Ushahidi wa Nyaraka na vielelezo kuhusu UZanzibar wa Rais Samia huu hapa

Ushahidi wa Nyaraka na vielelezo kuhusu UZanzibar wa Rais Samia huu hapa

Ondoa hilo neno " wehu" . Tumia busara na lugha nzuri katika kuchangia.
Tumeshuhudia watu wenye dhamana kubwa katika utawala wa nchi hii wakijinasibu kwa “ushindi wa bao la mkono” na wengine wakimfananisha Rais na Mungu. Iko mifano mingi ya aina hii kwenye siasa za Tanzania ya watu kutumia kauli za ovyo kutetea mambo ya ovyo.

Kwa kiingereza mawazo ya aina hiyo tunayaita “insane viewpoints” au “insanity”. Kiswahili chake kinaweza kisipendeze lakini ni “wehu” tu. Hata mapenzi yakikolea kupita kiasi hupelekea mtu kuwa mwehu.

Btw, mwehu sio kichaa. Ni mtu mzima anayejitoa fahamu katika mazingira fulani kufanikisha malengo yasiyo ya kistaarabu. Hivyo sijui ni “lugha nzuri” ipi hiyo inaweza kuelezea insanity.
 
Mimi nadhani ni heshima kubwa na Uzalendo kwa mtu kuitwa kwa Utaifa wake, Sioni haja ya kuficha Utaifa wa mtu kwa sababu zozote zile.

Kwa nia njema kabisa naweka nyaraka za wazi za Uzanzibar wa Rais wetu Samia Suluhu Hassan

View attachment 2977513View attachment 2977516

Hata kwa Sheria za Tanzania, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano anapotokea Tanganyika(Tanzania Bara), Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais) ni lazima awe Raia wa Zanzibar, Kwahiyo kumbe Wazanzibar wapo na ni lazima wawe Wazanzibar ili kugombea Uongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO

Pia soma
Kwani kuwa Mzanzibari ni kinyume na sheria? Kwani wewe ulitaka awe mnyakyusa?

Pili Subirieni nyie Machadema mkishioa Dola ndio mtagawanya Tanzania.

Mwisho hata Mkapa mlisema anauza Nchi wakati anafanya ubinafsishaji na mlisema amefukia watu kwenye mashimo lakini hakuna mlichoambulia.
 
Yawezekana kuna watu kama Erythrocyte walikuwa wanausaka sn ushahidi wa kuwa Samia ni Mzenji!
Sawa. Amenimaliza. Mimi sikujua kuwa ipo siku nitahitaji ushahidi kwamba Mh Samia ni Mzanzibari. Nimeshangaa.

Ila kwa vyovyote vile usije ukanilinganisha na Nape. 😂
 
Ni wagambo Kwa Tanganyika Ila kwa Zanzibar Ni jeshi na Liko Responsible kwa Rais wa zanzibar..

Na hapa ndo Linapokuja Swala la watanganyika Kudhani wao Ni Bora kuliko Wazanzibar na hapa ndo huleta ubaguzi kati yao
Hata Jeshi la Mgambo la Tanzania liko responsible kwa Rais wa Tanzania.

KMKM na JKU na Jeshi Usu kama Jeshi la TANAPA au la Wanyamapori
 
Hata Jeshi la Mgambo la Tanzania liko responsible kwa Rais wa Tanzania.

KMKM na JKU na Jeshi Usu kama Jeshi la TANAPA au la Wanyamapori
Kwa Mujibu wa Sheria Ipi?

Hili swala naliongea Kila siku na niliwahi kufanya Discussion na Pascal Mayala Na Wanasheria wengine humu Jf kuwa JKU na KMKm sio Migambo wala Mgambo Ni Paramilitary na auxilliary ambao ni dola kwa mujibu wa katiba ya zanzibar na wala Sio militia..

Screenshot_20240501_101742_Adobe Acrobat.jpg

Zanzibar mwaka 2013 chini ya Rais Shein alianzisha Enforcements Agency chini ya JKU..
Ambayo Ni sawa na Polisi

Nachofahamu mimi, jeshi la mgambo, Jeshi usu (kwa sasa Jeshi la Akiba) linaongozwa na kuuanzishwa kwa sheria inayoitwa THE PEOPLE'S MILITIA ACT NO.9 ya mwaka 1989,

kama ilivyofanyiwa marekebisho toka awamu hadi awamu ,pia wanaongozwa na sheria inayoitwa THE PEOPLE'S MILITIA(POWER OF ARREST) ACT,1975 na mwisho THE PEOPLE'S MILITIA(Compensation for injuries)ACT ya mwaka 1973.

Sheria hizi ni za zamani sana na zinakuwa complemented na sheria nyingine kama vile za halmashauri na ile inayompa mamlaka mkuu wa wilaya.Na People's millitia imekuwa defined kama;

Peoples Militia'' means an organized group of the people of the United Republic operating with the authority of and under the aegis of the Government and which is receiving any military
training or participating in any military, quasi-military or law enforcement exercise for the protection of the sovereignity of the United Republic or for the protection of the people or the property of the United Republic, but does not include the Police Force, any arm or branch of the Defence Forces, the Prisons Service or
the National Service.

Hakuna katiba Inayowatambua migambo Na kama wangetambulika kikatiba bhasi wangekuwa jeshi kamili..

Pia nakuomba Usome sheria ya majeshi na ulinzi wa Umma Sheria ya 1984 Na.15 ib.49 na Sheria ya 1992 Na.4 ib.36

Sasa Siku nyingine Uwe na Uhakika na unachokiongea
 
CHADEMA mnafeli sana, daima mnatafuta kura kwa migawanyo, mara mkae kidini, mara kikanda mara kama hivi kizanzibar na Bara, yan mnatapa tapa kwa kila mbinu kuhakikisha mnafika ikulu, ila kibaya mnajiharibia, kwa style hii ya ubaguzi watu wa mipakani wanawaogopa tayari, zenji hawatakaa wawakubali,
Hakuna ujualo Bora ukae kimya
 
CHADEMA mnafeli sana, daima mnatafuta kura kwa migawanyo, mara mkae kidini, mara kikanda mara kama hivi kizanzibar na Bara, yan mnatapa tapa kwa kila mbinu kuhakikisha mnafika ikulu, ila kibaya mnajiharibia, kwa style hii ya ubaguzi watu wa mipakani wanawaogopa tayari, zenji hawatakaa wawakubali,
MTANGANYIKA anayeshangilia Muungano, hana tofauti na mtu anayeshangilia mama yake mzazi akibakwa hadharani"
 
Zamani Walikuwa Na passport yao ila Sijui ilifikia wapi waliamua Kuifuta..
Mtanzania Bara ni nani?
Kwanini mnaweza kutamka Mzanzibari lakini manashindwa kutamka Mtanganyika..?

Vipi mtu anayeishi Ukerewe Yeye haishi Visiwani??
Vipi anayeishi Mafia sio Mtanzania Bara??

Ok hiyo Sio Mada yangu ila Kikubwa zamani alikuwa nayo passport ila baadaye ikapurushwa..
Na kuhusu Kupewa Kitambulisho cha Mkazi ni Mara nyingi lazma uwe mzawa wa Zanzibar kwa mujibu wa katiba ya zanzibar...

View attachment 2977761
How many "United Republics of Tanzania" existed at the time this obviously fake passport was in use?
 
Zamani Walikuwa Na passport yao ila Sijui ilifikia wapi waliamua Kuifuta..
Mtanzania Bara ni nani?
Kwanini mnaweza kutamka Mzanzibari lakini manashindwa kutamka Mtanganyika..?

Vipi mtu anayeishi Ukerewe Yeye haishi Visiwani??
Vipi anayeishi Mafia sio Mtanzania Bara??

Ok hiyo Sio Mada yangu ila Kikubwa zamani alikuwa nayo passport ila baadaye ikapurushwa..
Na kuhusu Kupewa Kitambulisho cha Mkazi ni Mara nyingi lazma uwe mzawa wa Zanzibar kwa mujibu wa katiba ya zanzibar...

View attachment 2977761
Sijawahi kusikia "Mtanzania Visiwani". Ni "Mzanzibari". Kwahiyo sielewi pointi yako ya wakazi wa Mafia na Ukerewe. Tuwekee hicho kipengele kutoka Katiba ya Zanzibar kinachozungumzia Mzawa wa Zanzibar ni nani vis-a-vis Kitambulisho cha Mkazi wa Zanzibar.
 
Hii nchi tuna mawakili wasomi au mawakili wasonji???
Kwanini wasifafanue vyema Kwamba muungano wetu hauko sawa na katiba yetu haikosawa!!
Tz nimuunganiko wa nchi mbili zipi?? Tanganyika ni nchi?? Sifa za kuwa nchi kwani hazijulikani??
Tumechoka kusema tukipata uhuru 61 alafu tunatawaliwa na mtu kutoka nchi nyingine!! Kwamba bara hatuna mwenyeakili za kutuongoza??
Zamani vyuo vikuu walikuwa wakianzisha mijadala kabambe mawanachuo wasasa wanawaza disko na kunyanduana
 
Back
Top Bottom