Ushahidi wa Nyaraka na vielelezo kuhusu UZanzibar wa Rais Samia huu hapa

Ushahidi wa Nyaraka na vielelezo kuhusu UZanzibar wa Rais Samia huu hapa

Dah wazee mumejisahau sana, Wazanzibar wanakuwa sahihi wanapolalamikia huu muungano. Kwa hiyo wao wawe hawaruhusiki kuwa Maraisi?
Nadhani unaona mambo yanavyokwenda malalamiko ya chini kwa chini. Ni vile watanganyika ni watu wa kuchulia poapoa.

Wangekuwa wazenji kele zingekuwa nyingi sana. Kuwa mtanzania hakukuondolei uzenji wako. Pia kuwa mtanganyika ndani ya Tanzania hakukupi haki ya uzenji.

Pia fikiria, Mungu aepushie mbali muungano kuvunjika. Ikaja kuonekana mwaka fulani mzenji alifanya maamuzi yaliyoiathiri tanganyika pekee.
 
Nadhani unaona mambo yanavyokwenda malalamiko ya chini kwa chini. Ni vile watanganyika ni watu wa kuchulia poapoa.

Wangekuwa wazenji kele zingekuwa nyingi sana. Kuwa mtanzania hakukuondolei uzenji wako. Pia kuwa mtanganyika ndani ya Tanzania hakukupi haki ya uzenji.

Pia fikiria, Mungu aepushie mbali muungano kuvunjika. Ikaja kuonekana mwaka fulani mzenji alifanya maamuzi yaliyoiathiri tanganyika pekee.

Hoja ni kuwa munafikaje kuzungumza na kuamini kuwa Mzanzibari hatakiwi awe Raisi? na kama kuhusu Maamuzi, kwani maraisi wanapokuwa watanganyika huwa hawachukui maamuzi ya kuwahusu wazanzibari? Umesahau Mkapa alivyoua watu pemba?
 
Kuna mfanano wa Wangazija.. Wazenji wengi walitokea Comoros nakumbuka yule Mama wa RTD na ITV Fau dhiat Aboud na yule Waziri Aliyeolewa na Mhindi Megji.
 
Gud mbona nape anasema Samia ni mngoniijalishi, kwani Zanzibar w[po makabila na
Haijalishi, Zanzibar kama Tanganyika tupo wa makabila tofauti na asili tofauti.

Ukichukulia hivyo, mngoni hana asili ya Tanganyika.

Wewe Je?
 
Haijalishi, Zanzibar kama Tanganyika tupo wa makabila tofauti na asili tofauti.

Ukichukulia hivyo, mngoni hana asili ya Tanganyika.

Wewe Je?
Tupeni basi viwanja mchambawima na siye tujenge
 
Tupeni basi viwanja mchambawima na siye tujenge
Kila nchi ina sheria zake za ardhi.

Hata Tanganyika wewe huwezi kumiliki ardhi. Wenye jumiliki ardhi Tanganyika na kuweza kuifanyia watakavyo ni wazungu tu. Na hauna ujanja wa kuwazuwia.

Ulitimiza masharti ya kuweza kukodishwa ardhi Zanzibar ukanyimwa?
 
Kila nchi ina sheria zake za ardhi.

Hata Tanganyika wewe huwezi kumiliki ardhi. Wenye jumiliki ardhi Tanganyika na kuweza kuifanyia watakavyo ni wazungu tu. Na hauna ujanja wa kuwazuwia.

Ulitimiza masharti ya kuweza kukodishwa ardhi Zanzibar ukanyimwa?
Nionyeshe Mtanganyika aliyetimiza hayo masharti na kukodishwa, halafu nyinyi Wazanzibar haya mnayowafanyia watanganyika mmewahi kufanyiwa huko Bara? Kwanini nyinyi tu?
 
Nionyeshe Mtanganyika aliyetimiza hayo masharti na kukodishwa, halafu nyinyi Wazanzibar haya mnayowafanyia watanganyika mmewahi kufanyiwa huko Bara? Kwanini nyinyi tu?
Wa haraka haraka, Mwinyi, jumbe, wote hao ni Watanganyika waliotimiza masharti ya kukodishwa ardhi Zanzibar. Tena siyo ardhi tu, wametimiza npaka masharti ya kuweza kuwa Marais wa Zanzibar.

Tanganyika nao wana sheria zao za kukodisha ardhi, kama Mzanzibari au Mtanganyika katimiza masharti kwanini asikodishwe?

Sema Tanganyika, mzungu anamiliki ardhi tena yenye utajiri na hauna cha kumfanya.

Ukijidai kuleta fyoko unalipa mpaka ukome kuleta fyoko nyoko zako.

Umesahau?

Kondoo toka lini akawa na ujanja kwa wachungaji?
 
Wa haraka haraka, Mwinyi, jumbe, wote hao ni Watanganyika wsliotimiza masharti ya kukodishwa srdhi Zanzibar. Tena siyo ardhi tu, wametimiza npaka masharti ya kuweza kuwa Marais wa Zanzibar.

Tanganyika nao wana sheria zao za kukodisha ardhi, kama Mzanzibari au Mtanganyika katimiza kwanini asikodishwe?

Sema Tanganyima mzungu anamiliki ardhi tena yena yenye utajiri na hauna cha kumfanya.

Ukijidai kuleta fyoko unalipa mpaka ukome kuleta fyoko nyoko zako.

Umesahau?


Kondoo toka lini akawa na ujanja kwa wachungaji?
Yaani wewe mtu uongo umechanjia ama umezaliwa nao?

Kwa ivo Salim Bakhressa ni Mzungu. Yale mashamba ya miwa aliyopewa na Magufuli kwa kuwa ni mzungu?

Familia ya Ally Hassan Mwinyi si ainamiliki Ardhi kule Mwanambaya, nao ni wazungu?

Hivi kule Kifanya yale maelfu ya hekari za Ardhi zinazomilikiwa na unayemtetea aliyapata Kwa kuwa yeye ni mzungu?

Zanzibar si wanasema Wana Ardhi Bagamoyo. Yaani wao wana Ardhi Yao Tanganyika.
 
Yaani wewe mtu uongo umechanjia ama umezaliwa nao?

Kwa ivo Salim Bakhressa ni Mzungu. Yale mashamba ya miwa aliyopewa na Magufuli kwa kuwa ni mzungu?

Familia ya Ally Hassan Mwinyi si ainamiliki Ardhi kule Mwanambaya, nao ni wazungu?

Hivi kule Kifanya yale maelfu ya hekari za Ardhi zinazomilikiwa na unayemtetea aliyapata Kwa kuwa yeye ni mzungu?

Zanzibar si wanasema Wana Ardhi Bagamoyo. Yaani wao wana Ardhi Yao Tanganyika.
😆😆😆😆
 
Yaani wewe mtu uongo umechanjia ama umezaliwa nao?

Kwa ivo Salim Bakhressa ni Mzungu. Yale mashamba ya miwa aliyopewa na Magufuli kwa kuwa ni mzungu?

Familia ya Ally Hassan Mwinyi si ainamiliki Ardhi kule Mwanambaya, nao ni wazungu?

Hivi kule Kifanya yale maelfu ya hekari za Ardhi zinazomilikiwa na unayemtetea aliyapata Kwa kuwa yeye ni mzungu?

Zanzibar si wanasema Wana Ardhi Bagamoyo. Yaani wao wana Ardhi Yao Tanganyika.
Nani alikwambia Bakhresa ni mzungu?

Bakhresa ni Mzanzibari.

Hamiliki ardhi ya shamba, kakodishwa alime tu.

Mwenye ardhi yake ni yule anayeweza juichimba akazowa mali zote za ardhini akakuwachia mashimo.

Kumbuka hayo.
 
Nani alikwambia Bakhresa ni mzungu?

Bakhresa ni Mzanzibari.

Hamiliki ardhi ya shamba, kakodishwa alime tu.

Mwenye ardhi yake ni yule anayeweza juichimba akazowa mali zote za ardhini akakuwachia mashimo.

Kumbuka hayo.
Acha kupindisha hoja wewe. Kwa ivo wachimbaji madini wanamiliki Ardhi?Kwa Sheria ipi?

Unataka kusema DP World wanamiliki bandari za Tanganyika?
 
Back
Top Bottom