mkuu wa CUF wakati haijui Tanzania bar zaidi ya Dar. Hata CDM walitaka kujaribu kuvamia Buguruni kusaidia Maalim, daaadeki tukasema ngoja waje ndipo watajua Buguruni wanaishi wahuni na hawakuthubutu. Wakaishia kulalamika eti ooh Lipumba analindwa na vyombo vya dola!

Lakini unaposema hana mvuta kwani amekosa kitu gani ambacho wanasiasa wengine wanakipata? Na kama unakili alishindwa kufanya harakati dhidi ya upinzani kwavile hana mvuto, basi tuambie hiyo pesa ambayo nyie CDM mnasema alipewa na ccm ilitumikaje? Na kama alishindwa kuitumia kama alivyotakiwa kufanya je ana deni na ccm?

Na kama unadhani CUF haina watu, subiri uone wagombea kila kona ya nchi wakipeperusha "bendera kubwa" kwenye kampeni mwaka huu.

Wanachama mliomtaka arudi kwenye uenyekiti ni nyie wenye maslahi naye. Aliyekuwa na mvuto huko Cuf alikuwa Seifu hilo halina mjadala. Afanye harakati zipi, kwani alilipwa hela gani ya maana zaidi ya kuahidiwa fadhila fulani, ikiwemo hiyo kurudishwa kuwa mwenyekiti wa CUF.

Hana mvuto, na hapati apatacho seif kwa kuwa na mvuto kuliko yeye. Kusimamisha kweli mtasimamisha wagombea nchi nzima maana mna backup ya ccm, shida itakuja kupata kura za wananchi. Labda Magufuli awagaie baadhi ya majimbo kwa kumnyenyekea, maana yeye sasa hivi ndio anapanga nani atangazwe mshindi.
 
Wanachama mliomtaka arudi kwenye uenyekiti ni nyie wenye maslahi naye. Aliyekuwa na mvuto huko Cuf alikuwa Seifu hilo halina mjadala. Afanye harakati zipi, kwani alilipwa hela gani ya maana zaidi ya kuahidiwa fadhila fulani, ikiwemo hiyo kurudishwa kuwa mwenyekiti wa CUF.

Hana mvuto, na hapati apatacho seif kwa kuwa na mvuto kuliko yeye. Kusimamisha kweli mtasimamisha wagombea nchi nzima maana mna backup ya ccm, shida itakuja kupata kura za wananchi. Labda Magufuli awagaie baadhi ya majimbo kwa kumnyenyekea, maana yeye sasa hivi ndio anapanga nani atangazwe mshindi.
Nashukuru kwani mpaka sasa somo limeeleweka kwavile hoja zako hadi sasa zimeshindwa kupinga au zinakubalians na mambo yafuatayo.
1. Lipumba alikuwa sahihi kupinga Lowassa kuwa mgombea urais wa UKAWA, bali hata wewe unaona CDM walicheza pata potea,
2. Hakuna pesa yoyote aliyopokea Lipumba toka ccm,
3. Lipumba hakufanya harakati yoyote dhidj ya ukawa,
4. Lipumba hajakiuka katiba ya CUF wala sheria ya vyama vya siasa kwa maamuzi ya kujiuzuru na kurejea uwenyekiti,
5. Maalim Seif na wafuasi wake walifanya makusudi kutozingatia katiba ya CUF kufanya uchaguzi ili apigiwe kuraku ya "HAPANA" na kumthibitishia Lipumba kuwa hatakiwi na wanachama awe mwenyekiti.

Asante sana!
 
Lini CUF waliisujudia ccm? Au unanasibisha kauli za Maalim Seif aliposema ni bora kukaa meza moja na ccm kuliko Lipumba? Lakini kama CUF inaisujudia CCM kwanini Lipumba alikataa kuungana na CDM kwenye UKAWA kumnadi kada wa ccm Lowassa? Unataka kusems Lipumba alipohisi kusutwa na nafsi kumpigia debe Lowassa maana yake ndo kusujudia makada wa ccm?

Lakini tambua kwamba muhanga wa "dhambi ya usaliti" si Lipumba au CUF. Mbowe na CDM ndo wanapitia wanapitiwa na malipo ya usaliti waliofanya 2015 kwa kukimbiwa na Lowassa waliyemsujudia lakini kwa sasa wanasalitiwa hata na wabunge na madiwani wao.

Kilichoiathiri CUF siyo "usaliti" wa lipumba, ni ukorofi wa watumishi wa ccm Maalim Seif na Mtatiro ambao walifanya kazi ya kuhakisha CUF inadumaa upande wa bara na kujaribu kumfukuza mtu wa watu Lipumba aliyerudishwa kwenye nafasi yake ya uwenyekiti na wenye chao.

Lakini kinachoendelea CHADEMA hivi sasa ni kusalitiwa na makada wao wakati hakuna mgogoro wowote ndani ya chama kama ilivyotokea kwa CUF maana watu walifikishana mahakamani ili wapate nguvu ya kuwaondoa wenzao ndani ya chama. Kwahiyo CDM hivi sasa ndo inapitia malipo ya usaliti wa Mbowe wa 2015.
Huwa najiuliza kwanin ccm hamlali kila siku mnawaza cdm wakati wao hawana habari na nyie hata kidgo. Cdm ni kimbilio la wananchi, fisiemu wanajaribu kujiaminisha kuwa chedema imekufa huku kila siku wakiinandi bila kujua. Jiwe ataiuwa fisiemu bila kujua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni hivyo basi itakuwa wewe ndo hujielewi. Inaonekana hujui ni kwanini Lipumba alijiuzuru uwenyekiti na kujiweka pembeni na kampani za uchanguzi wa 2015.

Lipumba siku anatangaza kujiuzuru alisema amechukuwa maamuzi hayo kwasababu nafsi inamsuta. Unajua kwanini nafsi ilimsuta? Kama unasema hukuunga mkono Lowassa kupewa nafasi, basi tuambie je Lipumba aliunga mkono?

Kwa akili yako unaweza kuleta hoja kwamba Lipumba alifanya makosa kujiuzulu; kwamba angeendelea kuvumilia uwepo wa Lowassa kama mgombea wa ukawa akiwa mwenyekiti mwenza wa umoja huo. Kama ulitaka afanye hivyo basi maana yake uliunga mkono ishu ya Lowassa.

Lakini fahamu Lipumba angeendelea kushikilia nafasi yake kama mwenyekiti mwenza wa ukawa, basi angedhihirisha unafiki wakuonesha anaunga mkono maamuzi ya CDM wakati nafsi inamtusa kumnadi lowassa.

Lakini ikiwa unamchukia Lipumba kwa kitendo chake cha kurejea uwenyekiti baada ya kuwa alijiuzulu, basi unatakiwa ulete hoja kwanini hakupasa kurejea. Je, katiba ya CUF inakataza kiongozi kutengua maamuzi ya kujiuzuru au sheria ya vyama vya siasa ndo inakataza? Vinginevyo utakuwa huna hoja, bali uwe wazi tu kwamba unamchukia Lipumba kwa sababu zako binafsi.

Kwa kuongeza tu ni kwamba, Lipumba hakulazimisha kurejea nafasi yake. Wanachama tulikuwa bado tunamuhitaji na ndio maana tulimzuia na kumsihi asijiuru alipoonesha kusudio hilo. Kumbuka ofisi ya chama Buguruni kulikuwa na seke seke kubwa ndani ya wiki moja kabla wanachama wakimzuia asiongee na media kuhusu maamuzi yake. Kifupi tu ni kwamba tuliomzuia asijiuzuru ndio tuliomsihi atengue maamuzi na kumtaka arejee. Hasingeweza kufanya hivyo kama hasingekuwa na wafuasi ndani ya chama wanaomsapoti.

Una hoja?
Chizi fresh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We kijana vipi? Mbona mgumu kuelewa na hutaki kujifunza?

Hii ni mara ya tatu sasa nakujibu kwamba Lipumba hakulazimisha kurejea uwenyekiti bali ni sisi wenye chama ndiye tulimtaka arejee na hii ni kutokana na jinsi tunavyofahamu utumishi wake na misimamo yake juu ya CUF. Tuliona ni bora tukosane na mamluki wa ccm kwenye chama chetu akina Maalim Seif na Mtatiro waliompenda kada mwenzao Lowassa kuliko kumpoteza Jembe letu ambalo limetutoa mbali.

Maalim Seif alijipima ubavu na Lipumba lakini siyo saiz yake na akaamua akimbie chama. Eti Katibu Mkuu wa CUF wakati haijui Tanzania bar zaidi ya Dar. Hata CDM walitaka kujaribu kuvamia Buguruni kusaidia Maalim, daaadeki tukasema ngoja waje ndipo watajua Buguruni wanaishi wahuni na hawakuthubutu. Wakaishia kulalamika eti ooh Lipumba analindwa na vyombo vya dola!

Lakini unaposema hana mvuta kwani amekosa kitu gani ambacho wanasiasa wengine wanakipata? Na kama unakili alishindwa kufanya harakati dhidi ya upinzani kwavile hana mvuto, basi tuambie hiyo pesa ambayo nyie CDM mnasema alipewa na ccm ilitumikaje? Na kama alishindwa kuitumia kama alivyotakiwa kufanya je ana deni na ccm?

Na kama unadhani CUF haina watu, subiri uone wagombea kila kona ya nchi wakipeperusha "bendera kubwa" kwenye kampeni mwaka huu.
Mkuu umeulizwa mbona chama hakina mvuto tena? Au na nyie hamna mvuto kama Lipumba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa najiuliza kwanin ccm hamlali kila siku mnawaza cdm wakati wao hawana habari na nyie hata kidgo. Cdm ni kimbilio la wananchi, fisiemu wanajaribu kujiaminisha kuwa chedema imekufa huku kila siku wakiinandi bila kujua. Jiwe ataiuwa fisiemu bila kujua

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii hainihusu!
 
Back
Top Bottom