Ushahidi kuwa binadamu tumeumbwa na hatujatokea tu

Ushahidi kuwa binadamu tumeumbwa na hatujatokea tu

Kwanza tunakubaliana na jibu la kwanza ?

Sikukuelewa kabisa ndio ninaanza taratibu ili nielewe hoja yako.

Nimeanza na swali la kwanza ili twende vyema na taratibu katika kueleweshana.

Okay.

Uumbaji ulitokea au bado unaendelea?
 
Sikukuelewa kabisa ndio ninaanza taratibu ili nielewe hoja yako.

Nimeanza na swali la kwanza ili twende vyema na taratibu katika kueleweshana.

Okay.

Uumbaji ulitokea au bado unaendelea?

Kama hukunielewa kabisa unatatizo la kuelewa na itakua tabu sana kukuelewesha ni hili niliona mwanzoni kwako
Kwa ufupi umbaji ULITOKEA na UPO,
Neno kuendelea ktk muktadha huu itapelekea kupata viumbe au maumbo mapya nihilo HALIPO
 
Kama hukunielewa kabisa unatatizo la kuelewa na itakua tabu sana kukuelewesha ni hili niliona mwanzoni kwako
Kwa ufupi umbaji ULITOKEA na UPO,
Neno kuendelea ktk muktadha huu itapelekea kupata viumbe au maumbo mapya nihilo HALIPO

It's okay, unaweza kunihukumu as you wish.

So, uumbaji ulitokea na unaendelea kutokea?
 
Hebu sherehesha neno unaendelea kutokea unamaanisha nini

Nikiwa na maana kwamba, uumbaji (kupitia creation) unaendelea (hiyo process) mpaka katika nyakati hizi za sasa.

Au baada ya viumbe kuumbwa hapo mwanzo, vipo vile vile mpaka leo na hakuna new species zilizotokea tena tangu kuumbwa kwa species zote.
 
You think creation myths its a logical explanation? And why its not even qualified to be a theory? Una ushahidi kuwa creation its a true and snake can talk in a garden and the world was created in 6 days and its flat?

We are getting new species from that randomness (as you prefer to call it) example mwaka jana tulichunguza nyani wa Zanzibar waliopo Jozani Forest, ni new species iliyotokea baada ya kutengana kwa Zanzibar na Mainland baada ya Interglacial na kuongezeka kwa kina cha maji, ikapelekea wanyama waliokuwa trapped kuwa na adaptation mpya na for 12,000 years now imekuwa species mpya katika kisiwa hicho mfano mwingine ni Zanzibar Leopards. Sizungumzii katika story bali ni mmojawapo wa watafiti na tunafanya research mara kwa mara.

Sorry ya creation ni kuwa viumbe vilishaumbwa kama vilivyo leo hii tangu kale vipo hivyo hivyo, then kwanini kuna new species? Kwanini simba na paka wafanane kidogo? Coincidence? Kwanini kuna races? Kama hakuna mabadiliko ya viumbe?


PS: Kwa kukusaidia kama hufahamu, evolution sio theory kuelezea chanzo cha uhai, au nani alisababisha bali inaelezea kuwa "viumbe vinabadilika taratibu kutokana na sababu mbalimbali na kupelekea uwepo wa species mpya". Ndio maana Charles Darwin aliita thesis yake "Origin of Species", sio life wala who created or when or why.

Let's not misunderstand it!
Kujua evolution ndogo ndogo kama hizo (kama zipo) bado hakuondoi uwepo wa Mungu.

Je kama Mungu aliruhusu some kind of tiny evolutions kwa sababu mbalimbali?

Yaani kwa nini tumuondoe Mungu wakati tunapoongelea evolutions? Kwani haviwezi kuwa pamoja?
 
Kujua evolution ndogo ndogo kama hizo (kama zipo) bado hakuondoi uwepo wa Mungu.

Je kama Mungu aliruhusu some kind of tiny evolutions kwa sababu mbalimbali?

Yaani kwa nini tumuondoe Mungu wakati tunapoongelea evolutions? Kwani haviwezi kuwa pamoja?

Evolution has nothing to do with God, to force evolution is against god is the failure to understand it. That's why I am talking about evolution na sijamuondoa mungu au kumuweka katika maelekezo yangu. I am talking about evolution itself.
 
Nikiwa na maana kwamba, uumbaji (kupitia creation) unaendelea (hiyo process) mpaka katika nyakati hizi za sasa.

Au baada ya viumbe kuumbwa hapo mwanzo, vipo vile vile mpaka leo na hakuna new species zilizotokea tena tangu kuumbwa kwa species zote.

Baada ya kuumbwa viumbe wote hakuna tena viumbe wapya watakaoumbwa kinacho fanyika sasa ni reproductions of that species. ila usione ajabu mtu akadai amegundua kiumbe mpya. Huyo si mpya on the earth but, its new on he/ her site
kama ilivyo tokea ktk vyura wa kihanzi na pia binaadam nimchache sana ktk elimu ya viumbe wa Allah mpaka leo Allah anasema wapo viumbe wake wengine humu duniani hatuwajui.
 
Karibuni sana wana jamvi! Leo nataka kuwashirikisha sababu za msingi kabisa ambazo ni rahisi kuzithibitisha kuwa binadamu na viumbe wengine wote tumeumbwa. Nitaongelea binadamu zaidi ila nitawakilisha viumbe wengine pia. Kabla hatujaendelea napenda kwanza nitoe tofauti kati ya binadamu na mnyama.
Binadamu na mnyama wanatofautiana katika jambo moja tu; Binadamu ameumbwa kwa mfano wa Mungu. Hii ina maana kuwa binadamu;
1. Anajitambua na
2. Anajua chema na kibaya
Mungu ameumba binadamu kwa sababu yake mwenyewe. Ameumba kila kitu for His own pleasure, and to demonstrate HIS extreme POWER and LOVE.
Hizi ni sababu TANO kwanini binadamu na viumbe vingine tumeumbwa;

1. DNA: Kila kiumbe kina instruction code inayokaa latika sehemu ndogo sana ya kila seli ya mwili. Manual hiyo ndiyo inaratibu kila kitu, yaani kila kitu. Kwa kifupi inaratibu maisha yote. Hakuna sababu za kisayansi za kuwa na DNA. Lakini Mungu ana majibu kwani biblia inasema, yeye ndiye aliyeweka sheria. Na pia aliumba kwa kutumia neno, yaani word au instruction.

2. Kuzaliana: Hakuna sababu yoyote ya kisayansi ya kwa nini viumbe huzaliana. Sayansi inaweza kueleza namna mfumo wa uzazi unavyofanya kazi lakini haiwezi kueleza kwanini kuna mifumo hiyo. Yaani haiwezi kueleza kwa nini kuna uzazi. Ila Biblia ina majibu,
"Zaeni mkaongezeke mkaijaze nchi na kuitiisha"

3. Jinsia: Hakuna sababu yoyote ya kisayansi inayoweza kueleza kwa nini kuna jinsia mbili, kwa nini kuna raha na siyo uchungu wakati wa kujamiiana, na kwa nini jinsia zote zipo katikati ya miguu. Kwanini jinsia moja isiwe sehemu nyingine mfano kichwani? Kwanini viumbe huwakwa tamaa ya kujamiiana?

4. Mifumo mbalimbali ya mwili inayofanya kazi kwa nia moja: Mfano mfumo wa upumuaji huungana na mfumo wa damu huungana na mfumo wa chakula huungana na mfumo wa usafishaji damu etc. Katika hali ya kawaida miguu haipishani urefu, mikono pia, moyo upo sehemu ileile ktk miili ya binadamu etc, Sayansi haina majibu ya kwanini mambo yapo hivo.

5. Utashi: Binadamu ana utashi wanyama hawana. Hakuna sababu ya kisayansi inayoweza kuelezea hili. Lakini Mungu anayo sababu;
"Na tumuumbe mtu kwa mfano wetu, akatawale viumbe vyote".

Kutokana na sababu hizi, ni wazi huwa Mungu ameumba binadamu na viumbe vyote.

Cc: Kiranga & the Company
Ninachojua mimi mambo ya imani hayahitaji ushahidi. Pakihitajika ushahidi kwa mambo ya imani hiyo siyo imani tena. Unaamini kuwa Mungu yupo hata kama hujamwona na hujafanya majaribio maabara. Hiyo ndo imani huhitaji kuleta ushahidi. Unaleta ushahidi so what?? una ushahidi kwa yote unayoyaamini? Ukikosa ushahidi utaasi dini yako?
 
Hujui unachoongea.

Nilijua utasema hivyo kwa sababu ulichokisema ni ndoto za alinacha
Eti wewe unautshi wa kuelewa mema na mabaya huo utashi umeutoa wapi hivi Mungu asinge yafundisha mema na mabaya wewe ungeyaelewaje?

Sema wewe unautashi wa kufanya mema au mabaya, na huo si utashi hapo kuna ulazima wa kuacha moja na kufanya jingine kwa nini, M/mungu ameweka Adhabu ukifanya mabaya na ameweka pepo kwa kufanya mazuri kwa hiyo huo utashi wako umekwisha kua conditioned sasa utashi gani huo?

Kwa fikra yako hiyo basi hata mbwa anautashi wa kuelewa mema na mabaya ndio maana huwa mlinzi na rafiki mzuri
 
Baada ya kuumbwa viumbe wote hakuna tena viumbe wapya watakaoumbwa kinacho fanyika sasa ni reproductions of that species. ila usione ajabu mtu akadai amegundua kiumbe mpya. Huyo si mpya on the earth but, its new on he/ her site
kama ilivyo tokea ktk vyura wa kihanzi na pia binaadam nimchache sana ktk elimu ya viumbe wa Allah mpaka leo Allah anasema wapo viumbe wake wengine humu duniani hatuwajui.

Hapo ndipo ninapokataa, ni vigumu sana kukubali kuwa hakuna species zinazokuwa new tangu uumbaji mpaka leo.

Ukichimba miamba ya kale yenye mifupa ya kale kuna viumbe ambavyo hivi sasa havipo kutokana na extinction na kuna viumbe vya sasa havikwepo kama vilivyo hapo kale.

Mfano twiga wafupi, farasi wenye kwato tatu, dinosaurs, mammoths na wengine wengi ikiwemo hata nyoka wenye miguu midogo. Je hao waliuawa?

Na kwanini kuna species ambazo hazikwepo zamani na huwezi kuzipata katika kipindi fulani cha miaka? Bali zinapatikana katika matabaka ya juu ya miamba tu?

Pia DNA inatumika kupima ancestry na ndio maana classification haitazami muonekano tu bali mpaka DNA hutumika kugroup viumbe.


Mwafrika anaweza kuzaa mzungu? Mzungu anaweza kuzaa mtoto wa kiafrica? Kama viumbe havibadiliki tangu uumbaji kwanini kuna races kama tulitoka kwa family moja?
 
Hapo ndipo ninapokataa, ni vigumu sana kukubali kuwa hakuna species zinazokuwa new tangu uumbaji mpaka leo.

Ukichimba miamba ya kale yenye mifupa ya kale kuna viumbe ambavyo hivi sasa havipo kutokana na extinction na kuna viumbe vya sasa havikwepo kama vilivyo hapo kale.

Mfano twiga wafupi, farasi wenye kwato tatu, dinosaurs, mammoths na wengine wengi ikiwemo hata nyoka wenye miguu midogo. Je hao waliuawa?

Na kwanini kuna species ambazo hazikwepo zamani na huwezi kuzipata katika kipindi fulani cha miaka? Bali zinapatikana katika matabaka ya juu ya miamba tu?

Pia DNA inatumika kupima ancestry na ndio maana classification haitazami muonekano tu bali mpaka DNA hutumika kugroup viumbe.


Mwafrika anaweza kuzaa mzungu? Mzungu anaweza kuzaa mtoto wa kiafrica? Kama viumbe havibadiliki tangu uumbaji kwanini kuna races kama tulitoka kwa family moja?

Qur'an chapter 36: 68 Allah said
As long as WE(Allah and his majestic) grand long life to any. WE caused him to change or reversed in nature
Will they not then understand ?

Hawo viumbe uliotolea mfano sio kama wamepotea wapo isipokua wamepunguzwa au kubadilishwa ktk maumbile kama ilivyo formula yake ya uumbaji jinsi miaka mingi ya maisha inavyo pita ulimwenguni kama inavyo eleza aya hiyo hapo juu,
Na ndio maana ukamuelewa kua yule alikua twiga wa miguu mifupi. na kama asingekuwepo twiga, yule wa miguu mifupi asinge eleweka ni mnyama gani.

Hivyo hivyo kwa dinosaurs type of lizard, wapo leo mijusi ndio maana akajulikana kama mjusi mkubwa

Mammoths (elephants) wapo tembo leo ndiomana yule alifahamika kama tembo wa zamani halikadhalika nyoka
.
Kwa hiyo hawa viumbe unaowaona hivi sasa si new creation bt is a new born
Na hili la new born mbona hata binaadmu analifanya ktk mifugo yake ( cross breeding )na anapata ngombe wakubwa sana kuliko wa kawaida hatuwezi kusema wale ngombe ni new creation.

Swali lako kwa nini hatuwezi kuwaona species ambao hawakuwepo zamani ?
Jibu: utajuaje hawakuwepo zamani na elewa kuwa hawa species walikua wana move place to place kufuatana na mabadiliko ya hali ya ulimwengu sasa ni binaadam gani huyo wakati wa dark age alikua ana monitor the movement of them ?

Kwa nini mwafrika hazai mzungu hiyo ni masula ya genetics (cell transmission) hapo kunamfumo maalum Allah kauweka ni somo refu kidogo ila kama utafanya inter marriage haina tabu muafrika anazaa mzungu na mzungu anazaa mwafrika wapo walio zaliwa hivyo
Ila kama utasema kwa nini hawa wawe wazungu na hawa wawe waafrika n.k hiyo Allah ameweka rangi tofauti ili iwe ni moja alama au dalili kwa binaadamu kuwa yeye yupo

Qur'an 30: 22 Allah said
And among of His signs is the creation of the heavens and the earth, and the variations in your languages, and your colours verily in that are signs for those who know.
Na tofauti ya rangi si binaadam tu hata wanyama, ndege , milima n.k.

Na swali lako juu ya mataifa (races) sababu kubwa ya kuwepo mataifa na makabila ni Kufamihiana au kujuwana
Huyu mzungu, huyu mchina, huyu mzaramo ,mmakonde n.k

Qur'an 49:13 Allah said
O mankind WE created you from a single (pair) of a male and a female,And made you into nations and tribes , that ye may know each other (not that ye may despise (each other)verily the most honoured of you in sight of Allah is ( he who is) the most righteous of you and Allah is a full knowledge and is well acquainted ( with all things)
 
Qur'an chapter 36: 68 Allah said
As long as WE(Allah and his majestic) grand long life to any. WE caused him to change or reversed in nature
Will they not then understand ?

Hawo viumbe uliotolea mfano sio kama wamepotea wapo isipokua wamepunguzwa au kubadilishwa ktk maumbile kama ilivyo formula yake ya uumbaji jinsi miaka mingi ya maisha inavyo pita ulimwenguni kama inavyo eleza aya hiyo hapo juu,
Na ndio maana ukamuelewa kua yule alikua twiga wa miguu mifupi. na kama asingekuwepo twiga, yule wa miguu mifupi asinge eleweka ni mnyama gani.

Hivyo hivyo kwa dinosaurs type of lizard, wapo leo mijusi ndio maana akajulikana kama mjusi mkubwa

Mammoths (elephants) wapo tembo leo ndiomana yule alifahamika kama tembo wa zamani halikadhalika nyoka
.
Kwa hiyo hawa viumbe unaowaona hivi sasa si new creation bt is a new born
Na hili la new born mbona hata binaadmu analifanya ktk mifugo yake ( cross breeding )na anapata ngombe wakubwa sana kuliko wa kawaida hatuwezi kusema wale ngombe ni new creation.

Swali lako kwa nini hatuwezi kuwaona species ambao hawakuwepo zamani ?
Jibu: utajuaje hawakuwepo zamani na elewa kuwa hawa species walikua wana move place to place kufuatana na mabadiliko ya hali ya ulimwengu sasa ni binaadam gani huyo wakati wa dark age alikua ana monitor the movement of them ?

Kwa nini mwafrika hazai mzungu hiyo ni masula ya genetics (cell transmission) hapo kunamfumo maalum Allah kauweka ni somo refu kidogo ila kama utafanya inter marriage haina tabu muafrika anazaa mzungu na mzungu anazaa mwafrika wapo walio zaliwa hivyo
Ila kama utasema kwa nini hawa wawe wazungu na hawa wawe waafrika n.k hiyo Allah ameweka rangi tofauti ili iwe ni moja alama au dalili kwa binaadamu kuwa yeye yupo

Qur'an 30: 22 Allah said
And among of His signs is the creation of the heavens and the earth, and the variations in your languages, and your colours verily in that are signs for those who know.
Na tofauti ya rangi si binaadam tu hata wanyama, ndege , milima n.k.

Na swali lako juu ya mataifa (races) sababu kubwa ya kuwepo mataifa na makabila ni Kufamihiana au kujuwana
Huyu mzungu, huyu mchina, huyu mzaramo ,mmakonde n.k

Qur'an 49:13 Allah said
O mankind WE created you from a single (pair) of a male and a female,And made you into nations and tribes , that ye may know each other (not that ye may despise (each other)verily the most honoured of you in sight of Allah is ( he who is) the most righteous of you and Allah is a full knowledge and is well acquainted ( with all things)

Okay. Thanks kwa majibu.

So, kumbe unakubali kuwa viumbe vinabadilika?

Ni vyema kufahamu maana ya species. Simba aki extict hatuwezi kusema paka amebakia kureplace kwa sababu paka ni paka na simba ni simba hata kama wanafanana kidogo.

Mijusi sio dinosaurs, ndege ndio wana close relation sana na dinosaurs kuliko hata mijusi ambao ni reptiles.

Dinosaurs wengine hawafanani na species yoyote ya sasa.

Tukitazama swali la pili nadhani hukuelewa vyema. Nationality sio race. Ninazungumzia race kwa kuangalia physical morphology na sio utaifa au ukabila. Nimekupa mfano Mzungu na mchina kama races za indigenous wenye varioationd za physical characteristics.
 
Okay. Thanks kwa majibu.

So, kumbe unakubali kuwa viumbe vinabadilika?

Ni vyema kufahamu maana ya species. Simba aki extict hatuwezi kusema paka amebakia kureplace kwa sababu paka ni paka na simba ni simba hata kama wanafanana kidogo.

Mijusi sio dinosaurs, ndege ndio wana close relation sana na dinosaurs kuliko hata mijusi ambao ni reptiles.

Dinosaurs wengine hawafanani na species yoyote ya sasa.

Tukitazama swali la pili nadhani hukuelewa vyema. Nationality sio race. Ninazungumzia race kwa kuangalia physical morphology na sio utaifa au ukabila. Nimekupa mfano Mzungu na mchina kama races za indigenous wenye varioationd za physical characteristics.

Ok. nashukuru, ila tu kwanza nisahihishe kua sio mimi nakubali mabadiliko ya viumbe.la bali
Ni UISLAAM ndio ulivyo fundisha mabadiliko ya nature, not for species only. but even for physical objects and weathers kwa kiasi dunia inavyo zeeka ndio maana unasikia leo kuna mabadiliko ya tabia nchi (lakini usichanganye kua ni viumbe wapya)
Na hii ni kwa mujibu wa Qur'an. Kama nilivyo ainisha sura hiyo ya 36:68

Na swali lako la pili wewe ndio hukuelewa jibu nilolo kupa hebu tulia usome vizuri hilo jibu.
Kwanza sikweli unaposema neno race halihusiani na nationality hebu chukua dictionary tafuta maana zote za nationality.
Wewe ulipo uliza juu ya race you didn't defined which race, genetics or nationality.
Nami nikakujibu kwa nyanja zote mbili
 
Mkuu umeyachunguza vyema uliyoyaandika maana naona mapungufu mengi..?
eg.jinsia umesema hakuna sababu yoyote ya kisayansi ya kueleza kwanini kuna jinsia mbili, kwani hujui jinsia hizi mbili zipo ili kuzaliana na kwenye kuzaliana it makes uendelezwaji wa viumbe.
Raha wakati wa kujamiiana ipo ili kitendo cha kujamiana kiwepo means kusikia raha kwa viumbe hupelekea kuendelea kujamiia na wakijamiiana wanazaa kama kungekuwa nauchungu viumbe wasingependa kujamiiana.

Kabla ya mengine umesema huu ni ushahidi na ushahidi huwa na uthibitisho hebu nithibitishie kuwa hayo uloyataja hapo ni ushahidi kuwa binadamu ameumbwa..?
Formula
 
Ok. nashukuru, ila tu kwanza nisahihishe kua sio mimi nakubali mabadiliko ya viumbe.la bali
Ni UISLAAM ndio ulivyo fundisha mabadiliko ya nature, not for species only. but even for physical objects and weathers kwa kiasi dunia inavyo zeeka ndio maana unasikia leo kuna mabadiliko ya tabia nchi (lakini usichanganye kua ni viumbe wapya)
Na hii ni kwa mujibu wa Qur'an. Kama nilivyo ainisha sura hiyo ya 36:68

Na swali lako la pili wewe ndio hukuelewa jibu nilolo kupa hebu tulia usome vizuri hilo jibu.
Kwanza sikweli unaposema neno race halihusiani na nationality hebu chukua dictionary tafuta maana zote za nationality.
Wewe ulipo uliza juu ya race you didn't defined which race, genetics or nationality.
Nami nikakujibu kwa nyanja zote mbili

I think unakubaliana na mtazamo kuwa viumbe vinafanya mageuzi. Lakini unakataa mtazamo kuwa Species mpya haziwezi kuwepo. Bali mageuzi yaliyopo ni kama yana kikomo. Hayawezi kupelekea uwepo wa species mpya. Na ushahidi unaopatikana kwa fossils, archaeological data na DNA unaona kuwa ndizo zinazokosea na kupelekea wanadamu kutazama kuwa ni species mpya kumbe ni zile zile. So, unakubali evolution (mabadiliko ya viumbe), lakini sio kupelekea kwa uwepo wa viumbe vipya.

Ni mojawapo ya changamoto kwangu katika kuelewa mtazamo huo. Kwa sababu, ushahidi wa DNA na fossils unaonyesha dhahiri kuwa viumbe vinaweza kubadilika na kupelekea kutokea kwa species mpya.

Nakupa ushahidi mzuri sana kuhusiana na kiumbe species ambayo imekuja kuwa kiumbe cha aina yake kutokana na mabadiliko ya kuadapt mazingira mapya.
NYANGUMI: Umeshawahi kujiuliza ni kwanini nyangumi ananyonyesha? Hana mapafu? Anazaa? Ana mikono sawa kama mmalia, na ana manyoya bila magamba kama samaki? Katika mtazamo wa kidini ambao ndio unaoamini ni sahihi unaamini aliumbwa hivyo hivyo kama alivyo na muumba. Lakini sio mtazamo sahihi kwa sababu nyangumi alikuwa ni mnyama aliyependelea kufanya mawindo yake katika kingo za bahari. Katika addaptation hiyo akazoea kukaa kwenye maji kwa muda mrefu na kutokana na uchache wa samaki katika pwani akazoea kwenda mbali na pwani na kuwinda na katika mazoea ya miaka zaidi ya milions of years amekuwa na adaptation ya kuishi kwenye bahari. Sio mfano wa viumbe vilivyokuwa nchi kavu na kuzoea kuishi majini, kuna viumbe kama chura, penguins, sea lions na kobe ambao wote hao ni kutokana na adaptation tofauti na mazoea tofauti na kupelekea hali tofauti walizonazo. Ni mabadiliko ya species mpya. Leo hii kasa hawezi kuzaliana na kobe wa nchi kavu hata kama wote ni kobe, na ndio sababu tunaita ni species. Tunaangalia classification ya species kwa kuangalia pia na uwezo wa kuzaliana (yaani kufanya mating) na sio kuangalia muonekano tu. Kubadilika kwa muonekano ni ishara ya kutofautiana katika adaptation tofauti (mfano mtu mweusi na mtu mweupe ni kutokana na adaptation tofauti na mazingira tofauti ya makazi), na huwa hali hii ya utofauti ikiendelea kwa kipindi kirefu hupelekea species mpya. Tukisema kipindi kirefu tunamaanisha kipindi kirefu sana sio cha miaka ya 1000 au 10,000 bali ni miaka mamilioni.

Hizi sio assumption bali ni mitazamo ambayo inapewa suport kuwa katika mabaki ya fossils na kipimo cha structure ya DNA kwa kila kiumbe.

Mawazo yangu ni kuwa katika maisha tuwe tunapenda kuchunguza. Mtu unaposema uislam unasema hivi ni kwamba unajishusha na kuona uislam au dini fulani ndio inajibu kila kitu katika maisha na mitazamo mengine umeshai-exlude. Ni vyema mtu kuchunguza na wewe binafsi, JE NI KWELI, Je mitazamo mingine inasema nini na ushahidi wake ni nini. Fahamu kwa kina zaidi na kisha angalia kipi kina logical na ushahidi mzuri.

Sipingi mitazamo ya uislam juu ya mabadiliko ya viumbe bali naheshimu mitazamo ya kila mtu. Nami pia hapo kabla nilisoma uislam vyema na mitazamo yake. Kinachonipa ugumu, mimi napenda kujifunza na kufahamu kwa ushahidi bila kuwa na imani tu.

Unaweza kuendelea kuamini unavyoweza kuamini. It's free to understand this world as we wish.

I think I am done katika mjadala huu mkuu, asante sana kwa mawazo yako na ushahidi wako.

Thanks.

My Sources
Ten Species That Are Evolving Due to the Changing Climate | Science | Smithsonian
 
Nasubiri jibu la kwanini sehemu za uzazi ziko katikati apooo nimesema sayansi iii inanifanya niombe msaada na mimi
 
Back
Top Bottom