Ushabiki wa Simba na Yanga umewapumbaza Watanganyika

Nina wasi wasi hizi tema zinafadhiliwa na system inayopumbaza watanzania kwa maslahi ya kijani.
 
Tanzania ina raia zaidi ya milioni sitini, Sina hakika kama ni jambo rahisi kutaka kuwapangia watu wote hao nini wafanye au wasifanye.

Kama hilo ndio jambo wanaloona linawapa furaha waache wafurahie. Kula si ni juu yao wenyewe?
Kwa hiyo wewe unaona Kula ndio issue?

Hand to mouth?
 
Your are brave.
 
Yaani golden generation of youth wa kipindi cha UDSM ya mwalimu Nyerere, Mwinyi na kuishia kwa Mkapa ilishindwa (proved failure and misbehaved to become corrupts) leo hii utegemee kizazi cha DP WORLD kweli? Hawa watoto broilers kama wa Mwigulu Nchemba ndo waje walete maajabu? Can't be serious at all.

Ni kwamba, inabidi tuzoee tu milele na milele. Mfumo unafurahi mno kuona citizens wako Simba na Yanga all the time. Leo rais wa inchi atakuwa mgeni rasimi, kesho atakabidhi kombe.They like it, they encourage it. Unazi wa Simba na Yanga unaipa nafuu Serikali. Mbwa warushie mifupa, then fanya yako kwa raha zako.
 
Media houses ni kama Yale makanisa ya upako! Zina maelekezo kuwa-brain wash wadanganyika!
Sure mkuu, na hili ndo tatizo...
Sasa hivi redio stations zinazoongelea michezo for almost 6-7 hrs a day ni nyingi mno.
 
Hakika ina kera sana, vijana wenzangu Siasa ndio Maisha, tushiriki na kuishi nayo
Rai kwa vyama makini vya siasa, Viongozi wa Dini, NGOs, Vyama vya Kitaaluma na Waandishi wa Habari, kulichukua hili na kulifanyia kazi, la sivyo TUTAKWISHA!
 
Kuna midingi huwa inakaa pale Posta mpya, yaani saa 12 asubuhi inakunywa tangawizi na kubishana bishana habari za Simba na yanga. Yaani siyo Gen Z tu, hata hizo generation nyingine katika hii nchi ni za hovyo kupindukia.
 
Kuna midingi huwa inakaa pale Posta mpya, yaani saa 12 asubuhi inakunywa tangawizi na kubishana bishana habari za Simba na yanga. Yaani siyo Gen Z tu, hata hizo generation nyingine katika hii nchi ni za hovyo kupindukia.
Kwa kifupi tumekwisha,
 
Hakika ina kera sana, vijana wenzangu Siasa ndio Maisha, tushiriki na kuishi nayo
Rai kwa vyama makini vya siasa, Viongozi wa Dini, NGOs, Vyama vya Kitaaluma na Waandishi wa Habari, kulichukua hili na kulifanyia kazi, la sivyo TUTAKWISHA!
Tushakwisha mkuu, kama huwazi huwezi kuhoji,
 
Media za nje kama taarifa ya habari ni nusu saa ,wanaacha dakika tano za mwisho za sports na entertainment, hapa kwetu asubui asubui tu ni mpira mpira mpaka unajiuliza tumekuwaje,
 
Hii project ya watawala kuwazubaisha watanganyika kuacha kufikiri mambo ya msingi.
 
Hii mada ishajadiliwa sana humu.

Kama wewe hupendi michezo endelea kufuatilia habari za Mwabukusi na safari za mpiga mwingi. Haiwezekani wote nchi nzima wawe busy na siasa tu. To each their own.

Ubaya ubwela πŸ˜… japo sijui maana yake.
 
Je ameshawahi kukuomba umpe chakula au ulipie watoto wake ada?...Wewe fuata mambo yako.
By the way ni vizuri mtu kujua yanayoendelea nchini kwako ila kubwa zaidi kila mtu apambanie maisha yake anavojua
 
Media za nje kama taarifa ya habari ni nusu saa ,wanaacha dakika tano za mwisho za sports na entertainment, hapa kwetu asubui asubui tu ni mpira mpira mpaka unajiuliza tumekuwaje,
Yaani ni mambo ya AIBU kabisa..michezo masaa 3-5..MEDIA badilikeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…