Ushahidi kuwa binadamu tumeumbwa na hatujatokea tu

Ushahidi kuwa binadamu tumeumbwa na hatujatokea tu

Dini haijazaa sayansi. Dini na sayansi vilikuwa kwa pamoja. Ni katika hali ya mwanadamu kutaka kuuchunguza ulimwengu na kufahamu nature.

Kutengana kumekuja arounds 1700 lakini movement ilianza miaka ya 1400 na hapo wanasayansi walikuwa wanachomwa kama stake na kuuawa kwa mamlaka ya viongozi wa kidini. Mfano mzuri na mauaji na execution ya walioamini dunia ni duara na tunazunguka jua. Hata Galileo aliitwa mbele ya Council kukana kauli.

Dini hazitaki kubadilika kuendana na tafiti anazoendelea kufanya mwanadamu. Dini nazo ni tafiti za mwanadamu za miaka ya kale. Lakini jinsi mwanadamu anavyotaka kufahamu mengi mengine anajikuta anabadili katika kuyaelewa. Dini hazitaki kubadilika kuendana na facts zinavyosema. Dini zinataka kuamini bila ushahidi wala logical arguments. Dini zinataka ukubali points zake tu bila thinking.

Kuhusu Mungu sayansi haijapinga kuwa hakuna mungu wala haijasema kuna mungu. Jinsi tunavyozidi kujifunza tutajua.

Lakini huyo mungu wa dini kuwa ana mtoto, anaitwa fulani na aliumba dunia siku sita, aliumba maisha bustanini hizo ni myths tu na hazikuanzia katika ukristu, judaism wala Islam.


Pia fahamu kuwa sio kila dini inakinzana na sayansi. Kuna dini zinakubali scientific studies na zinakataza kuamini bila logics.

Nafikiri hapa kuna utata wa kuelewa unaposema sayansi na dini vilikua pamoja unamaanisha nini ? Hebu tuanze na facts za kuumbwa dunia kwa maelezo ya dini, REFERENCE QUR'AN hii ilifunuliwa kwa mtume Mohammad (saw) kuanzia 17/12/610 AD.mpaka 8/6/632 AD. Ndani ya kitabu hichi chapter 21verse 30,

Allah said "Do not the unbelievers see that the heaven and the earth were joined together(as a one unit of creation) before, We (Allah and his majestic) clove them asunder? We made from water every living thing.
Will they not then believe?

Hapa inaelezwa the bing bang na ktka original scripture limetumika neno FATAK ambalo tafsiri yake ni mripuko (explosion) pia inaelezwa chanzo cha uhai ni maji,
Maelezo haya kwako utaita sayansi,hii chapter ilifunuliwa kwa mtume Muhammad (saw)13/4/632 AD.
Naomba unieleze nadhari ya sayansi ilikua inasemaje ktk miaka hiyo ya 632 AD. juu ya kuweko kwa dunia na chanzo cha uhai .na ni nani aliezuka na hiyo nadharia?
And verse no.31 on that chapter
Allah said " And We (Allah and his majestic) set on the earth mountains standing firm lest it should shake with them. And we have made therein Broad highways(between mountains) for them to pass through, that they may receive guidance.
Ktk miaka hiyo 632 AD. nadharia ya sayansi ilikua inasema nini juu ya kuwpo milima ardhini na kazi yake ni nini Na nani mtungaji wa nadharia hiyo.?
Mpaka leo useme sayansi na dini vilikua pamoja?
Nature ya ulimwengu dini ilikwisha ieleza kitambo kilicho fanyika kwa watu wa sayansi ni copy and pest. Kwa taarifa yako dini ilikwisha eleza binaadam kufika mwezini(anga za juu)
Pia dini ilikwisha eleza the growth in the foetal stage.(embryo evolution) pia Dini ilikwisha eleza solar system miaka hiyo far away before 14 century.
Kuuwawa kwa Galileo ni ukristo kushindwa kujibu hoja za kisanyasi na uliwafyeka wengi kwa kuhofia utawala wao kuaanguka kwa hoja za kisayansi.
That so.
 
Nimeelewa kuwa wameiga jongoo kutengeneza treni.

Sawa kabisa kama utamkuza( magnified) jongoo over 1 mill unaweza ukaona body yake sawa na body ya train miguu yake inavyo roll sawa na tyre za train mwendo wa kujipinda pinda ni sawa na mwendo wa train
Sasa sisi binaadamu nikipi tunachofanana na Mungu kimaumbile?
 
Nafikiri hapa kuna utata wa kuelewa unaposema sayansi na dini vilikua pamoja unamaanisha nini ? Hebu tuanze na facts za kuumbwa dunia kwa maelezo ya dini, REFERENCE QUR'AN hii ilifunuliwa kwa mtume Mohammad (saw) kuanzia 17/12/610 AD.mpaka 8/6/632 AD. Ndani ya kitabu hichi chapter 21verse 30,

Allah said "Do not the unbelievers see that the heaven and the earth were joined together(as a one unit of creation) before, We (Allah and his majestic) clove them asunder? We made from water every living thing.
Will they not then believe?

Hapa inaelezwa the bing bang na ktka original scripture limetumika neno FATAK ambalo tafsiri yake ni mripuko (explosion) pia inaelezwa chanzo cha uhai ni maji,
Maelezo haya kwako utaita sayansi,hii chapter ilifunuliwa kwa mtume Muhammad (saw)13/4/632 AD.
Naomba unieleze nadhari ya sayansi ilikua inasemaje ktk miaka hiyo ya 632 AD. juu ya kuweko kwa dunia na chanzo cha uhai .na ni nani aliezuka na hiyo nadharia?
And verse no.31 on that chapter
Allah said " And We (Allah and his majestic) set on the earth mountains standing firm lest it should shake with them. And we have made therein Broad highways(between mountains) for them to pass through, that they may receive guidance.
Ktk miaka hiyo 632 AD. nadharia ya sayansi ilikua inasema nini juu ya kuwpo milima ardhini na kazi yake ni nini Na nani mtungaji wa nadharia hiyo.?
Mpaka leo useme sayansi na dini vilikua pamoja?
Nature ya ulimwengu dini ilikwisha ieleza kitambo kilicho fanyika kwa watu wa sayansi ni copy and pest. Kwa taarifa yako dini ilikwisha eleza binaadam kufika mwezini(anga za juu)
Pia dini ilikwisha eleza the growth in the foetal stage.(embryo evolution) pia Dini ilikwisha eleza solar system miaka hiyo far away before 14 century.
Kuuwawa kwa Galileo ni ukristo kushindwa kujibu hoja za kisanyasi na uliwafyeka wengi kwa kuhofia utawala wao kuaanguka kwa hoja za kisayansi.
That so.

Utata wa point yangu kuwa sayansi na dini zilikuwa pamoja ni kutokana na kuwa mimi ninatazama in general bila kuangalia dini fulani ndio tukufu.

Before science kuja miaka ya Enlightenment na Renaissance; Hapo kale miaka ya Antiquity era na katika civilization zilizopita kuanzia Mesopotami, Egypt, Greeks, Romans, Hindu civilization, Chinese dynasties, Mayan, Inca na kadhalika kabla hata ya Judaism na Abrahamic religions (Christianity, Judaism and Islam) wanadamu walitumia dini kuelewa ulimwengu. Dini ndizo zilizokuwa zinasema tumetoka wapi, tumetokanaje, Dunia ipoje, n.k Hata ushahidi wa kiakiolojia unaonyesha dhahiri pre historically High Priests ndio walikuwa kama scientists wa sasa. Ikitokea questions about nature or god walikuwa wanashirikishwa na walipewa High ranks.

Dini hapo mwanzo ilikuwa ndio sayansi ya wanadamu. Katika kuelezea nature na ambavyo hatuvioni.

Lakini sayansi ikaanza kuchepuka katika tawi la dini kwa wanadamu wengine kutaka kuishi katika mitazamo ya empiricism rather than beliefs. Kutumia milango ya ufahamu kuelewa ulimwengu. Hapo pia wanasayansi walikuwa sponsored sana na dini kutokana na kutaka kuprove hizo dini ni true.

Kwa kuweka short maelekezo yangu, lengo la sayansi na dini ni moja, ni ishara za mwanadamu kutaka kufahamu kuhusu yeye na ulimwengu unaomzunguka. Lakini tofauti ni njia za kufahamu ulimwengu huu. Kuna wanaoamini vitabu na beliefs na kuna wanaoamini logics, experiments, observation na empirical data. Ndipo utangeno unapokuja.
 
Sawa kabisa kama utamkuza( magnified) jongoo over 1 mill unaweza ukaona body yake sawa na body ya train miguu yake inavyo roll sawa na tyre za train mwendo wa kujipinda pinda ni sawa na mwendo wa train
Sasa sisi binaadamu nikipi tunachofanana na Mungu kimaumbile?

Treni haijaigwa kutoka kwa jongoo. Mechanism ya tren sio sawa na mechanism ya Jongoo.

Pia kukuza 1 mil ni ration ya kuona two cells sio jongoo.
 
Kwa kifupi una support evolution.
Evolution is not a fact, its a theory.

Mtu kutunga theories na philosophies zinazovutia hakufanyi theory kuwa uhalisia.

Mtu kutunga hadithi nzuri sana hakumaanishi kuwa matukio ya kwenye hadithi yamewahi kutokea.

Evolution is still a theory, not a FACT. The main argument against EVOLUTION is the fact that We dont have the evidences for the change of a KIND.

You can not make a man out of insects.

How can you say your anti-evolution ideas are facts while evolution provides logics and evidences than any theory concerns species changes?

That is ideological superiority and its not cool man!

Pia, it's not a fact kwa sababu in science we don't rush to conclude. It will be a fact when we'll check all species in the world and tracing their ancestry. Still in a progress and scholars keeps writing their publications, journals, from current studies.

Though, it's the best explanation than the story of a talking snake in a garden.

Creation is not even a theory!
 
Utata wa point yangu kuwa sayansi na dini zilikuwa pamoja ni kutokana na kuwa mimi ninatazama in general bila kuangalia dini fulani ndio tukufu.

Before science kuja miaka ya Enlightenment na Renaissance; Hapo kale miaka ya Antiquity era na katika civilization zilizopita kuanzia Mesopotami, Egypt, Greeks, Romans, Hindu civilization, Chinese dynasties, Mayan, Inca na kadhalika kabla hata ya Judaism na Abrahamic religions (Christianity, Judaism and Islam) wanadamu walitumia dini kuelewa ulimwengu. Dini ndizo zilizokuwa zinasema tumetoka wapi, tumetokanaje, Dunia ipoje, n.k Hata ushahidi wa kiakiolojia unaonyesha dhahiri pre historically High Priests ndio walikuwa kama scientists wa sasa. Ikitokea questions about nature or god walikuwa wanashirikishwa na walipewa High ranks.

Dini hapo mwanzo ilikuwa ndio sayansi ya wanadamu. Katika kuelezea nature na ambavyo hatuvioni.

Lakini sayansi ikaanza kuchepuka katika tawi la dini kwa wanadamu wengine kutaka kuishi katika mitazamo ya empiricism rather than beliefs. Kutumia milango ya ufahamu kuelewa ulimwengu. Hapo pia wanasayansi walikuwa sponsored sana na dini kutokana na kutaka kuprove hizo dini ni true.

Kwa kuweka short maelekezo yangu, lengo la sayansi na dini ni moja, ni ishara za mwanadamu kutaka kufahamu kuhusu yeye na ulimwengu unaomzunguka. Lakini tofauti ni njia za kufahamu ulimwengu huu. Kuna wanaoamini vitabu na beliefs na kuna wanaoamini logics, experiments, observation na empirical data. Ndipo utangeno unapokuja.

Pia kuna upungufu wa kuelewa huwezi kutizama dini in general halafu ukazitolea hukumu juu ya jambo fulani pasina upembuzi wa hizo dini juu ya jambo hilo,
Halfu mbona unacho sema kinashangaza ? How do you came to believe logic, observation, experiments without having an information. ? Which came first ?
Pia unchosema unakielewa ? kwanza nilikwambia sayansi ni zao la dini ukakataa, hapa tena unasema sayansi ilichepuka kwenye dini. Which is which?

Labda kwa ufupi ungesema kuzuka kwa DINI POTOFU zilizo shindwa kujibu na kukidhi hoja za mabadiliko ya dunia na viumbe ndiko kuliko pelekea binaadamu kuzua fikra za sayansi ili kujiondoa ktk utumwa wa Dini hizo.hapo ingawaje ungeleweka
 
Treni haijaigwa kutoka kwa jongoo. Mechanism ya tren sio sawa na mechanism ya Jongoo.

Pia kukuza 1 mil ni ration ya kuona two cells sio jongoo.

Ooh !! Mr Apollo I don't know is 11 or .....
Sijatamka mechanism hapo mi nisema body resemble na miguu ya jongoo kwa wingi wake na inavyo tembea ktk mstari mmoja inafanana na train tyres on a same line(rail) nawala sijasema kukuza cell hapo nimeseme kumkuza jongoo mzima by imagination
Be easy to understand na jibu swali ni
kipi sisi tnafanana na Mungu kimaumbile?
 
Pia kuna upungufu wa kuelewa huwezi kutizama dini in general halafu ukazitolea hukumu juu ya jambo fulani pasina upembuzi wa hizo dini juu ya jambo hilo,
Halfu mbona unacho sema kinashangaza ? How do you came to believe logic, observation, experiments without having an information. ? Which came first ?
Pia unchosema unakielewa ? kwanza nilikwambia sayansi ni zao la dini ukakataa, hapa tena unasema sayansi ilichepuka kwenye dini. Which is which?

Labda kwa ufupi ungesema kuzuka kwa DINI POTOFU zilizo shindwa kujibu na kukidhi hoja za mabadiliko ya dunia na viumbe ndiko kuliko pelekea binaadamu kuzua fikra za sayansi ili kujiondoa ktk utumwa wa Dini hizo.hapo ingawaje ungeleweka

Nilizungumzia dini in general. As how religions came na mwanadamu kuanza kushikilia dini. Sithani kama ni kosa kwa sababu hata sayansi hapa tunazungumzia in general wakati kuna paradigms nyingi za sayansi.

Yeah. Nakubaliana na wewe kuhusu upofu huo.

So, ni dini gani ambao sio kipofu na yenyewe ni zaidi ya sayansi na inajitosheleza kimaelezo na mafundisho?
 
Ooh !! Mr Apollo I don't know is 11 or .....
Sijatamka mechanism hapo mi nisema body resemble na miguu ya jongoo kwa wingi wake na inavyo tembea ktk mstari mmoja inafanana na train tyres on a same line(rail) nawala sijasema kukuza cell hapo nimeseme kumkuza jongoo mzima by imagination
Be easy to understand na jibu swali ni
kipi sisi tnafanana na Mungu kimaumbile?

Apollo ni jina langu mkuu, sio 11.

Naona bado tena unarudia kuchanganya maelekezo, miguu ya jongoo ni tofauti na treni katika mechanism. Unaweza kufananisha kwa wingi wa matairi lakini mechanism ya usukumaji haipo sawa na jongoo.

Siwezi kujua kimaumbile tunafanana vipi na Mungu kwa sababu sifahamu maumbile ya Mungu.
 
Nilizungumzia dini in general. As how religions came na mwanadamu kuanza kushikilia dini. Sithani kama ni kosa kwa sababu hata sayansi hapa tunazungumzia in general wakati kuna paradigms nyingi za sayansi.

Yeah. Nakubaliana na wewe kuhusu upofu huo.

So, ni dini gani ambao sio kipofu na yenyewe ni zaidi ya sayansi na inajitosheleza kimaelezo na mafundisho?

Easy 2 Know njoo na swali la msingi la kisayansi , and then ask the people of religions you w'll understand which one is unblind.
Ila tu uachie akili na fikra zako huru pasiwe na migandamizo yeyote
 
Easy 2 Know njoo na swali la msingi la kisayansi , and then ask the people of religions you w'll understand which one is unblind.
Ila tu uachie akili na fikra zako huru pasiwe na migandamizo yeyote

Akili yangu ipo huru na ndio sababu siamini vitu kirahisi.

Okay; Dini gani ipo sahihi inayoelezea chanzo cha aina mbalimbali za viumbe vilivyopo?
 
Apollo ni jina langu mkuu, sio 11.

Naona bado tena unarudia kuchanganya maelekezo, miguu ya jongoo ni tofauti na treni katika mechanism. Unaweza kufananisha kwa wingi wa matairi lakini mechanism ya usukumaji haipo sawa na jongoo.

Siwezi kujua kimaumbile tunafanana vipi na Mungu kwa sababu sifahamu maumbile ya Mungu.

Oooh !! Sorry Mr. is just a joke,there is a types of Apollos lend on the moon a first one was 11.
Ok mie sijafananisha mechanism ingawaje umeona mfanano wa wingi wa matairi,
Ndivyo hivyohivyo futa ktk mawazo kua Binaadamu kaumbwa kwa mfano wa Mungu, hatujui ktk maumbile yetu ni kipi tunafanana na Mungu.
 
Akili yangu ipo huru na ndio sababu siamini vitu kirahisi.

Okay; Dini gani ipo sahihi inayoelezea chanzo cha aina mbalimbali za viumbe vilivyopo?

Ok . boy easy go to the Qur'an chapter 24 : 45, said
And Allah has created every living creature from water (protoplasm) of them there are some that creep on their bellies, some that walk on two legs, and some that walk on four.
Allah creates what HE WILLS,
For verily Allah has power over all things.

Hapo kuna mafungu matatu ya aina za viumbe bila shaka wewe ni msomi utawapanga.

Then Allah mentioned in Qur'an chapter chapter 6: 38
There is not any animal ( that lives ) on the earth nor a being that flies on its wings,(but forms part of) communities like YOU.
Nothing have we omitted from the book, and they (all) shall be gathered to their Lord in the end.

Nathani utakua umeona kitu hapo
 
Sawa kabisa kama utamkuza( magnified) jongoo over 1 mill unaweza ukaona body yake sawa na body ya train miguu yake inavyo roll sawa na tyre za train mwendo wa kujipinda pinda ni sawa na mwendo wa train
Sasa sisi binaadamu nikipi tunachofanana na Mungu kimaumbile?
Kwani ni lazima tufanane na Mungu kimaumbile?

Sijawahi kumuona Mungu, sidhani kama tunafanana kimaumbile, ila nachojua ni kuwa kufanana ni zaidi ya maumbile.

Tumefanana na Mungu katika utashi na uwezo wa kujua jema na baya.
 
How can you say your anti-evolution ideas are facts while evolution provides logics and evidences than any theory concerns species changes?

That is ideological superiority and its not cool man!

Pia, it's not a fact kwa sababu in science we don't rush to conclude. It will be a fact when we'll check all species in the world and tracing their ancestry. Still in a progress and scholars keeps writing their publications, journals, from current studies.

Though, it's the best explanation than the story of a talking snake in a garden.

Creation is not even a theory!
Nothing makes more logic than creation. Mageuzi ni muujiza haswaa.

Ni rahisi kuamini creation kuliko kuamini evolution.

Chaos can not create order.

Give me one verifiable evidence where Chaos (Randomness) has created Order! Only 1. Any 1. Please. Then, I will accept.
 
Kwani ni lazima tufanane na Mungu kimaumbile?

Sijawahi kumuona Mungu, sidhani kama tunafanana kimaumbile, ila nachojua ni kuwa kufanana ni zaidi ya maumbile.

Tumefanana na Mungu katika utashi na uwezo wa kujua jema na baya.

We una unamaamuzi ya utashi kweli kama ya Mungu? Haya kunja miguu yote miwili halafu usimame wima tuone
Acha ndoto za alinacha.
 
Nothing makes more logic than creation. Mageuzi ni muujiza haswaa.

Ni rahisi kuamini creation kuliko kuamini evolution.

Chaos can not create order.

Give me one verifiable evidence where Chaos (Randomness) has created Order! Only 1. Any 1. Please. Then, I will accept.

You think creation myths its a logical explanation? And why its not even qualified to be a theory? Una ushahidi kuwa creation its a true and snake can talk in a garden and the world was created in 6 days and its flat?

We are getting new species from that randomness (as you prefer to call it) example mwaka jana tulichunguza nyani wa Zanzibar waliopo Jozani Forest, ni new species iliyotokea baada ya kutengana kwa Zanzibar na Mainland baada ya Interglacial na kuongezeka kwa kina cha maji, ikapelekea wanyama waliokuwa trapped kuwa na adaptation mpya na for 12,000 years now imekuwa species mpya katika kisiwa hicho mfano mwingine ni Zanzibar Leopards. Sizungumzii katika story bali ni mmojawapo wa watafiti na tunafanya research mara kwa mara.

Sorry ya creation ni kuwa viumbe vilishaumbwa kama vilivyo leo hii tangu kale vipo hivyo hivyo, then kwanini kuna new species? Kwanini simba na paka wafanane kidogo? Coincidence? Kwanini kuna races? Kama hakuna mabadiliko ya viumbe?


PS: Kwa kukusaidia kama hufahamu, evolution sio theory kuelezea chanzo cha uhai, au nani alisababisha bali inaelezea kuwa "viumbe vinabadilika taratibu kutokana na sababu mbalimbali na kupelekea uwepo wa species mpya". Ndio maana Charles Darwin aliita thesis yake "Origin of Species", sio life wala who created or when or why.

Let's not misunderstand it!
 
Ok . boy easy go to the Qur'an chapter 24 : 45, said
And Allah has created every living creature from water (protoplasm) of them there are some that creep on their bellies, some that walk on two legs, and some that walk on four.
Allah creates what HE WILLS,
For verily Allah has power over all things.

Hapo kuna mafungu matatu ya aina za viumbe bila shaka wewe ni msomi utawapanga.

Then Allah mentioned in Qur'an chapter chapter 6: 38
There is not any animal ( that lives ) on the earth nor a being that flies on its wings,(but forms part of) communities like YOU.
Nothing have we omitted from the book, and they (all) shall be gathered to their Lord in the end.

Nathani utakua umeona kitu hapo

Uumbaji ulitokea au bado unaendelea kutokea?
 
Back
Top Bottom