Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Halafu mbona mnangaika na huyo bibi kizee aliepata uraisi Kwa mgongo wa magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Job is the measure of HumanityRest in peace Ruge.....ongopa vitu viwili duniani MUNGU na TECHNOLOGY.
KAZI ni kipimo Cha utu
Hivi nani kachokoza hii mada ya Uzanzibari? Aliyeichokoza atajuta maana inaweza kuwa na impact nzuri au mbayaWewe una kitambulisho cha Mtanganyika Mkaazi ?
Impact yoyote tutaikubali ili mradi ukweli ujulikaneHivi nani kachokoza hii mada ya Uzanzibari? Aliyeichokoza atajuta maana inaweza kuwa na impact nzuri au mbaya
Wewe sio MunguCHADEMA tafuteni hoja zenye mashiko, huu usanii wa TUNDU LISSU hauwezi kuwaongezea chochote kwenye kukubalika na wananchi. Kwani kuna tatizo gani kwa Samia kuwa na kitambulisho cha Mzanzibar mkazi?
Samia hakutengeneza Muungano bali ni waasisi wa Taifa letu wakiongozwa na JK Nyerere na Abeid Aman Karume.
Wakati wa muungano Tundu Lissu alikuwa hajazaliwa. Leo anapata wapi uwezo wa kukosoa makubaliano ya waasisi wa Taifa hili.
Tundu Lissu anamkejeli Rais Samia ambaye ndiye kiongozi wa juu aliyemtembelea hospitali Nairobi kumjulia hali wakati akiwa amelazwa baada ya WATU WASIOJULIKANA kumshambulia akiwa Bungeni Dodoma.
Samia alimtembelea pia Brussels alikokuwa anaishi maisha ya ombaomba kama mkimbizi baada ya kumkimbia Magufuli immwdiately baada ya uchaguzi wa mwaka 2020.
Huyu Samia ndiye aliyemfutia kesi za kubambikiza nankumlipa stahiki alizodhulumiwa kama mbunge wakati wa Magufuli.
Mtu hana shukrani kwa huyu Rais aliyemjali kama mdogo wake.
Nawahakikishia mashabiki wa Tundu Lissu kuwa cheo cha mwisho cha juu cha Tundu Lissu kupata maishani itabaki ni Makamu Mwenyekiti tu wa CHADEMA.
Ni kweli Tanganyika imejificha pale TAMISEMI. Maana ukiangalia kwa makini TAMISEMI ndio Tanganyika yenyewe.Na hapo Ndo kuna Hoja ya walio wengi..
Kwamba Kwanini Tanganyika inakuwa Ngumu Midomoni mwa watu ila wazanzibar wako Proud na Nchi yao??
Na kwanini Tanzania Iwe Ni Muungano ila Ukichunguza kwa Makini ni Tanganyika Inayobeba Zanzibar??
Sijui umenielewa Maneno ya mwalimu Nyerere Bado mpaka Leo Yana Mashaka sana..
Hii Ni Page ya Kitabu chake kilichochapwa mwaka 1993 Kuhusu kwanini hakuna Serkali moja na kwanini hakuna Serkali Tatu..
Ukisoma Hoja zake Ni dhahiri kwamba Zina Gape kubwa sana..
View attachment 2977652
Lakini Tukijitoka kwenye TAMISEM..Ni kweli Tanganyika imejificha pale TAMISEMI. Maana ukiangalia kwa makini TAMISEMI ndio Tanganyika yenyewe.
Bado tumebaki kwenye muundo uliochukuliwa sababu ya aina ya itikadi za ulimwengu wa wakati ule. Kwa sasa ni wazi haziwezi kukidhi mahitaji.
Mjadala ni mrefu sana.
Kama kweli Nape amesema kuwa Samia ni mngoni, walio karibu naye wamwahishe haraka Milembe hospital.Gud mbona nape anasema Samia ni mngoni
Akamatwe kuishi Bara bila kibaliMimi nadhani ni heshima kubwa na Uzalendo kwa mtu kuitwa kwa Utaifa wake, Sioni haja ya kuficha Utaifa wa mtu kwa sababu zozote zile.
Kwa nia njema kabisa naweka nyaraka za wazi za Uzanzibar wa Rais wetu Samia Suluhu Hassan
View attachment 2977513View attachment 2977516
Hata kwa Sheria za Tanzania, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano anapotokea Tanganyika(Tanzania Bara), Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais) ni lazima awe Raia wa Zanzibar, Kwahiyo kumbe Wazanzibar wapo na ni lazima wawe Wazanzibar ili kugombea Uongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Pia soma
Jibu hoja za Lisu acha kulialia.Huu Muungano unatakiwa upitiwe upya na upigiwe kura ya maoni kuuhalalisha.CHADEMA mnafeli sana, daima mnatafuta kura kwa migawanyo, mara mkae kidini, mara kikanda mara kama hivi kizanzibar na Bara, yan mnatapa tapa kwa kila mbinu kuhakikisha mnafika ikulu, ila kibaya mnajiharibia, kwa style hii ya ubaguzi watu wa mipakani wanawaogopa tayari, zenji hawatakaa wawakubali,
Hizi ni pumba, peleka wakale nguruwe. Jeshi la ulinzi liko wapi na Mkuu wa Majeshi ni nani?Unajua maana Ya Sovereign state..
Zanzibar ina mamlaka yote ina Raia , Inaserekali ina Ardhi na ina power..
Wana Jeshi la Ulinzi pia Na Jeshi La mambo ya. Ndani pia Japo yanafanya kazi ndani ya Zanzibar..
For Your Info Zanzibar Ni Nchi ambayo Ina umri Mkubwa kuliko Hata Tanganyika..
Zanzibar Inakwenda Far Beyond Mwaka 1570s Na Tanganyika Ilianzishwa Mwak 1920s na waJeruman
Wacha kufuruWewe sio Mungu
mimi naona hoja za Lissu ziko sawa na za Jussa mbona jussa anaeleweka huko zanzibar watanganyika sisi ndiyo tatizo kwenye muungano kwa ukinyonga wetu kuhusu nafasi ya Tanganyika kwenye muungano hata km ilikufa,Kuna watu wananifaika na koti hiliCHADEMA mnafeli sana, daima mnatafuta kura kwa migawanyo, mara mkae kidini, mara kikanda mara kama hivi kizanzibar na Bara, yan mnatapa tapa kwa kila mbinu kuhakikisha mnafika ikulu, ila kibaya mnajiharibia, kwa style hii ya ubaguzi watu wa mipakani wanawaogopa tayari, zenji hawatakaa wawakubali,
BAada ha Vita vya Kwanza vya Dunia 1918 Ujerumani aliachia Baadhi ya Makoloni na hapo ndiyo Muingereza alipoanza kutawala..Hizi ni pumba, peleka wakale nguruwe. Jeshi la ulinzi liko wapi na Mkuu wa Majeshi ni nani?
Mwaka 1920 Wajerumani walikuwa hawatawali Tanganyika kwa kuwa walishindwa vita vya kwanza mwaka 1919 na Tanzania ikawa colony la League of Nations. Muingereza akawa anastasia kama trustee.
Acha kuandika pumba, kajipange upya
Zamani Walikuwa Na passport yao ila Sijui ilifikia wapi waliamua Kuifuta..Kitambulisho cha Mkazi wa Zanzibar siyo sawa na Hati ya Uraia aka Passport. Wazanzibari hawana Passport yao wenyewe wanatumia passport ya JMT. Labda tuangalie nini lengo la Wazanzibari kuwa na Kitambulisho cha Mkazi wa Zanzibar. Jee, Mtanzania Bara anaruhusiwa kupewa Kitambulisho cha Mkazi wa Zanzibar, na kama ni ndiyo, ni kwa vigezo gani?
Miaka 60 hamkufanya kitu ndio iwe wiki moja ?Kwa wananchi wa kawaida (wakulima, wafanyakazi, wafanyabiashara), tutumie muungano kama fursa badala changamoto. Fikra zielekezwe kwenye kupanuka kwa masoko, ushirika wa kibiashara na ubunifu, urafiki na hata mahusiano ya kijamii.
Migogoro na kero za kisiasa zitaondoka pole pole baada ya wananchi kuwa wamoja.
Pande zote ziangalie maboresho ya muungano kwa uelekeo chanya zaidi.
Hata hivyo, changamoto za wanasiasa ni kawaida na muhimu katika kuweka mambo sawa kwenye jamii au taifa lolote (hoja zijibiwe kwa hoja).
Namabengo, Mtyangimbole, Namanditi, Mpitimbi, Chaburuma, Mtakanini,Matogoro, Likuyufusi??? 😂😂😂😂😂Mngoni wa songea sehemu gani? Huenda ni jirani angu.
Dah, mbona hili linafahamika muda mrefu; kwamba Tanzania tuna waTanzania raia wa Zanzibar, ambao uraia wao huo ni muhimu zaidi ya uTanzania wao?Mimi nadhani ni heshima kubwa na Uzalendo kwa mtu kuitwa kwa Utaifa wake, Sioni haja ya kuficha Utaifa wa mtu kwa sababu zozote zile.
Kwa nia njema kabisa naweka nyaraka za wazi za Uzanzibar wa Rais wetu Samia Suluhu Hassan
View attachment 2977513View attachment 2977516
Hata kwa Sheria za Tanzania, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano anapotokea Tanganyika(Tanzania Bara), Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais) ni lazima awe Raia wa Zanzibar, Kwahiyo kumbe Wazanzibar wapo na ni lazima wawe Wazanzibar ili kugombea Uongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Pia soma
Hebu tupe mfano wa huo ubaguzi wa dini na ukabila tafadhali, isije kuwa wewe ni wale wa bendera fuata upepo. KaribuHadi muda huu CHADEMA mmeshajichanganya sana. Aliyewashauri muingize udini na ukabila kwenye siasa zenu kawadanganya.