Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Nataka niwasaidie wanaume wenzangu wakristo!

Mungu alituumba sisi Kwa asilimia kubwa kama polygamist na sio nucleated individual!

Utaoa wa kwanza baadae atakuja was pili na watatu na no Mungu ndio atakua amewaleta kwako sio tamaa tu!

Kama ni tamaa itaisha ghafla Wala haitakua endelevu lakini kama ni mapenzi yenye mwendelezo hayo ni mapenzi ya Mungu hayo unatakiwa uyakabili na kujua jinsi ya kuyaweka sawa!

Usikimbie mapenzi kisa eti unataka uwe mwaminifu Kwa mkeo !Bora umwambie unaoa tena na yeye atakua Bi mkubwa hasta kama kanisa halitaki kusikia nature itakusikia na kukubariki!!
 
Unampaje dem ushauri wa kiume!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…