Ushahidi wa Nyaraka na vielelezo kuhusu UZanzibar wa Rais Samia huu hapa

Ushahidi wa Nyaraka na vielelezo kuhusu UZanzibar wa Rais Samia huu hapa

Miaka 60 hamkufanya kitu ndio iwe wiki moja ?
Huyo uliyemjibu hapo ana pointi; lakini pointi hiyo ilikwishapotezwa katika yooote yaliyofanywa katika miaka hii ya "Kero za Muungano" za upande mmoja kupamba moto; na hao hao akina Samia waliokuwa kwenye nafasi nzuri za kuzikabiri ndio wakawa wanazipalilia kwa kasi kabisa kero hizo.

Muungano wa 1964, haukuwa na lengo la kuzipigia chepuo hizi kero. Lengo lake lilikuwa kuzififisha kadri ya watu walivyozoeana katika muungano wenyewe. Ni hizo hizo zilizo itwa kero, sasa ndizo zinazo umaliza muungano.
 
BAada ha Vita vya Kwanza vya Dunia 1918 Ujerumani aliachia Baadhi ya Makoloni na hapo ndiyo Muingereza alipoanza kutawala..

Muingereza ilibidi kubadilisha Jina kutoka Ujerumani ya Africa Mashariki (East African German) na kuwa Tanganyika na hiyo ilifanykka Kutoka mwaka 1918 mpaka 1920..

Kuhusu Majeshi..
Jeshi la Wananchi Lilianzishwa mwaka 1964 baada ya Tishio la Mapinduzi lilifanyka mwaka huo na Rais kuvunja Jeshi la Tanganyika Riffles ambao ndo walikuwa wanajeshi wa Nchi..

Japo.Zanzibar walikuwa nao wana majeshi yao na kumbuka kabla ya Kuungana na Tanganyika walikuwa na Kiti Umoja wa Mataifa (Usisahau Hilo)..

Hata Hivyo zanzibar Pia wana Majeshi yao ambayo sio mali ya Muungano kama KMKM, JKU, Etc..

Nafikiri Kama Una hoja Weka mezani tujadili..
Kejeli, matusi wala hasira hazitakusaidia kitu..

Mimi naongea Facts na Uhalisia uliopo
KMKM na JKU ni wagambo tu. Usinipotezee muda.
 
Namabengo, Mtyangimbole, Namanditi, Mpitimbi, Chaburuma, Mtakanini,Matogoro, Likuyufusi??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Matimira, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Juzi Paskal Mayala katoa hoja nzuri sana, kaandika humu, kwanini basi tusiwe na Serikali moja, kama huu muungano unatuchanganya?
 
Mimi nadhani ni heshima kubwa na Uzalendo kwa mtu kuitwa kwa Utaifa wake, Sioni haja ya kuficha Utaifa wa mtu kwa sababu zozote zile.

Kwa nia njema kabisa naweka nyaraka za wazi za Uzanzibar wa Rais wetu Samia Suluhu Hassan

View attachment 2977513View attachment 2977516

Hata kwa Sheria za Tanzania, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano anapotokea Tanganyika(Tanzania Bara), Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais) ni lazima awe Raia wa Zanzibar, Kwahiyo kumbe Wazanzibar wapo na ni lazima wawe Wazanzibar ili kugombea Uongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO

Pia soma
Tatizo kubwa siyo uzanzibar tu. Unaweza kuwa mzanzibar na usiwe mpumbavu tatizo kuu lipo hapa
 
CHADEMA mnafeli sana, daima mnatafuta kura kwa migawanyo, mara mkae kidini, mara kikanda mara kama hivi kizanzibar na Bara, yan mnatapa tapa kwa kila mbinu kuhakikisha mnafika ikulu, ila kibaya mnajiharibia, kwa style hii ya ubaguzi watu wa mipakani wanawaogopa tayari, zenji hawatakaa wawakubali,
Kwq taarifa wazenji wanatamani tusiwe sehemu yao.
Vinganganizi ni ccm tu tena walamba miguu wa huko zenji
 
Unajua maana Ya Sovereign state..
Zanzibar ina mamlaka yote ina Raia , Inaserekali ina Ardhi na ina power..

Wana Jeshi la Ulinzi pia Na Jeshi La mambo ya. Ndani pia Japo yanafanya kazi ndani ya Zanzibar..

For Your Info Zanzibar Ni Nchi ambayo Ina umri Mkubwa kuliko Hata Tanganyika..
Zanzibar Inakwenda Far Beyond Mwaka 1570s Na Tanganyika Ilianzishwa Mwak 1920s na waingereza
Unaongea upuuzi gani we bwege
 
Sijui ni kina nani haswa wanapaswa kuwa ndio watu sahihi wa kushughulikia shida hii ya muungano

Muungano wetu ukisikiliza hoja zinzozalishwa kila leo kuuhusu, unashindwa kuelewa ikiwa tunamuungano au tuna janga tuliloamua kulikalia tu kimya na mbeleni tunaona kabisa kunamoto
Wana Sheria na sio Wana siasa. Mzee Shivji na Warioba
 
KMKM na JKU ni wagambo tu. Usinipotezee muda.
Ni wagambo Kwa Tanganyika Ila kwa Zanzibar Ni jeshi na Liko Responsible kwa Rais wa zanzibar..

Na hapa ndo Linapokuja Swala la watanganyika Kudhani wao Ni Bora kuliko Wazanzibar na hapa ndo huleta ubaguzi kati yao
 
Anachosema ni kwamba mtu ni Mtanzania ila at the same time ana kitambulisho rasmi cha mkazi wa zanzibar means Zanzibar ni sovereign state ndani ya Muungano. Swali linakuja, kama zanzibar ni sovereign state why hakuna nchi ya Tanganyika ili kuwe na party mbili zinazoungana?

Yaani Rais wa zanzibar anatakiwa awe mzanzibari mkaazi ila Rais wa Tanzania anaweza tokea Zanzibar pia ila kwa Tanganyika hatuna Rais na hauwezi ukagombea zanzibar?? Hiyo picha ina raise so many questions about nature ya muungano wetu.
Nenda kasome aina tatu za muungano i.e union, federal na confederal, kisha ingiza muungano wetu humo , hautafit popote kisha utagundua haikuwa bahati mbaya kudesign hivi ulivyo ili kukosa njia ya kuuvunja. It is highly philosophical and genius.

Kwa kutumia akili ya Buza Mpalanger mtu huwezi kuelewa huu muungano milele. Katika hili nakubali Nyerere was a philosopher japo ameondoka bila kuelewa ujamaa ni ideology ya kufikirika tu na ni ujinga alioupandikiza kwa mamilioni ya watu. By nature any human being is selfish and capitalist, na capitalism (investment) pekee ndio huleta prosperity through exploitation of the strongest upon the weak. Yaani mf Mimi nijitume shuleni kisha kazini huwezi kunipa ujira sawa na mbumbumbu na mtu mvivu. (ujamaa).
 
Back
Top Bottom