Xhizo de incredible
Member
- Nov 14, 2018
- 74
- 123
Hii biashara uhakika au hadi uwe na wateja wako Mpanda au unapeleka tuu hizo dagaa.Anza na mtaji wa laki sita Hadi nane chukua dagaa mwanza peleka mpanda baada ya miezi 4 nitafute unipe shukurani zangu
Nimemdharau..Si kweli. Acha kumkatisha tamaa
Pochi nilimiliki mwenyewe morogoro....
Mzee hiyo pesa ni nyingi sana kuanzia na unaweza tengeneza pesa. Jiwekee malengo kuhakikisha unaingiza 10,000-20,000 per day ambayo itakupa 300,000 -600,000 kwa mwezi.Nimemdharau..
Yeye anaona kukatisha tamaa ndo jambo la msingi
Pochi na viatu unalala njaa. Hizo biashara hazihitaji uzitegemee kwa maisha ya kila siku mzunguko wake ni mdogo.Biashara ya Pochi itakulaza njaa
Angalia fast moving products
Mfano kuna dagaa nyama wanapatikana sana Pangani
Unaweza kutengeneza connection Wakawa wanakutumia
Unanunua Kg kadhaa unawapak unauza
Au unaweza ukauza tu kwa kupima kg,nusu ,robo na kadhalika
Hiyo hela ni nying sana
Just play smart
Hiyo fursa n uhakika coz nimeifanya na ilinobust Sana sema nilikuja kuitema baada ya kuendekeza starehe but nitarudi tena...Naomba uzoefu na maisha ya mpanda katavi hasa fursa na nk
Asante
Kaka, upo kwenye biashara ya samaki ? ,Nikiwa na mtaji wa 3 mil,nikafungua butcher ya kuuza samaki nitatoboa kweli ? Freezer ninalo na frame ipoNjoo Kanda ya ziwa uwe chinga wa mabondo ya sangara
Shukrani broHiyo fursa n uhakika coz nimeifanya na ilinobust Sana sema nilikuja kuitema baada ya kuendekeza starehe but nitarudi tena...
Kuhusu soko lipo tena ni la uhakika na watu wa Kule si wasumbufu kabisa watu peace kinyama. Kikubwa uzingatie condition mbili tu..
1. Ulete dagaa wazuri
2. Usiwe na longolongo (epuka janjajanja)
Ila kitu cha msingi kama Una Nia ya kufanya hii business tembelea masoko ya huko Kwanza. Ili ujionee na kujifunza Ila kitu kingine cha msingi Sana tafuta connection na madereva wa maroli wa mwanza to mpanda ili upeleke mzigo Kwa low cost
Mchawi location tuKaka, upo kwenye biashara ya samaki ? ,Nikiwa na mtaji wa 3 mil,nikafungua butcher ya kuuza samaki nitatoboa kweli ? Freezer ninalo na frame ipo
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Zingine labda dhahabu Ila hiyo ntakudanganya sijui chochote kabisa....Shukrani bro
Nimewaza khs kufungua goli ya dagaa But ukiachana na dagaa Kuna fursa gan zngne huko kaka,
Asante
Pamoja Sana manZingine labda dhahabu Ila hiyo ntakudanganya sijui chochote kabisa....
Kaka, upo kwenye biashara ya samaki ? ,Nikiwa na mtaji wa 3 mil,nikafungua butcher ya kuuza samaki nitatoboa kweli ? Freezer ninalo na frame ipo
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mou
Mkuu hio hela usiibeze mkuu, with that money kuna biashara nyingi sana zinaweza kumpa 30-50 per dayNunua kiwanja tu Kiluvya, Kigamboni au Bagamoyo and subiria. Iyo ndo the easiest kuliko uongo mwingine. That money is too small to start anything profitable long term ukweli ndo huo
una account ya nmb?
kama jibu ndio Fanya hivi.
jisajili kwenye kikundi chochote Cha Bajaj kupitia cmpd.
toa 1.5m weka bank ya nmb omba mkopo wa Bajaj
kwenye 500000 toa 150000 kwa ajili ya leseni.
marejesho ni 91000 kwa wiki
ukiwa mfanya kazi kwa siku una uhakika wa kusave 20k
Nunua kiwanja tu Kiluvya, Kigamboni au Bagamoyo and subiria. Iyo ndo the easiest kuliko uongo mwingine. That money is too small to start anything profitable long term ukweli ndo huo
Pochi na viatu unalala njaa. Hizo biashara hazihitaji uzitegemee kwa maisha ya kila siku mzunguko wake ni mdogo.
Hivi viatu vya kikePochi na viatu unalala njaa. Hizo biashara hazihitaji uzitegemee kwa maisha ya kila siku mzunguko wake ni mdogo.