Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Zanzibar siyo sovereign state bali ni autonomous state within the Government of Tanzania. Yaani ina maamuzi kwenye mambo fulani kasoro Ulinzi, Mambo ya NdaniAnachosema ni kwamba mtu ni Mtanzania ila at the same time ana kitambulisho rasmi cha mkazi wa zanzibar means Zanzibar ni sovereign state ndani ya Muungano. Swali linakuja, kama zanzibar ni sovereign state why hakuna nchi ya Tanganyika ili kuwe na party mbili zinazoungana?
Yaani Rais wa zanzibar anatakiwa awe mzanzibari mkaazi ila Rais wa Tanzania anaweza tokea Zanzibar pia ila kwa Tanganyika hatuna Rais na hauwezi ukagombea zanzibar?? Hiyo picha ina raise so many questions about nature ya muungano wetu.