Sasa hivi huwa nawafungia vioo na vumbi wanakula, wamepauka balaaa πππ sema huwa sina dharau na wapa hai na stori mbili tatu...... lakini mapenzi ndiyo no nishapata mweza.Big up comment yk iwekwe muhuri w moto ata mm Nilikuwa kama uyo Dogo Apo juu ila nilivyo fikiri ukomo nikapotezea sasaivi yy ndio unitafuta
WAnawake ikawatetemekea wanakudharau sana.Big up comment yk iwekwe muhuri w moto ata mm Nilikuwa kama uyo Dogo Apo juu ila nilivyo fikiri ukomo nikapotezea sasaivi yy ndio unitafuta
Asanteh broNdio upo kwenye stage ya ukuaji mdogo wangu.
Vumilia yatapita,taratibu utamsahau tu.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Nipo mwaka wa pili nasoma bachelor of science with educationUmesema umeokoka hongera, kaanaye mbali muombe Mungu akupe wa kufanana naye ukimaliza masomo.
Huyo si fungu lako atakuwa naye kapata bishoo wa kufanana naye. By theway uko mwaka wangapi?.
ββ¦Sijawahi kufanya nae mapenziβ¦βHabar wakuu,
Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.
Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, ilikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lakini kwangu ilikuwa ni uchungu kwani nilitumia nguvu sana kulinda mahusiano yetu.
Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.
Kiukweli nilliumia sana, nikambembeleza sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.
Wakuu shida yangu ni hii, toka aniache nahisi maumivu makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.
Kila siku huwa namuomba turudi kama zamani lakini hataki kabisa. Mimi sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakini moyo wangu unasema bado nina nafasi kwake.
Nahisi sitopendatena, pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japokuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.
Naombeni ushauri, najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
Ulokole na mapenzi haviendani umekosea big time kutomkulaHabar wakuu,
Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.
Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, ilikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lakini kwangu ilikuwa ni uchungu kwani nilitumia nguvu sana kulinda mahusiano yetu.
Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.
Kiukweli nilliumia sana, nikambembeleza sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.
Wakuu shida yangu ni hii, toka aniache nahisi maumivu makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.
Kila siku huwa namuomba turudi kama zamani lakini hataki kabisa. Mimi sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakini moyo wangu unasema bado nina nafasi kwake.
Nahisi sitopendatena, pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japokuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.
Naombeni ushauri, najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
Usiwe na wasiwasi mabinti wengi sana wana sifa Za kila ainaKaka nimeelewa ila sasa Kuna shida moja kidogo inaniumiza, Yan nahis zile sifa ambazo nazihitaji sitazipata kwa binti mwingine kaka
Thanks broUsiwe na wasiwasi mabinti wengi sana wana sifa Za kila aina
Kamwe usijidanganye eti huyo ndiyo mwenye maadili sana
Akikutana na vijana wa mataifa hayo maadili yanapotea trust me
The single most common reason women leave their husbands, is because they are bored and they think they are capable of getting a man who is better.Habar wakuu,
Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.
Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, ilikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lakini kwangu ilikuwa ni uchungu kwani nilitumia nguvu sana kulinda mahusiano yetu.
Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.
Kiukweli nilliumia sana, nikambembeleza sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.
Wakuu shida yangu ni hii, toka aniache nahisi maumivu makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.
Kila siku huwa namuomba turudi kama zamani lakini hataki kabisa. Mimi sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakini moyo wangu unasema bado nina nafasi kwake.
Nahisi sitopendatena, pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japokuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.
Naombeni ushauri, najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
Lengo la uhusiano wa kimapenziHabar wakuu,
Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.
Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, ilikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lakini kwangu ilikuwa ni uchungu kwani nilitumia nguvu sana kulinda mahusiano yetu.
Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.
Kiukweli nilliumia sana, nikambembeleza sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.
Wakuu shida yangu ni hii, toka aniache nahisi maumivu makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.
Kila siku huwa namuomba turudi kama zamani lakini hataki kabisa. Mimi sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakini moyo wangu unasema bado nina nafasi kwake.
Nahisi sitopendatena, pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japokuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.
Naombeni ushauri, najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
Mwanamke nayemtaka akaniletea pozi huwa simpi nafasi ya kula hata sh. 100 yangu [emoji3][emoji3][emoji3]!
Kuna katoto kako KCB kanapigaga mizinga tu ila mbunye yake kameona dili. Sasa mi huwa na blue tick tu akiomba vocha sijui anaomba favours huwa sina mda.
Tafuta mkwanja mrubuni ule angalau trip mojaThanks bro
Wanaona charitable services ndio hapaAhahaha mzee una mbinu za cuba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa madem sjui vipi anataka kula tu kuliwa hataki