Dr sehemu ina maduka mawili ya Mpesa, nauli 6k kuifikia benk hiyo ni sehemu ya kusema sijawahi kuona au kufika eneo kama hilo, u r kidding brother,
mimi niliwahi fika mahala huko Mbeya tukampa mzee lift kwenye escudo, baadae tunamshusha anauliza huyu mnamchinja akiwa na ukubwa gani? hapo ni full kinyaki anajua lile gari ni mnyama!
Mwanao ni muongo,Mwanangu kasomea india udaktari wa moyo kafanya intership jakaya kaona wafanyakazi walivyo na roho mbaya humo jakaya na kujipendelea kaangalia mshahara kaona nayenyewe ovyo, kagoma kumalizia intership hataki kabisa anasema bora akafanye biashara yoyote ile tumebembeleza sana kagoma
Hapa mdau umeongea ukweli mtupu aisee,🤣🤣Lift za bodaboda ,by the way mwanamke akiwa kwenye umri wa tension yeyote yule anapita nae na ndio Huwa hivyo mwishowe.
Jifanyeni masista duu ila mkirogwa tuu mkapangiwa Vijijini mumekwisha mtakuwa wa huko huko.
Vijijini kuna Watendaji,Walimu,manesi ,MaCO,Polisi Kata,Extension officers,Maofisa maendeleo ya jamii kata na wale wengine wanaosimamia maji hapo ni kile Kijiji Kikubwa Makao Makuu ya kata.
Vijiji vingine utaishia kuona Walimu na manesi tuu na kulipwa na bodaboda au Dereva wa vihiace vya kuja mjini.
Maofisa wa Halmashauri ni WA kubahatisha maana Ukiwa na huyo unaweza hamia mjini
Kuajiri watu wanaotoka kwenye jamii husika kunadumaza eneo husika.Ukiwa huna ajira utatamani nafasi ya huyu mwamba upewe wewe lakini kwa tuliotembea vijijini kuna maisha hata hiyo ajira haina maana yoyote.
Ifike wakati serikali iajili watu kutoka kwenye jamii husika wafanye kazi kwa moyo na mazingira ndio walikozaliwa hayawapi tabu
Bado unashika chaki?Sikuacha kazi, nilikaa miezi nane nikaomba kuhama.....
Siyo unapauka tu na nguo zinapauka, unakuta lotion haifui dafu lazima upake mafuta ya mgando.Nasemea kwa mazingira walau pwani si kubaya japo tu watu wake ni wavivu hawapendi kazi.....
Ila huko singidani unakaa mahali pamepauka automatic nawe unapauka hata ukioga haung'ai 😹
JF style.Anataka au unataka....
Kuna jamii sio za kutangamana nazo yaani yafaa waajiriwe wa kulekuleUkiwa huna ajira utatamani nafasi ya huyu mwamba upewe wewe lakini kwa tuliotembea vijijini kuna maisha hata hiyo ajira haina maana yoyote.
Ifike wakati serikali iajili watu kutoka kwenye jamii husika wafanye kazi kwa moyo na mazingira ndio walikozaliwa hayawapi tabu
Kuna sehemu hazikaliki nakwambiaMsomi ana mind set ya kuajiriwa, ameajiriwa anaona ni tofauti na expectations zake. Sehemu yenye maduka mawili ameshindwa kugeuza challenge kuwa fursa, hatutoacha kulalamika hadi hapo tutakapobadilika mind set!!
Kuna sehemu inaitwa Nana iko mpakani na wilaya ya Kilosa na Gairo ila ni rahisi kufika Kidete Kilosa kwa pikipiki.Kuna jamii sio za kutangamana nazo yaani yafaa waajiriwe wa kulekule
Wazo zuri sanaNiulize nini faida ya kufanya kazi serikalini, kama ualimu na daktari?
Kuna mwana ni mwalimu ajira mpya mwaka jana anatamani kuacha kazi mazima ila pa kuanzia sasa ndo haelewi. Anaomba ushauri sababu haoni challenge yoyote ya maisha ikiwa hamna marupurupu na take home ni finyu kidogo.
Mazingira sio poa ni kijiji ndani huko, maduka mawili tu ya mpesa, benki mpaka utoe nauli ya elfu 6 ndio unafika.
Soma Pia: USHAURI: Niliacha kazi Serikalini kutokana na mazingira magumu ya kazi miaka miwili imepita, baada ya mambo yangu kutengemaa nataka kurudi
Hatari dogo ana degree ya nn?jaribu kumtia moyo mkuu ukimuacha hata potea.Huku ndio hapawezi kabisa ataishia kuamini watu ni freemason, ndinga kubwa matumizi million kama buku tu halafu huoni watu wanafanyakazi gani na wala siyo majambazi
Huku mtaani ndio kwenye matumizi ya akili winner to stay
Kuna dogo mmoja alikuwa na akili nzuri za darasani lakini sasa hivi asubuhi anaamkia visungura keshadata na degree yake kabatinim
Wewe huelewi hata ulichokiandika, vijiji vya Tanzania vinafanana?Maisha ya kijijini mazuri sana nimezaliwa kijijini, nimesomea kijijini na mitikasi mingi nimefanyia kijijini napakubali kinoma huku mjini nililoea after chuo
Sio kila mtu atakuwa tajiri na concept ya mafanikio ni perception za mtu na malengo aliojiwekea
Wengi wenye malengo na mindoto mikubwa huishia kuwa masikini wa kutupwa na hopeless ni bora ukaishi uhalisia
Aache kazi asiache kazi uhalisia wa maisha yake utabaki vile vile hakuna kitakacho badilika
Katika hali hiyo,je hajaona fursa?Niulize nini faida ya kufanya kazi serikalini, kama ualimu na daktari?
Kuna mwana ni mwalimu ajira mpya mwaka jana anatamani kuacha kazi mazima ila pa kuanzia sasa ndo haelewi. Anaomba ushauri sababu haoni challenge yoyote ya maisha ikiwa hamna marupurupu na take home ni finyu kidogo.
Mazingira sio poa ni kijiji ndani huko, maduka mawili tu ya mpesa, benki mpaka utoe nauli ya elfu 6 ndio unafika.
Soma Pia: USHAURI: Niliacha kazi Serikalini kutokana na mazingira magumu ya kazi miaka miwili imepita, baada ya mambo yangu kutengemaa nataka kurudi