Ushahidi unaoonesha jinsi Kombora lililorushwa na Hamas lilivyoshindwa kuendelea na safari likatua Hospitalini na kuua mamia

Unajiita Soldier hata hujui air strike ni nini? HAMAS wana Ndege ngapi? Ushawahi ona ndege ya Hamas ikipiga kombora popote pale?
Na cha ajabu ni kwamba Hao Hamas wanaosema ni Airstrike hawana ushahidi wa ndege kufanya airstrike, Wamejikanyaga !!

Kamera zinaonyesha muda wa tukio kombora la Hamas limejam na likatua ndani ya Gaza.
Your browser is not able to display this video.
 
Na cha ajabu ni kwamba Hao Hamas wanaosema ni Airstrike hawana ushahidi wa ndege kufanya airstrike, Kamerza zinaonyesha muda wa tukio kombora la Hamas limejam na likatua ndani ya Gaza.
Kashapost mpaka Prime minister wa Canada ku Condemn hilo tukio, Nchi kibao wame post ku Condemn Israel, we unajua kuliko prime Minister wa Canada na video yako feki inayoonesha Gaza kuna Umeme?
 
Na cha ajabu ni kwamba Hao Hamas wanaosema ni Airstrike hawana ushahidi wa ndege kufanya airstrike, Wamejikanyaga !!

Kamera zinaonyesha muda wa tukio kombora la Hamas limejam na likatua ndani ya Gaza.
View attachment 2784894
Acha kuhangaika kwa sababu Israel yenyewe imeshakili kuhusika na imesema ni ajali na itachunguza.

Najua unaona aibu kwa jeshi linalo jiita bora kufanya mambo ya hovyo kama hayo lakini hakuna namna kwa sababu ndo walivyo fundishwa.
 
Nahisi huna bando unatumia Jamii Forums ya bure isiyoonyesha video

Hicho ulichoposti na Video vina ufanano ?
Nimekuuliza swali juu Gaza kuna Umeme? Video yako inaonesha Kombora kwenye mji wenye umeme tayari video yako ni fake.

Pili unabishana na IDF wenyewe ambao wamekiri we unajua kuliko jeshi la Israel wenyewe?

Tanzania tuna kila aina ya vipaji aisee.
 
Muisrael mweusi wa Majitatu hataki kuamini kama mabwana zake wanafanya mauaji BBC nao waongo hiyo Hosotal ni Kanisa kwa taarifa yako Kanisa ndiyo limesema tumeshambuliwa na Israel.
 
Haya maandamano kama yataendelea naona Palestine inaenda kupotea zaidi kwenye udhibiti na ushawishi wake Kwa nchi zingine za kiarabu
 
Acha kuhangaika kwa sababu Israel yenyewe imeshakili kuhusika na imesema ni ajali na itachunguza.

Najua unaona aibu kwa jeshi linalo jiita bora kufanya mambo ya hovyo kama hayo lakini hakuna namna kwa sababu ndo walivyo fundishwa.
Watachunguza kwa kina kuona hao Hamas Lengo lao lilikuwa ni lipi mpaka kulipua Palestina, aidha ilikuwa kombora limejamu ama walifanya maksudi kuwatoa sadaka wapalestina ili waonewe huruma
 
Nahisi huna bando unatumia Jamii Forums ya bure isiyoonyesha video

Hicho ulichoposti na Video vina ufanano ?

Nenda kwa Mangi ununue hata vocha ya jero uicheki video
Hii website ya kijew ina Hio video mwaka 2022

 
Mara nyingi Hawa Hamas hutumia mahospital , mashule na misikiti kuficha masilaha Yao na kushambulia kutoka huko labda yamelipuka kimakosa
Hivi unadhani hayo unayo ongea hutaulizwa utapo hukumiwa na Mungu, unadhani kuzua uwongo ndio kitatea anacho fanya Israel kupiga Hospital
 
Na cha ajabu ni kwamba Hao Hamas wanaosema ni Airstrike hawana ushahidi wa ndege kufanya airstrike, Wamejikanyaga !!

Kamera zinaonyesha muda wa tukio kombora la Hamas limejam na likatua ndani ya Gaza.
View attachment 2784894
Kweli wwe jinga wapi camera Ina onyesha missiles Imejam yani hamuoni hata aibu mnaongea ujinga mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…