Amante
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 232
- 220
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkeka wa 2m ukosi 3B
Kila la heri Utajiri upo kwenye kubet now[emoji3046]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkeka wa 2m ukosi 3B
Kila la heri Utajiri upo kwenye kubet now[emoji3046]
Nunua kiwanja tu Kiluvya, Kigamboni au Bagamoyo and subiria. Iyo ndo the easiest kuliko uongo mwingine. That money is too small to start anything profitable long term ukweli ndo huo
Unaonaje ungeweka wazi Aina ya biashara uliyo fungua kwa mtaji huo na kiasi ilipo fikia mpaka sasaYaani nyie watu mnapenda kukatisha watu tamaa, Mimi mwaka Jana nimefungua biashara kwa mtaji wa milioni moja na laki tano tu, lakini ukiiona sasahivi unaweza usiamini kuwa nilianza na huo mtaji.
Cha msingi ni nidhamu tu ya pesa na kuheshimu unachokifanya. Usimukatishe tamaa.
Hello.
Nina million 2.
Nina mke na mtoto.
Nahitaji kufanya serious business mambo yasonge.
Kwa sasa mimi na familia yangu tumerudi nyumbani kwetu.
So nilikuwa naomba Sana ideas business ideas ya Hii hela ili niipandishe niondoke home.
Nataka niende mkoa
Msaada Jamanj.
Una miliki biashara yoyote boss?Nunua kiwanja tu Kiluvya, Kigamboni au Bagamoyo and subiria. Iyo ndo the easiest kuliko uongo mwingine. That money is too small to start anything profitable long term ukweli ndo huo
Share hapa iyo aina ya biashara uliyoifanya kwa Faida ya wengiYaani nyie watu mnapenda kukatisha watu tamaa, Mimi mwaka Jana nimefungua biashara kwa mtaji wa milioni moja na laki tano tu, lakini ukiiona sasahivi unaweza usiamini kuwa nilianza na huo mtaji.
Cha msingi ni nidhamu tu ya pesa na kuheshimu unachokifanya. Usimukatishe tamaa.
Ulikuwa unampoteza mwenzako 😂Amchinje tuu taifa stars ijumaa maisha ameyapatia
Aloo...mwenyewe kilaki changu kimesepa😭😭😭😭Ulikuwa unampoteza mwenzako 😂
Angekuwa kala mtaji maskini
😂😂 Tatizo mnaiona Tanzania kama kolo muda wote, kuna nyakati akili zinawajiaAloo...mwenyewe kilaki changu kimesepa😭😭😭😭
Jana uganda wanacheza kama wamebeba magogo bwana😂😂 Tatizo mnaiona Tanzania kama kolo muda wote, kuna nyakati akili zinawajia
Kwamba hakuna biashara za huo mtaji daaah hii nchi ina vijana wa hovyo sampuli yako.Nunua kiwanja tu Kiluvya, Kigamboni au Bagamoyo and subiria. Iyo ndo the easiest kuliko uongo mwingine. That money is too small to start anything profitable long term ukweli ndo huo
Safi SanaJana uganda wanacheza kama wamebeba magogo bwana
Unaonaje ungeweka wazi Aina ya biashara uliyo fungua kwa mtaji huo na kiasi ilipo fikia mpaka sasa
sipati picha sa iv angekuwa kwenye hali ganiAmchinje tuu taifa stars ijumaa maisha ameyapatia
Mkuu hii elfu20 faida au ya kuingiza per dei?Offcource katika Maisha yangu nishawahi Fanya biashara kadhaa.
(1)kuuza Pochi za wadada na viatu
(2)kuuza duka la Dawa.
Kwa sasa nataka biashara ya maisha Tu.
At least Elfu 20 per dai
Angekuwa yupo kwenye ulimwengu wa wafu🤣🤣🤣🤣🤣sipati picha sa iv angekuwa kwenye hali gani
Hii biashara ya pochi ikoje mkuu? Ukiongenza na vyupi sii unanoga?Offcource katika Maisha yangu nishawahi Fanya biashara kadhaa.
(1)kuuza Pochi za wadada na viatu
(2)kuuza duka la Dawa.
Kwa sasa nataka biashara ya maisha Tu.
At least Elfu 20 per dai
Amchinje tuu taifa stars ijumaa maisha ameyapatia