Ushahidi kuwa binadamu tumeumbwa na hatujatokea tu

Ushahidi kuwa binadamu tumeumbwa na hatujatokea tu

Sayansi haitakuja kujua majibu ya maswali. Na ikija kuyajua itakiri kuwa kuna intelligence in creating all these! Which will directly prove that God exists.

Randomness can not create intelligence. Only intelligence creates intelligence.
Time will tell
 
Kwa hiyo msimamo wako ni upi?
Unamwamini Mungu ila hauamini kama binadamu ameumbwa kwa mfano wa Mungu?
Kwani unaelewa nini kuhusu "Kuumbwa kwa mfano wa Mungu"?
Pengine una maana tofauti.

Lugha inayo tumika hapa ni kiswahili na ndio lugha yako, hebu linyambue neno Mfano katika sentesi hii
Treni ilitengenezwa kwa mfano wa jongoo. We umeelewa nini hapo.
 
Hakuna nilipokosea andiko. Tofauti ipo katika interpretation yako. Toa sababu ya kisayansi za kwanini kuna jinsia.

Wengi hawajaelewa topic kwa sababu hawafikirii kwanza, werevu walio wachache wameelewa sana.
nilianza kukuelewa lakn kadri unavojibu maswali ya wadau unazidi kunichangany,
 
1: kuna sababu za kisayansi kuhusu uwepo wa DNA na DNA ni nini na source yake kutoka katika simple Amino formula. DNA ndio kithibitisho kuwa wanadamu na viumbe vyote vimetoka katika line moja kwa sababu DNA inafanana katika kiwango fulani. DNA inatumika kulinganisha root ya ancestors kwa kulinganisha usawa. Hivyo ni kipingamizi cha kusema wanadamu na wanyama hapo kale waliumbwa tofauti.

2: Sababu ya kuzaliana ni sababu ya kila kiumbe duniani kuitwa kuimbe. Kila chenye uhai kina sifa saba za uhai ikiwepo reproduction. Ni sehemu ya uhai na characteristic ya uhai. Kama ilivyo kula, kuwa na sense, kutoa uchafu n.k

3: hakuna jinsia mbili katika kila kiumbe duniani. Vipo viumbe visivyo na jinsia. Kuna viumbe vina uwezo wa kuzaliana bila kuingiliana na kiumbe kingine hasa single cellular organisms, kuna viumbe vina both characters na kuna viumbe vina sexual mating kwa kuzaliana au kutaga mayai. Ukisoma historia ya mating imeelezewa kwa kiasi kikubwa sana kwenye sayansi na ushahidi wa viumbe vya mwazo kama bacteria vilivyoweza kuzaliana, mpaka kuja kwa viumbe vinavyotaga na kuja kwa viumbe vinavyozaa. Utajifunza kwa kina kuwa kuzaa au kutaga haikutokea tu mara moja kwa ghafla kama kuna mtu au nguvu iliamua bali ni kutokana na adaptation katika mazingira mbalimbali kama ilivyo adaptation ya skin colour.

4: mifumo ya mwili ukisoma vyema imeelezewa vyema katika kila evolutionary stage na kwanini hata organs zilizopo zipo katika location hiyo na pose na kila sababu ya ilivyo sasa.

5: Utashi wa mwanadamu sio kigezo cha kuwa ni bora sana kuliko wengine. Ni utashi uliotakana na hatua kwa hatua kuanzia kuweza kutumia moto, kula proteins nyingi katika bone marrows kwa sababu mwanadamu alikuwa scavenger na alitumia Oldowan stone tool kuanza kuvunja fat marrow ya mifupa. Akaweza kuongeza intake ya protein bila (unintentionally) na kuongezeka kwa cranial size kwenye kichwa na ubongo kuongezeka na kusaidia kuwepo kwa neuro connections nyingi na pia kutokana na kudevelop language (baada ya bipedalism thorax ilishuka na kuruhusu hewa kupita vyema kwenye voice box) na language ikamsaidia mwanadamu kushare informations, skills na ideas. Kuishi katika social life na primates wana sifa ya kuishi kama familia, kugundua moto kukamsaidia kulainisha nyama na kupunguza digestion time, kukapunguza vijidudu katika chakula na kusaidia uyeyushwaji kuwa effective na kutumia moto Homo erectus na Habilis wakaweza kusafiri na kwa mara ya kwanza mwanadamu akaweza kutoka nje ya Africa na kuishi hata katika mazingira ya baridi baada ya kujua kutumia moto, pia akajilinda na wanyama. Pamoja na tools zinasaidia kurahisisha kazi. Utashi ni series ya progress sio unakuta tu umeumbwa ukawa na utashi.

Pia wanyama wengine wana utashi wao mfano mwanadamu hana sense ya smell nzuri na kusikia vizuri kumlinganisha na paka au mbwa, na hiyo ni nature ya primates wote hata apes na monkeys hawana uwezo huo hivyo tulirithi kwa ancestors wetu.

Nyangumi, anaweza ku sense magnetic fields, nyoka na reptiles wanaweza kujua tetemeko kabla halijatokea kwa sense waliyonayo, sisi wanadamu hatuwezi. Kuna vingi wanadamu hatuwezi kutokana na evolutionary adaptation yetu hivyo sisi sio bora katika kila kitu.



Nakubaliana kidogo na mitazamo yako lakini kutokana na kutoelewa kwako na kushikilia udini na kukataa kujifunza unajikuta unadanganya na kusema sayansi haujaelezea.

Kutofahamu kwako sio sababu ya kusema hakuna wanaojua. Kabla ya ku assume ni vyema kusoma kwa kina kwanza au uliza usaidiwe. Kuna wataalamu na wanasayansi wazuri tu hata hapa J F.

Asante kwa mada yako nzuri.

Sayansi ni zao la dini tatizo ndani ya sayansi kuna mengi ya kufikirika. Na sayansi haiwezi ikashinda dini kwanini?
Yule alie tengeneza computer ndie aliye tengeneza soft wear na hard wear vyote hivi havina maarifa na ujuzi zaidi ya yule alive vitengeneza.
 
Sayansi haitakuja kujua majibu ya maswali. Na ikija kuyajua itakiri kuwa kuna intelligence in creating all these! Which will directly prove that God exists.

Randomness can not create intelligence. Only intelligence creates intelligence.

Wanachofanya wanasayansi sio kutaka kujua kama Mungu yupo bali maelezo yanayohusu Mungu kwa mujibu wa vitabu vitakatifu hayajitoshelezi.
 
Sayansi ni zao la dini tatizo ndani ya sayansi kuna mengi ya kufikirika. Na sayansi haiwezi ikashinda dini kwanini?
Yule alie tengeneza computer ndie aliye tengeneza soft wear na hard wear vyote hivi havina maarifa na ujuzi zaidi ya yule alive vitengeneza.

Dini haijazaa sayansi. Dini na sayansi vilikuwa kwa pamoja. Ni katika hali ya mwanadamu kutaka kuuchunguza ulimwengu na kufahamu nature.

Kutengana kumekuja arounds 1700 lakini movement ilianza miaka ya 1400 na hapo wanasayansi walikuwa wanachomwa kama stake na kuuawa kwa mamlaka ya viongozi wa kidini. Mfano mzuri na mauaji na execution ya walioamini dunia ni duara na tunazunguka jua. Hata Galileo aliitwa mbele ya Council kukana kauli.

Dini hazitaki kubadilika kuendana na tafiti anazoendelea kufanya mwanadamu. Dini nazo ni tafiti za mwanadamu za miaka ya kale. Lakini jinsi mwanadamu anavyotaka kufahamu mengi mengine anajikuta anabadili katika kuyaelewa. Dini hazitaki kubadilika kuendana na facts zinavyosema. Dini zinataka kuamini bila ushahidi wala logical arguments. Dini zinataka ukubali points zake tu bila thinking.

Kuhusu Mungu sayansi haijapinga kuwa hakuna mungu wala haijasema kuna mungu. Jinsi tunavyozidi kujifunza tutajua.

Lakini huyo mungu wa dini kuwa ana mtoto, anaitwa fulani na aliumba dunia siku sita, aliumba maisha bustanini hizo ni myths tu na hazikuanzia katika ukristu, judaism wala Islam.


Pia fahamu kuwa sio kila dini inakinzana na sayansi. Kuna dini zinakubali scientific studies na zinakataza kuamini bila logics.
 
Dini hizo hizo ziliamini dunia ni flat, mtu aliingiza aina zote za viumbe kwenye safina, mpaka virus wa jinsia zote (wakati sio kila kiumbe kina jinsia), dinosaurs, nyangumi na samaki wote wa baharini waliingia kwenye meli kubwa ya mbao. Story ya nyoka anayeongea, dunia kuwa center ya ulimwengu, mwanamke kutokea kwenye mbavu, n.k


Leo hii mnasema science ni ujinga na inapotosha.

Hivi kweli ni akili hiyo?

Leo hii tukichunguza ulimwengu mna hoja zenye logics na facts?

Tuacheni kupotoshana na kulazimishana kuelewa. Kama unaelewa hizo myths na kuzikubali its you lakini sio reasoning zenye mashiko kwa kila mtu.
 
duh!only bible ndugu mtoa mada, jamani muwemnasoma na vitabu vingine mbalimbali hata kama si cha dini yako ili muwe na uwanja mpana katika kutoa hoja
 
1: kuna sababu za kisayansi kuhusu uwepo wa DNA na DNA ni nini na source yake kutoka katika simple Amino formula. DNA ndio kithibitisho kuwa wanadamu na viumbe vyote vimetoka katika line moja kwa sababu DNA inafanana katika kiwango fulani. DNA inatumika kulinganisha root ya ancestors kwa kulinganisha usawa. Hivyo ni kipingamizi cha kusema wanadamu na wanyama hapo kale waliumbwa tofauti.

2: Sababu ya kuzaliana ni sababu ya kila kiumbe duniani kuitwa kuimbe. Kila chenye uhai kina sifa saba za uhai ikiwepo reproduction. Ni sehemu ya uhai na characteristic ya uhai. Kama ilivyo kula, kuwa na sense, kutoa uchafu n.k

3: hakuna jinsia mbili katika kila kiumbe duniani. Vipo viumbe visivyo na jinsia. Kuna viumbe vina uwezo wa kuzaliana bila kuingiliana na kiumbe kingine hasa single cellular organisms, kuna viumbe vina both characters na kuna viumbe vina sexual mating kwa kuzaliana au kutaga mayai. Ukisoma historia ya mating imeelezewa kwa kiasi kikubwa sana kwenye sayansi na ushahidi wa viumbe vya mwazo kama bacteria vilivyoweza kuzaliana, mpaka kuja kwa viumbe vinavyotaga na kuja kwa viumbe vinavyozaa. Utajifunza kwa kina kuwa kuzaa au kutaga haikutokea tu mara moja kwa ghafla kama kuna mtu au nguvu iliamua bali ni kutokana na adaptation katika mazingira mbalimbali kama ilivyo adaptation ya skin colour.

4: mifumo ya mwili ukisoma vyema imeelezewa vyema katika kila evolutionary stage na kwanini hata organs zilizopo zipo katika location hiyo na pose na kila sababu ya ilivyo sasa.

5: Utashi wa mwanadamu sio kigezo cha kuwa ni bora sana kuliko wengine. Ni utashi uliotakana na hatua kwa hatua kuanzia kuweza kutumia moto, kula proteins nyingi katika bone marrows kwa sababu mwanadamu alikuwa scavenger na alitumia Oldowan stone tool kuanza kuvunja fat marrow ya mifupa. Akaweza kuongeza intake ya protein bila (unintentionally) na kuongezeka kwa cranial size kwenye kichwa na ubongo kuongezeka na kusaidia kuwepo kwa neuro connections nyingi na pia kutokana na kudevelop language (baada ya bipedalism thorax ilishuka na kuruhusu hewa kupita vyema kwenye voice box) na language ikamsaidia mwanadamu kushare informations, skills na ideas. Kuishi katika social life na primates wana sifa ya kuishi kama familia, kugundua moto kukamsaidia kulainisha nyama na kupunguza digestion time, kukapunguza vijidudu katika chakula na kusaidia uyeyushwaji kuwa effective na kutumia moto Homo erectus na Habilis wakaweza kusafiri na kwa mara ya kwanza mwanadamu akaweza kutoka nje ya Africa na kuishi hata katika mazingira ya baridi baada ya kujua kutumia moto, pia akajilinda na wanyama. Pamoja na tools zinasaidia kurahisisha kazi. Utashi ni series ya progress sio unakuta tu umeumbwa ukawa na utashi.

Pia wanyama wengine wana utashi wao mfano mwanadamu hana sense ya smell nzuri na kusikia vizuri kumlinganisha na paka au mbwa, na hiyo ni nature ya primates wote hata apes na monkeys hawana uwezo huo hivyo tulirithi kwa ancestors wetu.

Nyangumi, anaweza ku sense magnetic fields, nyoka na reptiles wanaweza kujua tetemeko kabla halijatokea kwa sense waliyonayo, sisi wanadamu hatuwezi. Kuna vingi wanadamu hatuwezi kutokana na evolutionary adaptation yetu hivyo sisi sio bora katika kila kitu.



Nakubaliana kidogo na mitazamo yako lakini kutokana na kutoelewa kwako na kushikilia udini na kukataa kujifunza unajikuta unadanganya na kusema sayansi haujaelezea.

Kutofahamu kwako sio sababu ya kusema hakuna wanaojua. Kabla ya ku assume ni vyema kusoma kwa kina kwanza au uliza usaidiwe. Kuna wataalamu na wanasayansi wazuri tu hata hapa J F.

Asante kwa mada yako nzuri.
Kwa kifupi una support evolution.
Evolution is not a fact, its a theory.

Mtu kutunga theories na philosophies zinazovutia hakufanyi theory kuwa uhalisia.

Mtu kutunga hadithi nzuri sana hakumaanishi kuwa matukio ya kwenye hadithi yamewahi kutokea.

Evolution is still a theory, not a FACT. The main argument against EVOLUTION is the fact that We dont have the evidences for the change of a KIND.

You can not make a man out of insects.
 
Wanachofanya wanasayansi sio kutaka kujua kama Mungu yupo bali maelezo yanayohusu Mungu kwa mujibu wa vitabu vitakatifu hayajitoshelezi.
Mambo mengine Mungu ameyaacha ili tuya explore.

Tatizo la wanasayansi ni kuwa kila waki explore badala ya kumuamini Mungu, wanampinga.

Wanahisi kama wamevumbua wao wenyewe bila msaada wa Mungu.
 
duh!only bible ndugu mtoa mada, jamani muwemnasoma na vitabu vingine mbalimbali hata kama si cha dini yako ili muwe na uwanja mpana katika kutoa hoja
Nimetumia biblia kwa sababu ndo kitabu ambacho nipo confortable nacho. Unaweza tumia kitabu unachokiamini.
 
Back
Top Bottom