Si wameipata sasa hivi kabla ya hapo ilikuwa mikoni mwake!Nataka mjiulize swali moja, kama ni video ya Gwajima kweli, kwa nini wasinge ipost moja kwa moja ikiwa yenyewe ila wameanza na kupost video ya Gwajima akijirekodi kwanza ambayo inamuonyesha sura?
Sababu ni kuwa walitaka wawajenge watu kisaikolojia kwanza kuwa Gwajima ndiye aliyejirekodi, hivyo kutuma video ya yeye akijirekodi kwanza, kisha kutuma video ya ntu anayefanana na yeye akijirekodi akila mzigo
Swali jingine ni je kwa nini video ivujishwe sasa hivi wakati ni ya zamani sana?
Kwanini video za Amber Rutty na Mariam Biriani nguvu hii haikutumika?
Zote ni editing hakuna iliyo kweli.Hata zile za kina amber ruty ni editing.
Yah mzee, inabidi iwe ivoZote ni editing hakuna iliyo kweli.
vibaraka wa lumumba utawajua tuHuo ujinga kawaambie ndg zako, mnahangaika kumsafisha lakn mtambue kwamba mwisho Wa ubaya ni aibu na utambue kwamba Mungu hajaribiwi, hizo dini zenu mmezifanya kichaka mtazidi kuumbuka mmoja mmoja
Hadi sauti wameeditiSauti je
Aya sawaHadi sauti wameediti
ata ingekuwa ya mwaka 47, video ni yakwake , ni genuine.Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
View attachment 1091497
Hiyo simu yako ilikuwa inaonyesha mwezi tu, ghafla November ikaweka na mwaka? Utapeli kama Gwajima tu!Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
View attachment 1091497
Najivunia kuwa mkristo safi wa kanisa katoliki la mitume....Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
View attachment 1091497
We vipi? umemsikia msemaji wa familia ya Gwajima? amesema alipewa juice akashindwa kujitambua afanyacho, sasa we unakuja na mapichapicha tu ya sijui ya mwaka gani!!Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
View attachment 1091497