Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ila ingekuwa video yangu mimi kapuku ningekosa hata editor ila kwa vile ni ya Mheshimiwa Baba Askofu basi maeditor wa kujitolea wamepatikana.Mkuu pole na majukumu, hii ndio tz na mtoa mada ni mtz. Usiku mwema.
Kwahiyo na wewe unataka tuamini hiyo video siyo yake?Kasemea wapi? Hivi mbona wabongo ni wajinga kuamini kila kinachotungwa mtandaoni?
Nimeona mkuu kule instaKwaa ambao hawajaionahiii hapa nimeona kwa page ya mdaku mmoja hivi
UDAKU_WAMASTAR🔵 (@udaku_wamastar) • Instagram photos and videos
1,041 Followers, 76 Following, 498 Posts - See Instagram photos and videos from UDAKU_WAMASTAR🔵 (@udaku_wamastar)www.instagram.com
We utakuwa ndiye Gwajima mwenyeweHii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
View attachment 1091497
Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
View attachment 1091497
Mkuu simu yako inasiri nzito. Wenzio uvumilivu umewashinda. Afu simu yako iko kingono sana..sio kwa mavitu hayo.Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
View attachment 1091497
Hujakamatwa kuhojiwa?Nataka mjiulize swali moja, kama ni video ya Gwajima kweli, kwa nini wasinge ipost moja kwa moja ikiwa yenyewe ila wameanza na kupost video ya Gwajima akijirekodi kwanza ambayo inamuonyesha sura?
Sababu ni kuwa walitaka wawajenge watu kisaikolojia kwanza kuwa Gwajima ndiye aliyejirekodi, hivyo kutuma video ya yeye akijirekodi kwanza, kisha kutuma video ya ntu anayefanana na yeye akijirekodi akila mzigo
Swali jingine ni je kwa nini video ivujishwe sasa hivi wakati ni ya zamani sana?
BOSSI MI NOMBA YA TREKTA LIKIVUKA MTOHii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
View attachment 1091497
Pofuka wewe na kizazi chako kwanza.Sio yeye na nyote mnaoisambaza mpofuke macho kwa jina la YESU.
Nataka mjiulize swali moja, kama ni video ya Gwajima kweli, kwa nini wasinge ipost moja kwa moja ikiwa yenyewe ila wameanza na kupost video ya Gwajima akijirekodi kwanza ambayo inamuonyesha sura?
Sababu ni kuwa walitaka wawajenge watu kisaikolojia kwanza kuwa Gwajima ndiye aliyejirekodi, hivyo kutuma video ya yeye akijirekodi kwanza, kisha kutuma video ya ntu anayefanana na yeye akijirekodi akila mzigo
Swali jingine ni je kwa nini video ivujishwe sasa hivi wakati ni ya zamani sana?
Huo ujinga kawaambie ndg zako, mnahangaika kumsafisha lakn mtambue kwamba mwisho Wa ubaya ni aibu na utambue kwamba Mungu hajaribiwi, hizo dini zenu mmezifanya kichaka mtazidi kuumbuka mmoja mmojaHii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
View attachment 1091497