Wanangu mnapenda pesa sana yani nyie viumbe daah"Kila siku huwa na muomba turudi kama zamani lakn hataki kabisa mm sijawahi"
"kwangu Ilikuwa ni uchungu kwan nilitumia Nguvu sana kulinda mahusiano yetu."
Hayo juu ni maelezo yako na bado unaomba ushauri Ili ukapambanie kupendwa badala ya kupambania hela
Wewe mpumbavu kazana upate GPA kali achana na hao mademu. Miaka 23 bado mdogo sana.... una heartbreaks kadhaa kabla huja-settle kwenye hayo mambo. Acha upuuzi SOMA.Habar wakuu,
Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.
Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, nili ulikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, lakini tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lkan kwangu Ilikuwa ni uchungu kwan nilitumia Nguvu sana kulinda mahusiano yetu.
Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, lakini ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka Jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.
Kiukwel nilliumia sana nikambembeleza Sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.
Wakuu shida yangu ni hii Toka aniache na nahisi maumivu Makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.
Kila siku huwa na muomba turudi kama zamani lakn hataki kabisa mm sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakn moyo wangu una SEMA bado ni nanafas kwake.
Nahisi sitopenda tena pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japo kuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.
Naombeni ushauri najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
@The next JPM jpm hakuwahi kuteswa na mapenzi bali yeye ndo alikuwa anatesa mapenzi you get it if you don't get it forget about itHabar wakuu,
Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.
Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, nili ulikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, lakini tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lkan kwangu Ilikuwa ni uchungu kwan nilitumia Nguvu sana kulinda mahusiano yetu.
Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, lakini ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka Jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.
Kiukwel nilliumia sana nikambembeleza Sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.
Wakuu shida yangu ni hii Toka aniache na nahisi maumivu Makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.
Kila siku huwa na muomba turudi kama zamani lakn hataki kabisa mm sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakn moyo wangu una SEMA bado ni nanafas kwake.
Nahisi sitopenda tena pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japo kuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.
Naombeni ushauri najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
Ana jianda na tunda 🍑 🤣🤣🤣🤣Tarehe za UE hizi. Vipi mkuu wewe, haujiandai na mitihani kama wenzako?
[emoji23]Ana jianda na tunda [emoji527] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo binti kutwa anasikiliza wakina mzee wa bwax na kinata unadhani ataelewa hii dedication
mtumie hii dedication, asikilize maneno zaidi.
Halafu piga kimya miezi 3 asipokutafuta songa mbele...
Sasa kama umeokaka wee mademu wa nini tena mzeya. Mademu raha yao kuwagegeda wee huwagegedi so kazana na kitabu tuu mwanawane.Habar wakuu,
Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.
Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, nili ulikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, lakini tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lkan kwangu Ilikuwa ni uchungu kwan nilitumia Nguvu sana kulinda mahusiano yetu.
Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, lakini ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka Jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.
Kiukwel nilliumia sana nikambembeleza Sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.
Wakuu shida yangu ni hii Toka aniache na nahisi maumivu Makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.
Kila siku huwa na muomba turudi kama zamani lakn hataki kabisa mm sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakn moyo wangu una SEMA bado ni nanafas kwake.
Nahisi sitopenda tena pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japo kuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.
Naombeni ushauri najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
Piga shule mkuu😅😅Habar wakuu,
Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.
Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, nili ulikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, lakini tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lkan kwangu Ilikuwa ni uchungu kwan nilitumia Nguvu sana kulinda mahusiano yetu.
Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, lakini ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka Jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.
Kiukwel nilliumia sana nikambembeleza Sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.
Wakuu shida yangu ni hii Toka aniache na nahisi maumivu Makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.
Kila siku huwa na muomba turudi kama zamani lakn hataki kabisa mm sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakn moyo wangu una SEMA bado ni nanafas kwake.
Nahisi sitopenda tena pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japo kuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.
Naombeni ushauri najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
nipe namba yake
Mkongwe kazini, baada ya miezi maumivu yakizidi muone daktari.
mtumie hii dedication, asikilize maneno zaidi.
Halafu piga kimya miezi 3 asipokutafuta songa mbele...
Dah umejibu kikatili saanaHakuna ushauri soma kwanza
Hasa kama ulimpenda kweli. Ila akaze atazoea.Dah! Jmn kumsahau mtu sio kazi rahisi