Mkuu acha kutetea ujinga hilo kombora ni la Israel Hamas hana kombora lenye uwezo wa kusababisha mlipuko mkubwa kiasi hicho.Watachunguza kwa kina kuona hao Hamas Lengo lao lilikuwa ni lipi mpaka kulipua Palestina, aidha ilikuwa kombora limejamu ama walifanya maksudi kuwatoa sadaka wapalestina ili waonewe huruma
Kwa akili yako unadhani Palestina hamna Wakiristo hivi huko shule mlikuwa mnaenda kusomea ujinga?kwanini hii itokee kwenye hospitali ya wakristo.
Huko ndiyo ulikuwa unatakiwa useme umehamisha magoli Hamas hawafanyi hivyo kwa makusudi unajitia upofu huoni wanachofanyiwa na Israel…Mbona hamuongelei swala la hamas kutumia schools, hospitals and mosques kama sehemu zao za ku-Launch mabomu, hio ni sawa?
Unatumiaje public places kama site yako ya kufanya mshambulizi, unajali watu wako kweli?
Sasa kama unafanyiwa hivo na Israel...Huko ndiyo ulikuwa unatakiwa useme umehamisha magoli Hamas hawafanyi hivyo kwa makusudi unajitia upofu huoni wanachofanyiwa na Israel…
Wewe shukuru Mungu upo Tanzania maisha mazuri hata kama hauna kitu ndugu wapo hamna hata moja kafa kwa bomu au risas kuna watu wanakuwa wanaona familia zao zinapotea kwa kupigwa risasi, mabomu kuporwa ardhi zao ni rahisi sana kuandika na kulaumu, mfano kidogp tu hapa kila siku tunawatetea wamasai huko Loliondo. Bahati mbaya au nzuri wewe umeishachagua upande.Sasa kama unafanyiwa hivo na Israel...
je using human shields, is it the only possible option??
Risking women and children's life, is it really the only option ya kupigana na adui yako?? Hatakama umezidiwa risking maisha ya wananchi ni sawa??
Nimekuelewa, ila nilikuwa nataka jibu la NDIO au HAPANA bac.Wewe shukuru Mungu upo Tanzania maisha mazuri hata kama hauna kitu ndugu wapo hamna hata moja kafa kwa bomu au risas kuna watu wanakuwa wanaona familia zao zinapotea kwa kupigwa risasi, mabomu kuporwa ardhi zao ni rahisi sana kuandika na kulaumu, mfano kidogp tu hapa kila siku tunawatetea wamasai huko Loliondo. Bahati mbaya au nzuri wewe umeishachagua upande.
Mkuu hio Hospital ni ya Kanisa Hamas wapo Kanisani siku hizi? Humo ndani majority ni watoto ambao wanalelewa yatima ambao hawana wazazi, hii video imechukuliwa jana Kituoni hapoMbona hamuongelei swala la hamas kutumia schools, hospitals and mosques kama sehemu zao za ku-Launch mabomu, hio ni sawa?
Unatumiaje public places kama site yako ya kufanya mshambulizi, unajali watu wako kweli?
Ngoja niwaache bhana maana ukiongea sana utaanza kurushiwa maneno
Intelligence information revealed that the strike which hit al-Ahli Hospital in Gaza City was a rocket misfired by Palestinian Islamic Jihad terrorists, the Israeli army has claimed.Hii tweet ni ya Vice President wa Global Imams Council(GIC).
HAFAIDIKI CHOCHOTE KUITETEA ISRAEL NA BADO AME SHARE VIDEO FROM AL-JAZEERA, AMBAYO WOTE TUNAJUA IKO UPANDE WA HAMAS.
View: https://twitter.com/Imamofpeace/status/1714386149337104854?t=4cZXSQnYC11fJsIwEvPXSg&s=19
HAYA SEMENI HII VIDEO NAYO NI YA 2022
Intelligence information revealed that the strike which hit al-Ahli Hospital in Gaza City was a rocket misfired by Palestinian Islamic Jihad terrorists, the Israeli army has claimed.Nimekuelewa, ila nilikuwa nataka jibu la NDIO au HAPANA bac.
Unazunguka zunguka sana, kwann hamtaki kusema ukweli kwamba hamas hawajali Palestinians?? Kwann??
Kwann mm nimeongelea hilo kanisa??Mkuu hio Hospital ni ya Kanisa Hamas wapo Kanisani siku hizi? Humo ndani majority ni watoto ambao wanalelewa yatima ambao hawana wazazi, hii video imechukuliwa jana Kituoni hapo
View attachment 2784945
OkayIntelligence information revealed that the strike which hit al-Ahli Hospital in Gaza City was a rocket misfired by Palestinian Islamic Jihad terrorists, the Israeli army has claimed.
But a spokesman for Islamic Jihad has said this is 'completely incorrect' and accused the IDF of 'trying to cover for the horrifying crime and massacre they committed against civilians'.
Jamaa zako Israel wamesema Hamas hawahusiki ni IIslamic Jiahd
Aisee niambie ww unaewateteaIntelligence information revealed that the strike which hit al-Ahli Hospital in Gaza City was a rocket misfired by Palestinian Islamic Jihad terrorists, the Israeli army has claimed.
But a spokesman for Islamic Jihad has said this is 'completely incorrect' and accused the IDF of 'trying to cover for the horrifying crime and massacre they committed against civilians'.
Wewe unamuamini nani hapo?
Uzi Unaongelea Attack ya Hospital? Ama Tunaongelea nini hapaKwann mm nimeongelea hilo kanisa??
Okay, Shame on me.Uzi Unaongelea Attack ya Hospital? Ama Tunaongelea nini hapa
Na Usihamishe Magoli as If Hamas wanapigana na Israel, Jeshi la Israel hata Halijaingia Gaza linarusha tu Makombora popote pale, Wamepiga hadi ofisi za Umoja wa Mataifa nao pia ni Hamas? Wanapiga ofisi zote za waandishi wa habari wameua hadi waandishi wa habari wa Reuters nao ni Hamas?
Umepost matwet yako ya propaganda tu maana ndio sehemu unazotembelea shame on you.
Jibu swali wewe unasema hamas wanarusha kombora Israel wanasema siyo Hamas.Aisee niambie ww unaewatetea
Kama hamas wanajificha mahospitalini na kufyatua makombora ulitegemea nini acha wale kichapo si hawana utuHii proof video ni Ya 2022
View attachment 2784899
Na baada ya Tukio msemaji wa IDF kasema Tuliwaonya mara 5 Hio hospital.