Kwani tatizo nini, bomu litupwe na yeyote ni sawa tu, hao wako vitani mlitakaje sasa? Waache kulia lia wapigane mpaka kieleweke, hatutaki visingizio, kwani wanaokufa majumbani na wanaokufa hospitalini wanatofauti gani?
Wamebomoa maficho ya Hamas au nani kafa mpaka kelele zote hizi?
Badala ya kuwatia moyo mnaanza kuwaonea huruma, Hamas walisema walijiandaa kwa vita ya muda mrefu na kwamba wako tayari kupigana milele sasa Tatizo nini tena?
Waachwe watwangane tu.
Wamebomoa maficho ya Hamas au nani kafa mpaka kelele zote hizi?
Badala ya kuwatia moyo mnaanza kuwaonea huruma, Hamas walisema walijiandaa kwa vita ya muda mrefu na kwamba wako tayari kupigana milele sasa Tatizo nini tena?
Waachwe watwangane tu.