always am a Winner
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 230
- 193
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majibu hayo hayana na kamwe hayatokuja kuwa na majibu ya kisayansi. Trust me!Hayo yote ulioandika yana majibu kwenye sayansi. Na hata kama hayana majibu au ufafanuzi haimaanishi kwamba mungu ndio ameyafanya. Hili ndio tatizo la watu wa dini. Mnatafuta kitu ambacho wanasayansi hawajakipatia ufafanuzi na kusema ni mungu ndio amefanya.
Jibu hoja. Acha kuzunguka.Kwa kweli JF ni 'Where we dare to talk openly'....Yaani mada kama hii ipo JF Intelligence?
Mleta mada kama ulitumia miaka 10+ Shuleni, inabidi urudishe gharama ulizozitumia.
Genious!Naungana na wewe 100%,
Inaonekana unawaza ngono sana,.....Kwanini uwe bothered na uwepo wa Gender badala ya vitu vingine kama ubongo?Jibu hoja. Acha kuzunguka.
Kwanini kuna gender? Gender imetoka wapi? Where did this intelligence of gender came from? Dont you see any intelligence?
Think Big!
1. Kuna errors katika DNA kwa sababu ya dhambi.Mkuu huyu Mtu anashangaza sana.... Eti DNA ni ushahidi wa uumbaji wa Mungu, sasa mbona kuna natural errors nyingi sana kwenye DNA?.... Mbona kuna mutations?
Halafu anasema Mungu alimuumba Mtu akiwa na utashi wa kujua jema na baya, ili hali Kulingana na Bible Mtu alipata ufahamu wa jema na baya baada ya kuasi kwa kula matunda yaliyokatazwa....kwa hiyo Mungu alimuumba Mtu asiye na utashi na kama alimuumba kwa mfano wake, basi Mungu hana utashi wa kujua jema na baya unless na yeye alikula matunda ya mti wa katikati
Hoja nyingine hazina mashiko, eti science haijui Kwanini watu wanazaliana, eti science haijui Kwanini kuna jinsia mbili, eti science haijui Kwanini kuna mifumo mbalimbali mwilini...... Hahahaaaa dah! huyu jamaa ana matatizo makubwa mno.
Tunakufa kwa sababu ya dhambi. Binadamu aliumbwa akiwa na asili ya kutokufa. Akamuasi Mungu akavaa mortality.Halafu na neno analitoa kwenye bible et zaeni mkaongezeke mkaijaze dunia! sasa mbona tunadanja..? tutaijaza lini sasa na tukiijaza inafaida gani..?hii ni hatari ya ubongo!
Nadhani nilikuambia hapo mwanzo, kama ulitumia miaka 10+ Shuleni, tafadhali lipa hizo gharama ulizotumia ili ziweze kusomesha wenye akili!.....Unapost pumba bila aibu hata kidogo.....kweli IDs fake zinaficha mengi mno.1. Kuna errors katika DNA kwa sababu ya dhambi.
2. Binadamu ameumbwa mwenye uwezo wa kujua jema na baya, haijalishi amejua jema na baya kwa njia ipi au wakati gani. Kiujumla ameumbwa na uwezo wa kujua jema na baya na ndio maana amejua jema na baya.
3. Hoja zingine hazina mashiko kwako; kwa sababu hauna majibu.
Think Big!
Tatizo la hii dunia ni binadamu kujaribu kumreplicate God...how can you separate God and science...it is crazy when human are in dark and they can not understand something they call it supernatural but when they do they brand it science...Majibu hayo hayana na kamwe hayatokuja kuwa na majibu ya kisayansi. Trust me!
Siongelei dini, naongelea Reality!
Maswali muhimu kama haya hayana majibu ya kisayansi na bado unaiamini sayansi?
Think Big!
Tunakufa ili kubalance population you too think big!Tunakufa kwa sababu ya dhambi. Binadamu aliumbwa akiwa na asili ya kutokufa. Akamuasi Mungu akavaa mortality.
Think Big!
Kazi ya jinsia ndio sababu ya uwepo wake.Duh! Yaani umeandika pointless na bado kuna kiumbe ka like? Dah!
Hujajibu swali. Kwanini kumekuwa na jinsia? Sijauliza umuhimu wa jinsia.
Nimeuliza jinsia zimetoka wapi? How can big bang create gender? How can evolution creates gender?
Think Big!
Hapo ndo umejibu?Inaonekana unawaza ngono sana,.....Kwanini uwe bothered na uwepo wa Gender badala ya vitu vingine kama ubongo?
Dawa imekuingiaNadhani nilikuambia hapo mwanzo, kama ulitumia miaka 10+ Shuleni, tafadhali lipa hizo gharama ulizotumia ili ziweze kusomesha wenye akili!.....Unapost pumba bila aibu hata kidogo.....kweli IDs fake zinaficha mengi mno.
Hiyo siyo mada ya hii thread."Na tumuumbe mtu kwa mfano wetu, akatawale viumbe vyote".
Je, wingi kwenye hii nukuu unaiongeleaje?
Kwa hiyo msimamo wako ni upi?Ni dhambi kubwa sana tena ni tusi kubwa sana na nidharau kubwa sana na ni kumvunjia heshima Mwenyzimungu kwa kumsingizia eti aliumba mtu kwa mfano wake, na kama yupo huyo mungu alie umba binaadam kwa mfano wake basi mungu huyo ni dhaifu sana kama alivyo dhaifu binaadamu.
Mimi naamini Mwenyezimungu sio dhaifu hivyo, huko ni kumtusi Mungu
Hiyo ndo sababu ya kisayansi?Tunakufa ili kubalance population you too think big!
Sayansi haitakuja kujua majibu ya maswali. Na ikija kuyajua itakiri kuwa kuna intelligence in creating all these! Which will directly prove that God exists.Kazi ya jinsia ndio sababu ya uwepo wake.
Jinsia ni mfumo kama mifumo myengine ktk mwili ambapo kila mfumo unakazi yake kuhusu swala la wapi jinsia imetoka ni ktk mfumo unaoratibu uundwaji wa mwili DNA lkn pamoja na hayo bado sayansi inaendelea kuchunguza nini chanzo cha hayo yote what we need is time.
naomba nikukumbushe kuwa sayansi hukua, leo wanaweza kukosa majibu lkn kesho wakapata kuwa mwangalifu usemapo "Hakuna sababu yoyote ya kisayansi inayoweza kuelezea kwanini...." nini kama ikiwezekana kueleza na ikawa proved..?
kuhusu bing bang na evolution siwezi kukuelezea how zimecreat gender coz binafsi sijaziamini bado na hazina prove kwamba zenyewe ndo source of life